Tanzania president urged to quit

Kimsingi lazima kuna mtu anatakiwa kuwajibika. Katrina ni natural disaster na upeo wa kuweza kurespond kwa tukio kama lile linaw3za kuwa nje ya uwezo wa uwezo wa kibinadamu. Lakini hili la mabomu lazima mtu anatakiwa awajibishwe. Hebu fikiria kama kungekua na mabomu ya kinyukilia au silaha kali nyingine zaidi watu wangapi wangepoteaza maisha? nafikiri pia idadi ya watu, ati ni "wachache" inaweza kuwa kichocheo cha kutokuona kwamba hili sio janga....lakini ni janga kubwa. Well, lazima kuna kitu behind those bombs, hii siyo hivihivi. Kwa kuspeculate tu kunawezakkuwa na conspiracy theories ndani yake- labda jamaa waliokuwa wanazilinda walikua hawaridhiki na pay so kwa kuwa jeshi ni amri, kuraise fedheha zao ni kulipua...au watu wameiba muda mrefu wakapeleka congo mzigo sasa wakati wa kugakua ukawa umewadia...
 
Kweli upinzani (NCCR) umechoka. Sasa kama kwa ishu kama hii jamaa wanataka Rais ajiuzulu, mbona tutakua na ma-Rais wengi sana kwa kipindi kifupi.

Hebu waje na hoja zinazoonyesha madhumuni.. sio makelele...

SK;
Na waonyeshe kama kuna kifungu chochote cha katiba au sheria kinachowapa uhalali wa mwito wao.
 
SK;
Na waonyeshe kama kuna kifungu chochote cha katiba au sheria kinachowapa uhalali wa mwito wao.
Kifungu hicho kinaitwa uwajibikaji. Serikali ni lazima ionekane inawajibika pale maafa ya raia yanapotokea. Mwinyi alilazimika kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani baada ya wafungwa kufia jela kule Mwanza.
 
This is a big scandal. I support accountability of some high level political figures, a minister likely.
 
NCCR wao kazi yao ni kelele, they have never accomplished anything. Rais wa nchi hawezi kuwajibika na ishu kama hii. Kwanza hata kwa mkuu wa majesh kuwajibika ni vigumu sana. Kuna watu ambao huwezi kuwaondoa hivi hivi. Labda defence minister. Lakini sina uhakika na portfolio yake inamuhusisha na nini hasa. Labda kwenye ishu ya radar!

With such thinking, I bet all rubbish going on in Tanzania you deserve them. I mean you don't need redemption, until you reach political and academic maturity. Do you know the value of life???, How sensitive is life of somebody???
 
With such thinking, I bet all rubbish going on in Tanzania you deserve them. I mean you don't need redemption, until you reach political and academic maturity. Do you know the value of life???, How sensitive is life of somebody???

What do u mean by with such thinking? I have not de-valued the value of life. On paper, it sounds good kusema watu wawajibike, lakini tumia common sense (but i guess it can't be common kama wengi hawana). Nchi ngapi wewe umeona mkuu wa majeshi, (General) anaachia ngazi kirahisi hivyo? That is a sensitive position kwa nchi nzima na hasa serikali tawala. Au kwa sababu jeshi la TZ limekaa kimya ndo mnaona ni mafala. Ulizeni nchi kama Nigeria maana ya jeshi. Unaleta ujinga hapa. Kwanza i bet hiyo milipuko ilishtua ikulu, wakidhani mambo yamewageukia. Sema ni vile tu hawawezi kusema hivyo.
Pili kuna kitu kinaitwa natural justice, huwezi kuamka asubuhi na kumfukuza mtu kazi kwa sababu unazozitaja mwenyewe. Ndio maana hata Lowassa yeye aliamua mwenyewe tu kutoka, hakutolewa na serikali. I dont think you understand public law.
Tatu, position ya rais sio kama ya Waziri mkuu uingereza. Wewe umeshaona ma-rais wangapi wanawajibika? Marekani yenyewe ni Nixon tu kwenye ishu ya watergate. Uingereza ni mfalme mmoja alipotaka kumuoa mkatoliki, ndo akaingia babake elizabeth. These cases are rare. Na wewe ukitegemea hivyo, with your so called political and academic maturity utaumia.
Narudia tena, katika mfumo wetu sisi wa utawala, ni vigumu kwa rais kuwajibika. As an elected head of state, huwajibiki kirahisi, ama sivyo italeta matatizo mengi kikatiba.
Conclusion: mtu anapowajibika lazima kwanza afanye assessment of the whole situation. Atajiuliza: What happened? How did it happen? What were the consequence of it? How could I have (under my position) prevented it?
Kama unaona wewe ndo direct cause, then unatakiwa kujitoa. Sio unaamka asubuhi na kusema...wajibika, wajibika...kha! Mnakuwa kama makondoo kufuata mkumbo tu.
 
Back
Top Bottom