Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Leo dola 1=1785 hatari sana..
Sijui hana washauri huyu mtu.....
Wengine wanafurahi sana aisee....maana mfano mtu akituma hela bongo sasa hivi ambayo £1 bongo anapata 2650 kama sikosei, sasa hiyo pound moja mtu unanunua karanga tu basi, hela yetu kwa ujumla imeshuka sana tena sana....sasa hivi watu ndio wanatumia advantage kufanya transaction kutoka international ili wapate hela yetu....
nina mpango wa kuziconvert hela zangu zote za madafu into us$ regardless how little it is...ni hasara kuwa tshs kama una mpango wa kufanya international transactions in the future..
kama ni arbitrageur ni rahisi kupredict...