Verifier
JF-Expert Member
- Aug 14, 2019
- 457
- 1,503
Kama sikosei hii channel ilianzishwa kwa juhudi za Waziri Mkuu ili kukuza utalii lakini ni ya hovyo isiyo na weredi wa aina yoyote.
Jana nilikuwa naitazama haina mvuto kwani muda mwingi unapotezwa katika matukio yasiyo na tija wala mvuto. Ingependeza kama wizara ingetafuta watu wenye ujuzi na weredi wa kutengeneza ili hata wasiojua Kiswahili waweze kufuatilia.
Jana nilikuwa naitazama haina mvuto kwani muda mwingi unapotezwa katika matukio yasiyo na tija wala mvuto. Ingependeza kama wizara ingetafuta watu wenye ujuzi na weredi wa kutengeneza ili hata wasiojua Kiswahili waweze kufuatilia.