Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,402
Hali ni mbaya sana kuliko tunavyoweza kudhani
Mabadiliko ya katiba ya ccm kumpa "mighty powers" mwenyekiti wa chama sio ya bahati mbaya.
Kupitishwa kugombea ubunge kwa wanafamilia ambao wazazi wao walishawahi kuwa marais na wengine bado wakiwa madarakani ni mpango mkakati uliosukwa vema kutawala kifamilia walau mpaka 2050.. In short utawala wa kiimla na kifalme.
Hao waliopitishwa watapata backup na watiifu wengine waliopitishwa.. Watu waoga, wasio na maono yoyote na watu wa ndio mzee.
Kama uchaguzi utafanyika kwa kura ambazo wameshaziandaa baada ya hapo ni kukamilisha tu kupanga safu zao kuanzia juu mpaka chini
Kitakachotokea ninini hapo!? Ni kitu kibaya mno.
Wakiamua kuongeza ukomo wa vipindi vya utawala hakutakuwa na kuwapinga.
Wakiamua kuuza, kugawa ama kutoa zawadi rasilimali yoyote hakutakuwa na kuwazuia.
Watakuwa na power kubwa zaidi kuliko sasa ya kufanya chochote na kwa wakati wowote bila shida yoyote!
Wenye uthubutu wote wamepigwa chini.. Baadhi yao watapozwa kupewa vyeo nje ya mfumo
Wenye maono ya mbali hao wataendelea kukandamizwa.
Wenye kuitakia mema Tanganyika hawa... Mhm tuwaombeee sana!
Kuna baadhi wamepitishwa kimkakati kwakuwa wanajulikana cv zao kwa ukatili.. Hawa ndio watakuja kuwa watu wa kuogopwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzoni.
Kama uchaguzi huu utafanyika kwa kura zao feki.. Yajayo yanatisha sana!
Mabadiliko ya katiba ya ccm kumpa "mighty powers" mwenyekiti wa chama sio ya bahati mbaya.
Kupitishwa kugombea ubunge kwa wanafamilia ambao wazazi wao walishawahi kuwa marais na wengine bado wakiwa madarakani ni mpango mkakati uliosukwa vema kutawala kifamilia walau mpaka 2050.. In short utawala wa kiimla na kifalme.
Hao waliopitishwa watapata backup na watiifu wengine waliopitishwa.. Watu waoga, wasio na maono yoyote na watu wa ndio mzee.
Kama uchaguzi utafanyika kwa kura ambazo wameshaziandaa baada ya hapo ni kukamilisha tu kupanga safu zao kuanzia juu mpaka chini
Kitakachotokea ninini hapo!? Ni kitu kibaya mno.
Wakiamua kuongeza ukomo wa vipindi vya utawala hakutakuwa na kuwapinga.
Wakiamua kuuza, kugawa ama kutoa zawadi rasilimali yoyote hakutakuwa na kuwazuia.
Watakuwa na power kubwa zaidi kuliko sasa ya kufanya chochote na kwa wakati wowote bila shida yoyote!
Wenye uthubutu wote wamepigwa chini.. Baadhi yao watapozwa kupewa vyeo nje ya mfumo
Wenye maono ya mbali hao wataendelea kukandamizwa.
Wenye kuitakia mema Tanganyika hawa... Mhm tuwaombeee sana!
Kuna baadhi wamepitishwa kimkakati kwakuwa wanajulikana cv zao kwa ukatili.. Hawa ndio watakuja kuwa watu wa kuogopwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzoni.
Kama uchaguzi huu utafanyika kwa kura zao feki.. Yajayo yanatisha sana!