Tanzania tajiri, Wananchi maskini– What is going on?

Tanzania tajiri, Wananchi maskini– What is going on?

Prof_Adventure_guide

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2023
Posts
520
Reaction score
1,466
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya tumewazidi big time.

Tuna nini?

  • Madini: Dhahabu, almasi, nickel, lithium, uranium, tanzanite (ambayo ni yetu PEKEE duniani). Europe wengi hawana hata robo ya hii.
  • Ardhi: Ardhi kubwa, yenye rutuba hatari. Ulaya wanapigania hekta 1, sisi tunaacha maelfu bila mpango.
  • Maji: Maziwa makubwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa), mito, bahari. Wengine wanategemea mvua ya prayer.
  • Utalii: Serengeti, Ngorongoro, Kilimanjaro, Zanzibar. Hii ni world-class level, hakuna story.
  • Nishati: Gesi, jua, upepo, maji. Hapa tunaweza kuzalisha umeme wa kufeed East & Central Africa.
  • Watu (youth): Vijana wengi, nguvu kazi fresh, akili kali, ila mfumo unawabana kama pingu.

Lakini sasa swali la mtaa ni hili:
Kama tuna kila kitu, mbona maisha ya mwananchi wa kawaida ni ya hovyo hivi?
Why are people suffering wakati nchi ni loaded?

Jibu ni moja tu bro: MISMANAGEMENT & FAKE LEADERSHIP.
Hakuna uongozi wa kueleweka. Ni kelele, ni siasa, ni propaganda, ni promises za hewani. Kila mtu anatafuta his cut, wananchi wanabaki wakilia. Watu wanacheza na rasilimali zetu kama ni mali ya babu yao. Wanatudharau, wanatuona kama matako yao, straight up disrespect.

Kama tungekuwa na viongozi halali, hawa mambo ya muhimu sana ya kufanya:

1. System kali, sio maneno
Mfumo unaojieleza, unaoeleweka, unaolinda wanyonge. Not this corruption bullshit. Ukikosea unawajibika, haijalishi wewe ni nani.

2. Industrialization ya ukweli
Sio kusafirisha raw materials. Madini yasafishwe hapa, mazao yaongezwe value hapa. Hapo ajira zinatokea automatic.

3. Youth empowerment real talk
Mikopo isiyo ya unyonyaji, training za vitendo, support ya biashara ndogo ndogo. Sio seminars za kupiga picha tu.

4. Education ya kazi, sio vyeti vya kufa
Ufundi, technology, agriculture ya kisasa, tourism ya maana. Vijana wafundishwe ku-produce, sio kusubiria kuajiriwa.

5. Public services ziwe simple & digital
Leseni, vibali, biashara, kodi, vyote viwe clear. Hakuna kumzungusha mtu ili utoe rushwa.

6. Ajira chache lakini zenye impact kubwa
Bro, hata uki-ajiri watu 50 tu, kama mifumo iko poa, hao watu 50 wanaweza ku-create opportunities kwa maelfu. Mfumo mzuri unaajiri watu indirectly, sio lazima serikali iwaajiri wote.

7. Respect kwa mwananchi
Serikali iwe servant, sio boss. Mwananchi awe priority, sio ATM ya viongozi.

Ukweli mchungu ni huu:
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa rasilimali, ni ukosefu wa uongozi wa maana.
Until we fix the system, tutabaki kulalamika, vijana wataendelea kusema “hakuna ajira”, na wageni wataendelea kunufaika na jasho letu.

Hii nchi inaweza kusimama yenyewe, bila misaada, bila begging.
Tunahitaji viongozi wa real talk, sio sweet talk.
No more mchezo. No more nonsense.
It’s time to wake the hell up.
 
Ukitaka ujue sijui kama wanawaza Nchi bandari hatuna viwanda vya magari ya kusafirisha mizigo wao wanaongeza kodi humo humo ili magari ya Nchi jirani wenye kodi nafuu yaje kubeba mizigo kutoka bandarini ukiangalia Truck zinazofanya kuhamisha makontena bandarini ni hatari tupu ukikaa pale Tunduma ukiangalia baadhi ya Scania utajiuliza ili litafika kweli DRC kwa jinsi lilivyo chakavu kwa sababu ya kodi kubwa..
 
Umasikini
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya tumewazidi big time.

Tuna nini?

  • Madini: Dhahabu, almasi, nickel, lithium, uranium, tanzanite (ambayo ni yetu PEKEE duniani). Europe wengi hawana hata robo ya hii.
  • Ardhi: Ardhi kubwa, yenye rutuba hatari. Ulaya wanapigania hekta 1, sisi tunaacha maelfu bila mpango.
  • Maji: Maziwa makubwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa), mito, bahari. Wengine wanategemea mvua ya prayer.
  • Utalii: Serengeti, Ngorongoro, Kilimanjaro, Zanzibar. Hii ni world-class level, hakuna story.
  • Nishati: Gesi, jua, upepo, maji. Hapa tunaweza kuzalisha umeme wa kufeed East & Central Africa.
  • Watu (youth): Vijana wengi, nguvu kazi fresh, akili kali, ila mfumo unawabana kama pingu.

Lakini sasa swali la mtaa ni hili:
Kama tuna kila kitu, mbona maisha ya mwananchi wa kawaida ni ya hovyo hivi?
Why are people suffering wakati nchi ni loaded?

Jibu ni moja tu bro: MISMANAGEMENT & FAKE LEADERSHIP.
Hakuna uongozi wa kueleweka. Ni kelele, ni siasa, ni propaganda, ni promises za hewani. Kila mtu anatafuta his cut, wananchi wanabaki wakilia. Watu wanacheza na rasilimali zetu kama ni mali ya babu yao. Wanatudharau, wanatuona kama matako yao, straight up disrespect.

Kama tungekuwa na viongozi halali, hawa mambo ya muhimu sana ya kufanya:

1. System kali, sio maneno
Mfumo unaojieleza, unaoeleweka, unaolinda wanyonge. Not this corruption bullshit. Ukikosea unawajibika, haijalishi wewe ni nani.

2. Industrialization ya ukweli
Sio kusafirisha raw materials. Madini yasafishwe hapa, mazao yaongezwe value hapa. Hapo ajira zinatokea automatic.

3. Youth empowerment real talk
Mikopo isiyo ya unyonyaji, training za vitendo, support ya biashara ndogo ndogo. Sio seminars za kupiga picha tu.

4. Education ya kazi, sio vyeti vya kufa
Ufundi, technology, agriculture ya kisasa, tourism ya maana. Vijana wafundishwe ku-produce, sio kusubiria kuajiriwa.

5. Public services ziwe simple & digital
Leseni, vibali, biashara, kodi, vyote viwe clear. Hakuna kumzungusha mtu ili utoe rushwa.

6. Ajira chache lakini zenye impact kubwa
Bro, hata uki-ajiri watu 50 tu, kama mifumo iko poa, hao watu 50 wanaweza ku-create opportunities kwa maelfu. Mfumo mzuri unaajiri watu indirectly, sio lazima serikali iwaajiri wote.

7. Respect kwa mwananchi
Serikali iwe servant, sio boss. Mwananchi awe priority, sio ATM ya viongozi.

Ukweli mchungu ni huu:
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa rasilimali, ni ukosefu wa uongozi wa maana.
Until we fix the system, tutabaki kulalamika, vijana wataendelea kusema “hakuna ajira”, na wageni wataendelea kunufaika na jasho letu.

Hii nchi inaweza kusimama yenyewe, bila misaada, bila begging.
Tunahitaji viongozi wa real talk, sio sweet talk.
No more mchezo. No more nonsense.
It’s time to wake the hell up.
Umasikini Wenu ni matokea ya nyie na watawala wenu kuwa na elimu ya kuunga UNGA, elimu ya kukariri, ubinafsi, ufisadi....
Mtu ananunua goli 2 kwa 1bn wakati pesa hiyo inatosha kuanzisha shamba au kiwanda na kutoa ajira 1000
Bora Trump aje kuchukua hii nchi ndiyo tutapata akili.
 
Tanzania haina clear direction, na wq kulaumiwa hapa sio mtu. Mfumo unaotaka watu maskini waendelee kuwajibishwa kwa umaskin wao, nq unaonufaisha matajri na kuwqtukuza kwq utajiri wao

Umaskini wenyewe nao usiachwe nyuma, ulaumiwe kwa namna ambayo unawanyima nguvu watu maskini na kuwatosa katika kila option ambayo inaweza kuwa sahihi kuifanya. Umaskin wa nchi hii ni umaksin w kunufaisha watu wachache ambao wanalindwa na utawala. So zoez la kuundoa umaskin ni gumu sana sababu watawala na matajri ndio wwananufaika nao
 
Tanzania haina clear direction, na wq kulaumiwa hapa sio mtu. Mfumo unaotaka watu maskini waendelee kuwajibishwa kwa umaskin wao, nq unaonufaisha matajri na kuwqtukuza kwq utajiri wao

Umaskini wenyewe nao usiachwe nyuma, ulaumiwe kwa namna ambayo unawanyima nguvu watu maskini na kuwatosa katika kila option ambayo inaweza kuwa sahihi kuifanya. Umaskin wa nchi hii ni umaksin w kunufaisha watu wachache ambao wanalindwa na utawala. So zoez la kuundoa umaskin ni gumu sana sababu watawala na matajri ndio wwananufaika nao
Umeandika vizuri sana kuhusu mambo ya kufanya.
Changamoto kubwa ni wananchi(wenye nchi) kutegemea viongozi badala ya viongozi kutegemea wananchi.
Utajiri wa nchi huanzia kwa wananchi kwa kumiliki uchumi wao (ardhi na vyote vilivyomo).
Wageni wakimiliki njia kuu za uchumi, kwa uhalisia nchi hiyo siyo tajiri, ni masikini.
Siasa na uongozi hutokana na aina ya wananchi kwa fikra zao.
Kwa hiyo, kazi inayotakiwa kwa sasa ni kuwajengea wananchi walio wengi utajiri wa fikra ili waweze kujilinda, kutumia maliasili zao kujenga uchumi binafsi na taifa kwa ujumla.
Wazee wa zamani walisema, " Ni bora kuwa tajiri wa akili ukakosa mali kuliko utajiri wa mali ukose akili."
 
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya tumewazidi big time.

Tuna nini?

  • Madini: Dhahabu, almasi, nickel, lithium, uranium, tanzanite (ambayo ni yetu PEKEE duniani). Europe wengi hawana hata robo ya hii.
  • Ardhi: Ardhi kubwa, yenye rutuba hatari. Ulaya wanapigania hekta 1, sisi tunaacha maelfu bila mpango.
  • Maji: Maziwa makubwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa), mito, bahari. Wengine wanategemea mvua ya prayer.
  • Utalii: Serengeti, Ngorongoro, Kilimanjaro, Zanzibar. Hii ni world-class level, hakuna story.
  • Nishati: Gesi, jua, upepo, maji. Hapa tunaweza kuzalisha umeme wa kufeed East & Central Africa.
  • Watu (youth): Vijana wengi, nguvu kazi fresh, akili kali, ila mfumo unawabana kama pingu.

Lakini sasa swali la mtaa ni hili:
Kama tuna kila kitu, mbona maisha ya mwananchi wa kawaida ni ya hovyo hivi?
Why are people suffering wakati nchi ni loaded?

Jibu ni moja tu bro: MISMANAGEMENT & FAKE LEADERSHIP.
Hakuna uongozi wa kueleweka. Ni kelele, ni siasa, ni propaganda, ni promises za hewani. Kila mtu anatafuta his cut, wananchi wanabaki wakilia. Watu wanacheza na rasilimali zetu kama ni mali ya babu yao. Wanatudharau, wanatuona kama matako yao, straight up disrespect.

Kama tungekuwa na viongozi halali, hawa mambo ya muhimu sana ya kufanya:

1. System kali, sio maneno
Mfumo unaojieleza, unaoeleweka, unaolinda wanyonge. Not this corruption bullshit. Ukikosea unawajibika, haijalishi wewe ni nani.

2. Industrialization ya ukweli
Sio kusafirisha raw materials. Madini yasafishwe hapa, mazao yaongezwe value hapa. Hapo ajira zinatokea automatic.

3. Youth empowerment real talk
Mikopo isiyo ya unyonyaji, training za vitendo, support ya biashara ndogo ndogo. Sio seminars za kupiga picha tu.

4. Education ya kazi, sio vyeti vya kufa
Ufundi, technology, agriculture ya kisasa, tourism ya maana. Vijana wafundishwe ku-produce, sio kusubiria kuajiriwa.

5. Public services ziwe simple & digital
Leseni, vibali, biashara, kodi, vyote viwe clear. Hakuna kumzungusha mtu ili utoe rushwa.

6. Ajira chache lakini zenye impact kubwa
Bro, hata uki-ajiri watu 50 tu, kama mifumo iko poa, hao watu 50 wanaweza ku-create opportunities kwa maelfu. Mfumo mzuri unaajiri watu indirectly, sio lazima serikali iwaajiri wote.

7. Respect kwa mwananchi
Serikali iwe servant, sio boss. Mwananchi awe priority, sio ATM ya viongozi.

Ukweli mchungu ni huu:
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa rasilimali, ni ukosefu wa uongozi wa maana.
Until we fix the system, tutabaki kulalamika, vijana wataendelea kusema “hakuna ajira”, na wageni wataendelea kunufaika na jasho letu.

Hii nchi inaweza kusimama yenyewe, bila misaada, bila begging.
Tunahitaji viongozi wa real talk, sio sweet talk.
No more mchezo. No more nonsense.
It’s time to wake the hell up.
Sisi ni wabinafsi sana
 
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya tumewazidi big time.

Tuna nini?

  • Madini: Dhahabu, almasi, nickel, lithium, uranium, tanzanite (ambayo ni yetu PEKEE duniani). Europe wengi hawana hata robo ya hii.
  • Ardhi: Ardhi kubwa, yenye rutuba hatari. Ulaya wanapigania hekta 1, sisi tunaacha maelfu bila mpango.
  • Maji: Maziwa makubwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa), mito, bahari. Wengine wanategemea mvua ya prayer.
  • Utalii: Serengeti, Ngorongoro, Kilimanjaro, Zanzibar. Hii ni world-class level, hakuna story.
  • Nishati: Gesi, jua, upepo, maji. Hapa tunaweza kuzalisha umeme wa kufeed East & Central Africa.
  • Watu (youth): Vijana wengi, nguvu kazi fresh, akili kali, ila mfumo unawabana kama pingu.

Lakini sasa swali la mtaa ni hili:
Kama tuna kila kitu, mbona maisha ya mwananchi wa kawaida ni ya hovyo hivi?
Why are people suffering wakati nchi ni loaded?

Jibu ni moja tu bro: MISMANAGEMENT & FAKE LEADERSHIP.
Hakuna uongozi wa kueleweka. Ni kelele, ni siasa, ni propaganda, ni promises za hewani. Kila mtu anatafuta his cut, wananchi wanabaki wakilia. Watu wanacheza na rasilimali zetu kama ni mali ya babu yao. Wanatudharau, wanatuona kama matako yao, straight up disrespect.

Kama tungekuwa na viongozi halali, hawa mambo ya muhimu sana ya kufanya:

1. System kali, sio maneno
Mfumo unaojieleza, unaoeleweka, unaolinda wanyonge. Not this corruption bullshit. Ukikosea unawajibika, haijalishi wewe ni nani.

2. Industrialization ya ukweli
Sio kusafirisha raw materials. Madini yasafishwe hapa, mazao yaongezwe value hapa. Hapo ajira zinatokea automatic.

3. Youth empowerment real talk
Mikopo isiyo ya unyonyaji, training za vitendo, support ya biashara ndogo ndogo. Sio seminars za kupiga picha tu.

4. Education ya kazi, sio vyeti vya kufa
Ufundi, technology, agriculture ya kisasa, tourism ya maana. Vijana wafundishwe ku-produce, sio kusubiria kuajiriwa.

5. Public services ziwe simple & digital
Leseni, vibali, biashara, kodi, vyote viwe clear. Hakuna kumzungusha mtu ili utoe rushwa.

6. Ajira chache lakini zenye impact kubwa
Bro, hata uki-ajiri watu 50 tu, kama mifumo iko poa, hao watu 50 wanaweza ku-create opportunities kwa maelfu. Mfumo mzuri unaajiri watu indirectly, sio lazima serikali iwaajiri wote.

7. Respect kwa mwananchi
Serikali iwe servant, sio boss. Mwananchi awe priority, sio ATM ya viongozi.

Ukweli mchungu ni huu:
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa rasilimali, ni ukosefu wa uongozi wa maana.
Until we fix the system, tutabaki kulalamika, vijana wataendelea kusema “hakuna ajira”, na wageni wataendelea kunufaika na jasho letu.

Hii nchi inaweza kusimama yenyewe, bila misaada, bila begging.
Tunahitaji viongozi wa real talk, sio sweet talk.
No more mchezo. No more nonsense.
It’s time to wake the hell up.
Bila CCM kung’olewa hakuna maendeleo.
 
Tumekuwa fake kiasi kwamba waovu wanaotumia damu kutisha wanaostahili

Laana mbaya kuwahi kutokea duniani
 
Back
Top Bottom