Tanzania: Soda plant will not harm Flamingos

Ninaunga mkono serikali kujenga hiki kiwanda kama vile nilivyounga mkono ule mradi wa Kamba kule Mafia

mwenye mawazo tofauti aje
 
ni good idea kuanzisha kiwanda IWAPO kakitowaathiri hao flamingo.
tatizo kwenye mradi huu unatakiwa kufanywa in a trial and error bases.
wanafikiri kuwa flamingo hawatoathirika, but hawana certinity ya kukaribia 1.
hapo ni njia panda wakuu
 
Ninaunga mkono serikali kujenga hiki kiwanda kama vile nilivyounga mkono ule mradi wa Kamba kule Mafia

mwenye mawazo tofauti aje


Aje wapi?
Lengo lisiwe kubishana kwa sababu tu tunatofautiana.

Wewe una mawazo tofauti, lete hoja zako tuzitafakari. Watu wapate mwanga, wachanganue na wahusika wasaidiwe/washauriwe kufanya maamuzi yaliyo sahihi zaidi.
Mchango wako unahitajika haijalishi ni mawazo ya mrengo upi.
 
Watu wa enviroment managent wa tanzania washasema kuwa huu mradi hautahathiri mazalio ya framingo na wameusogeza mbali kidogo na ziwa, hao wa kenya wanajua tanzania ikizalisha soda wao wamekosa soko ndo maana wamengangania mpaka leo kuwa una madhara.
 
Watu wa enviroment managent wa tanzania washasema kuwa huu mradi hautahathiri mazalio ya framingo na wameusogeza mbali kidogo na ziwa, hao wa kenya wanajua tanzania ikizalisha soda wao wamekosa soko ndo maana wamengangania mpaka leo kuwa una madhara.

Kemcho!
Napenda nikuthibitishie kuwa hakuna shughuli yeyote ya kimaendeleo itakayofanyika eneo ama mazingira ya kiasilia isiwe na madhara.

Serengeti na Ngorongoro kunaupungufu wa Mahoteli ya kitalii, lakini kwa nini hawaongezi? Nadhani kosa la Serikali ililolifanya nikutokabidhi eneo la Lake natron kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ama Tanapa: Kwa sababu hawa jamaa wako serious na sheria zao, sidhani kama NDC wangethubutu kuomba ujenzi wa Kiwanda kama huamini waambie waende Lake Manyara nako si'niziwa la Magadi waone watakavyotolewa mkuku!

Pia kwa swala la kusema kuwa Kenya wanaogopa kupoteza soko la kwao, hiyo ni hoja! lakini haiingii akilini kwa sababu mara nyingi mtu ukishampenda demu jamaa anayemfahamu huyo demu kwa ukaribu akikwambia achana naye huyo nikiruka njia: Utasema anasema hivyo sababu labda na yeye anamtaka.

Sawa ukisema waKenya ni hofu ya ushindani wa Kibiashara, je hawa BirdLife International wapoupiga vita mradi huu wananufaika na nini?

Huyu pia si Mtanzania; je anapoupinga mradi utasema anamuonea wivu nani sasa?

"Lota Melamari, the CEO of the Wildlife Conservation Society of Tanzania (WCST, BirdLife in Tanzania) presented a strong case for the complete abandonment of the project in a presentation entitled "Flamingos of Lake Natron, a Tanzanian Treasure". In his talk, Lota described Natron’s vast flocks of shimmering pink flamingos as one of the world’s greatest wildlife attractions. “This resource must not be destroyed”, said Lota".

Mr. Lota yeye ni Conservator na amefanya kazi muda mrefu ndani ya Maliasili kwa hiyo amezungumza kitu kutokana na elimu yake.

Mimi nafikiri ni vizuri kusikiliza Ushauri wa Wataalamu waliosomeshwa kwa fedha ya Mtz; na pia mambo ya kitaaluma tusiyahusishe na siasa.

Sioni kwamba mradi huu ndiyo itakuwa suluhisho la Kiuchumi kwa Mtz, watu wamewekeza kwenye madini lakini wakazi wa maeneo yale hakuna wanachonufaika nacho; matisho wanajenga "vijishule" na kuwapatia wanavijiji "Vijipampu" vya kuvuta maji kwa kuruka-ruka!

Mradi huu haufai, kama niumasikini acha utumalize " Lake Natron Ash Project siyo suluhisho la Uchumi wa Tanzania"

Tata Chemical wakawekeze kwenye Kilimo Mbeya, Morogoro na Iringa!
 
Aje wapi?
Lengo lisiwe kubishana kwa sababu tu tunatofautiana.

Wewe una mawazo tofauti, lete hoja zako tuzitafakari. Watu wapate mwanga, wachanganue na wahusika wasaidiwe/washauriwe kufanya maamuzi yaliyo sahihi zaidi.
Mchango wako unahitajika haijalishi ni mawazo ya mrengo upi.
kweli niwie radhi maana ile post yangu ya mwanzo ilikuwa imekaa kishari shari

maswali ya kuijiuliza ni yafuatayo:

Kwa nini miradi mingi inayofanyika mikoa ya pwani inapewa objection na wanamazingira?

hawa wana mazingira ni akina nani?

nani anawafadhili?

imeweje wameweka kulobby mpaka Bungeni na wamewateka wabunge kwenye mambo haya?

Ukiangalia kwa undani utakuta kuna bias kubwa sana na hakuna anyethibutu kulisema hili

Hivi ushajiuliza kwa nini wabunge wa mikoa ya Pwani walikuja juu hukuhusu MRADI WA SONGO SONGO ili ali wabunge wa mikoa ya Juu walikuwa wanakuja juu kuwa mradi huu wa SONGO SONGO utaua TANESCO?

Hivi fear ni TANESCO au kuna lingine?

Ushajiuliza kwa nini wananchi wanakataliwa kulima kwenye msitu wa KAZIMZUMBWI?

Ushajiluliza kwa nini hawa wanamazingira wengi wa TZ wana links na wenzao wa Kenya? na wengi wao ni miavuli ya jamaa wa WWF

Unajua kwa nini Kenya walikuwa wanapinga sana mradi wa reli toka MOSHI kulekea MWANZA?

basi ukishajua hayo then utaona hatupewi picha kamili na hawa watu wanao ona maisha ya wanyama ni bora zaidi ya binadamu
 
Unajua kwa nini Kenya walikuwa wanapinga sana mradi wa reli toka MOSHI kulekea MWANZA?

Tueleze basi kwa nini hao wabaya wetu walipinga sisi kukatiza na treni katikati ya Serengeti? Au unauliza ili kufurahisha jamvi tu?
 
Bwana GAME THEORY kasi yako kubwa, utatuacha njiani.
Binafsi ningependa kusikia zaidi kutoka kwa wanamazingira na watu wa miradi ya maendeleo.


Tanzania on a mission to wipe out Kenya’s flamingoes Flamingos are a major tourism attraction in Kenya. Thousands of tourists visit the Rift Valley lakes of Naivasha, Nakuru and Bogoria to view the pink spectacle of these migratory birds.

Lake Nakuru alone generates some $15 million (about Sh1.05 billion) annually.

BirdLife Africa argues that all the three million Lesser Flamingos in the region, from Djibouti down through Tanzania to Malawi, were hatched at Lake Natron

Maghembe anasema, "give us amounts equivalent to cash flows which we would get from the project yearly", obviously we want the damn money, lakini nani kasema hatunazo options kuangalia namna tunavyoweza kufaidika kwa muda mrefu zaidi, bila kuharibu mazingira na bado tukabaki na reserve ya magadi.

Hebu oanisha na taarifa hii,


Tanzania agitates for compensation to developing nations protecting forests

2007-12-07 08:39:01
By Guardian Correspondent, Bali, Indonesia

Tanzania has called for developing countries compensation for protecting forests for the benefit of the international community.

Speaking on reducing emissions agenda from deforestation in developing countries yesterday, the Director of Environment in the Vice President`s Office, Eric Mugurusi said Tanzania supported the position of developing countries to claim compensation.

``We support the position that developing countries providing this global service should be rewarded with the necessary incentives and compensated commensurately,`` he said.

Mugurusi told the gathering at the on-going Conference on Climate Change in Bali, Indonesia that Tanzania incurred costs in protecting forests which conserve carbon mostly produced in industrialized countries.

``Yes, forest carbon provides a tool for mitigating climate change and financing forest conservation,`` he said.

He said for that matter, under climate change, there should be a proper system that would ensure that developing countries were compensated so that local communities living around forest areas also benefited.

``Mr. Chairman, reducing emissions from deforestation by reinforcing protected areas without addressing development dimensions of local communities could be a form of ``protectionism`` through the back door and could re-open decades of discussion on community livelihoods and poverty impacts of protected areas,`` he said.

Mugurusi said the compensation would enable developing countries to acquire modern technologies such as biogas thereby effecting sustainable development.

Delegates at the conference have now started working in groups as part of preparations for the scheduled next Tuesday ministers meeting.
 
Bwana GAME THEORY kasi yako kubwa, utatuacha njiani.
Binafsi ningependa kusikia zaidi kutoka kwa wanamazingira na watu wa miradi ya maendeleo.



Maghembe anasema, "give us amounts equivalent to cash flows which we would get from the project yearly", obviously we want the damn money, lakini nani kasema hatunazo options kuangalia namna tunavyoweza kufaidika kwa muda mrefu zaidi, bila kuharibu mazingira na bado tukabaki na reserve ya magadi.

Hebu oanisha na taarifa hii,



Kila siku zikipita ninazidi kuwa na wasiwasi na hawa maprofesa wanasiasa! Yaani yeye kigezochake pesa tuu. Ana uhakika gani kwanza hata hizo pesa zitapatikana kiwanda kikikamilika? Hao hao wanamazingira wanaweza kuanzisha mgomo wa bidhaa zote zinazotokana huko na hivyo kupunguza mapato! kumbe ndiyo maana wakombioni kuua Serengeti na Ngorongoro ati wawe na vitanda kama walivyokuwa navyo waKenya! Ukijumlisha na kuondoka kwa theluji Kilimanjaro sijui tutakimbilia wapi? mungu atunusuru na wasomi kama hawa!

Amandla!
 
kama hicho kiwanda kitasaidia wananchi, wanaohangaika wanatamani tu hata hao flamingo wangekuwa karibu wawakamate wawachinje walau wale nyama tu manake maisha magumu, sioni kama kuna umuhimu wowote wa kutuzuia tusijenge icho kiwanda kama kitaleta walau contribution fulani kwa nchi yetu. najua ni muhimu kuweka maliasili ili zije zisaidie vizazi vya baadae, lakini,simba akizidiwa hula hadi majani. na mtu akizidiwa,huwa yuko tayari hata kama atapata hasara kubwa,alimradi amefanikisha alichokuwa anakitaka. watu wengi wanaolalama kwenye suala hili ni wakenya, watu ambao huwa wanaona wivu mno,wanatuoneaga wivu watz. siku zote kenya ilishajihesabia kuwa wao wako juu kuliko tz. wakiona watz wanakuja juu huwa hawalali kabisa. wao wamefanya mradi kama huu wa magadi, wamafaidika sana na wanatuuzia sisi wenyewe magadi tena kwa garama. wanafaidika. kwanini sisi tusifanye hivyo? kwanini wanalalama sana. kuna siku nilikuwa Nairobi,nilifungulia moja ya tv zao,nusu nipasue kwa ngumi. Mimi nafikiri, kama kuna madhara machache tu,tuusapoti tu huo mradi.

kama tulifanya vibaya tukamaliza vizazi vya vifaru wanaoshika mimba kwa muda wa miaka mitano...kuna hasara gani bwana, kwani hao vifaru tunawala nyama? utalii wenyewe unatuingizia hela kidogo tu,na vijisenti vyenyewe vinaliwa na wachache. kama kuna madini hata kama leo tukiyaona katikati ya serengeti,kama yataleta ugali kwa wananchi wetu, tufanyage tu. mtindo wa kusema sisi tujitese kwasasaivi ili vizazi vya baadae vije viburidike, hio haipo. wao watakuja kutafutaga altenatives zao wenyewe kulingana na muda wao. NAOMBA HUO MRADI WA MAGADI UENDELEE. kama tunamaliza flamingo, basi,tutakula magadi....
NB:naomba msinirushie makombora makubwa mno. najua how u r going to react.hahaha
 
kama hicho kiwanda kitasaidia wananchi, wanaohangaika wanatamani tu hata hao flamingo wangekuwa karibu wawakamate wawachinje walau wale nyama tu manake maisha magumu, sioni kama kuna umuhimu wowote wa kutuzuia tusijenge icho kiwanda kama kitaleta walau contribution fulani kwa nchi yetu. najua ni muhimu kuweka maliasili ili zije zisaidie vizazi vya baadae, lakini,simba akizidiwa hula hadi majani. na mtu akizidiwa,huwa yuko tayari hata kama atapata hasara kubwa,alimradi amefanikisha alichokuwa anakitaka. watu wengi wanaolalama kwenye suala hili ni wakenya, watu ambao huwa wanaona wivu mno,wanatuoneaga wivu watz. siku zote kenya ilishajihesabia kuwa wao wako juu kuliko tz. wakiona watz wanakuja juu huwa hawalali kabisa. wao wamefanya mradi kama huu wa magadi, wamafaidika sana na wanatuuzia sisi wenyewe magadi tena kwa garama. wanafaidika. kwanini sisi tusifanye hivyo? kwanini wanalalama sana. kuna siku nilikuwa Nairobi,nilifungulia moja ya tv zao,nusu nipasue kwa ngumi. Mimi nafikiri, kama kuna madhara machache tu,tuusapoti tu huo mradi.

kama tulifanya vibaya tukamaliza vizazi vya vifaru wanaoshika mimba kwa muda wa miaka mitano...kuna hasara gani bwana, kwani hao vifaru tunawala nyama? utalii wenyewe unatuingizia hela kidogo tu,na vijisenti vyenyewe vinaliwa na wachache. kama kuna madini hata kama leo tukiyaona katikati ya serengeti,kama yataleta ugali kwa wananchi wetu, tufanyage tu. mtindo wa kusema sisi tujitese kwasasaivi ili vizazi vya baadae vije viburidike, hio haipo. wao watakuja kutafutaga altenatives zao wenyewe kulingana na muda wao. NAOMBA HUO MRADI WA MAGADI UENDELEE. kama tunamaliza flamingo, basi,tutakula magadi....
NB:naomba msinirushie makombora makubwa mno. najua how u r going to react.hahaha
 
I think that is selfish solution. Imagine kama mwalim angeuza Mlima Kilimanjaro unadhani leo tungesema Tanzania home of mount Kilimanjaro. Hawa flamingo is a pride to our country, vile vile they're part of ecosystem, Kitu amacho wewe hujaangalia.

Think beyond the box. Kiwanda kinachoanzishwa na muekezaji huwezi kuamini projection zake 100%. Jee hicho kiwanda kina tengenezea taifa kiasi gani relative na watalii. Jee kiwanda project ina maturity baada ya muda gani, na flamingo wameshakaa hapo kwa muda gani?

Maamuzi ya kukurupuka ndio maana Tanzania siku zote ina fail. We target around the corner badala ya kuangalia at the moon. Sasa tuwaue flamingo then 3 years latter muwekezaji anaunbolt machine zake anasema anahamia Uganda kwani amepewa good deal na serikali ya museveni. Au ananyanyua machine sababu kuna new product imegunduliwa.

You can't trust investor ambaye lengo lake ni kukamata faida. WAACHENI FLAMINGO PLZ
 
Mradi huu endelee...na tukimaliza huu tuendelee na ule wa reli toka Moshi kwenda Mwanza tukimaliza tujenge airport ya kisasa kule Bagamoyo, tukimaliza tujenge highways za maana nyanda za juu tukimaliza tujenge Pemba ...yaani sisi tusiwasikilize hawa wendawazimu wanaopenda sana wanyama kuliko Binadamu

Bt the way nadhani kungekuwa na umuhimu wa kupanua ule mradi wa Kamba kule MAFIA
 
umesema sawia kabisa mkuu. unajua kuna watu humu ndani wana aibu, wanafiki.huwa hawapendi kuandika/kuongea kile kilichoko moyoni. huwa wanafuata upepo. NASHUKURU wewe kwa kusema toka moyoni. safi sana.
 
Baada ya Miaka kumi, mwaka 2018:

1. Kiwanda kimesimama baada ya mwekezaji kudai hakilipi kutokana na madai ya mishara mikubwa ya wafanyakazi. Flamingoes tunawaona kwenye post kadi.

2. Ukienda Bagamoyo, unaelezwa kuwa pale ndipo palipokuwa mji mkongwe, na kile kifusi ni mabaki ya iliyokuwa Ikulu ya kwanza Tanzania.

3. Wavuvi Rufiji wameamua kuzamia meli kwa sababu ya ukosefu wa samaki na shrimps. Hii inatokana na serikali kugawa vibali kibao ili waweze kuongeza mapato, kwa meli kutoka Korea, Hispania n.k.

4. Tunaondoa nembo ya mlima Kilimanjaro kwenye matangazo yetu kwa kuhofia kushitakiwa kwa kudanganya public kuwa kuna snow kwenye mlima huo. Wachagga, wapare na wengine wanaoishi maeneo hayo imebidi wahamie kwingine kutokana na ukosefu wa maji (ambao umechangiwa pia na ukataji miti ovyo) na mvua.

5. Hoteli zilizojengwa Ngorongoro na Serengeti zinakosa wateja maana wanyama wametoweka baada kuongezeka idadi ya watu mara dufu, kuchafua mazingira kutokana na kusambaza maji taka katika maji wanayotegemea. Kutua kwa ndege kila wakati na ujenzi unaoendelea wa reli kwenda Musoma umekata migration route ya wildebeasts!

6. Serikali imeunda kamati kuchunguza kwa nini vifo vinaongezeka katika maeneo ya migodi ya dhahabu. Serikali inafikiria vile vile kuwashitaki wawekezaji katika sekta hii baada ya wao kukataa kufukia mashimo waliyoyaacha na kusafisha ardhi iliyojaa sumu iliyotakana na shughuli zao.

7. Waziri wa Mazingira, Mheshimiwa Kidzogolae anawakumbusha wananchi kuwa wasingejua Lexus ni nini bila hiyo miradi! Anawakumbusha vile vile jinsi walivyonufaika kwa kula mizoga ya hao ndege.! Amewahakikishia tena kuwa kuna mpango wa kuingiza mashine ya kutengeneza snow kama zilizoko ulaya na kuiweka katika mlima Kilimanjaro na kuwakata ngebe waliopinga wote miradi hii, mashine nyingine itawekwa kwenye mlima Meru! Wafanyabiashara wote wanaotaka kuweka matangazo yao kwenye hizi mashine wanakaribishwa maana ndio soko huria, baba! Likitolewa dau la kutosha hata majina ya hiyo milima tunaweza kuigeuza kwa kuongeza jina la mfadhili k.m. Mlima Salama Kilimanjaro-Coca Cola, Mlima Salama Meru n.k.

Serikali imetangaza nia ya kwenda nchi za ulaya kudai mali asili zao walizoibiwa maana kila mmoja anajua kuwa lesser flamingoes karibu wote walitokea Lake Natron. Wana matumaini makubwa ya kulipwa kompesesheni nzito maana hakuna mtu aliyewashauri vizuri wakati wa kujenga kiwanda!
 
Baada ya Miaka kumi, mwaka 2018:

1. Kiwanda kimesimama baada ya mwekezaji kudai hakilipi kutokana na madai ya mishara mikubwa ya wafanyakazi. Flamingoes tunawaona kwenye post kadi.

2. Ukienda Bagamoyo, unaelezwa kuwa pale ndipo palipokuwa mji mkongwe, na kile kifusi ni mabaki ya iliyokuwa Ikulu ya kwanza Tanzania.

3. Wavuvi Rufiji wameamua kuzamia meli kwa sababu ya ukosefu wa samaki na shrimps. Hii inatokana na serikali kugawa vibali kibao ili waweze kuongeza mapato, kwa meli kutoka Korea, Hispania n.k.

4. Tunaondoa nembo ya mlima Kilimanjaro kwenye matangazo yetu kwa kuhofia kushitakiwa kwa kudanganya public kuwa kuna snow kwenye mlima huo. Wachagga, wapare na wengine wanaoishi maeneo hayo imebidi wahamie kwingine kutokana na ukosefu wa maji (ambao umechangiwa pia na ukataji miti ovyo) na mvua.

5. Hoteli zilizojengwa Ngorongoro na Serengeti zinakosa wateja maana wanyama wametoweka baada kuongezeka idadi ya watu mara dufu, kuchafua mazingira kutokana na kusambaza maji taka katika maji wanayotegemea. Kutua kwa ndege kila wakati na ujenzi unaoendelea wa reli kwenda Musoma umekata migration route ya wildebeasts!

6. Serikali imeunda kamati kuchunguza kwa nini vifo vinaongezeka katika maeneo ya migodi ya dhahabu. Serikali inafikiria vile vile kuwashitaki wawekezaji katika sekta hii baada ya wao kukataa kufukia mashimo waliyoyaacha na kusafisha ardhi iliyojaa sumu iliyotakana na shughuli zao.

7. Waziri wa Mazingira, Mheshimiwa Kidzogolae anawakumbusha wananchi kuwa wasingejua Lexus ni nini bila hiyo miradi! Anawakumbusha vile vile jinsi walivyonufaika kwa kula mizoga ya hao ndege.! Amewahakikishia tena kuwa kuna mpango wa kuingiza mashine ya kutengeneza snow kama zilizoko ulaya na kuiweka katika mlima Kilimanjaro na kuwakata ngebe waliopinga wote miradi hii, mashine nyingine itawekwa kwenye mlima Meru! Wafanyabiashara wote wanaotaka kuweka matangazo yao kwenye hizi mashine wanakaribishwa maana ndio soko huria, baba! Likitolewa dau la kutosha hata majina ya hiyo milima tunaweza kuigeuza kwa kuongeza jina la mfadhili k.m. Mlima Salama Kilimanjaro-Coca Cola, Mlima Salama Meru n.k.

Serikali imetangaza nia ya kwenda nchi za ulaya kudai mali asili zao walizoibiwa maana kila mmoja anajua kuwa lesser flamingoes karibu wote walitokea Lake Natron. Wana matumaini makubwa ya kulipwa kompesesheni nzito maana hakuna mtu aliyewashauri vizuri wakati wa kujenga kiwanda!



wakati huo huo hao wakenya watakuwa wamepiga hatua baada kuwaona wanamazingira wendawazimu

Huu upuuzi wa mazingira China ingeendelea kuwasikiliz a wazungu mpaka leo wangekuwa kule kule nyuma

Wazungu wakati wa Industrial revolution hawakupiga sana kelele kwani walijua madhara yake ni nini

Sie bwana tujenge asiye taka naweza kuhama nchi its that simple

Uchumi wetu wa watu milioni 40 unaweza ukawa wa maana zaidi kuliko tutegemea huo utalii
 
mtindo wa kusema sisi tujitese kwasasaivi ili vizazi vya baadae vije viburidike, hio haipo.
Sidhani kwamba hiki ndicho kinachotokea.



Mradi huu endelee...na tukimaliza huu tuendelee na ule wa reli toka Moshi kwenda Mwanza tukimaliza tujenge airport ya kisasa kule Bagamoyo, tukimaliza tujenge highways za maana nyanda za juu tukimaliza tujenge Pemba ...yaani sisi tusiwasikilize hawa wendawazimu wanaopenda sana wanyama kuliko Binadamu

Bt the way nadhani kungekuwa na umuhimu wa kupanua ule mradi wa Kamba kule MAFIA



Where did you get that impression?
We want to prevent the extinction of those flamingos for our benefit mainly, not just bird's.


GAME THEORY said:
Uchumi wetu wa watu milioni 40 unaweza ukawa wa maana zaidi kuliko tutegemea huo utalii

Only if you knew how much and how many of the locals do benefit from tourism.
Nazungumzia faida wanayopata wazawa moja kwa moja, achilia mbali pato linaloingia serikalini.
 
Sidhani kwamba hiki ndicho kinachotokea.






Where did you get that impression?
We want to prevent the extinction of those flamingos for our benefit mainly, not just bird's.



Only if you knew how much and how many of the locals do benefit from tourism.
Nazungumzia faida wanayopata wazawa moja kwa moja, achilia mbali pato linaloingia serikalini.

mjomba nitarudi punde na ushahidi...aADMIN/MODS mtanisamehe kwani niko kwenye process ya kumkoma nyani Giladi na wengine wanaweza wasipendezwe na ushahidi nitakao uleta
 
Back
Top Bottom