Si nina'share' tukoje. Kwa nje tunasema ni atheists, lakini kwa ndani tunamwamini Mungu. Wewe unaweza kupinga kitu usichojua kwamba hakipo na utaanzaje? Ukipinga, ina maana hicho unachokipinga kilo, labda umeamua tu kutokubaliana nacho. Lakini kilo kwa sababu kama hakipo, utakipingaje, si kila mtu atakuona wa ajabu! Hivyo, ndivyo sisi atheists tulivyo. Kingunge naye alikuwa haamini Mungu yupo, lakini alipokaribia mwisho kabisa nasikia aliomba Padri aende kumwombea. Hivi ndivyo nilivyosikia na kama ni kweli, ni ushahidi mmojawapo. Upon hapo?