Huo ni msimamo mpaka sasa hivi, ligi bado kabisa. Nawasubiri round ya pili nicheke jinsi mtakavyokuja na plan ya kupaki basi la mwendokasi.Yanga kapaki bus hapo kwenye hiyo nafasi kazi kwako mbumbumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni msimamo mpaka sasa hivi, ligi bado kabisa. Nawasubiri round ya pili nicheke jinsi mtakavyokuja na plan ya kupaki basi la mwendokasi.Yanga kapaki bus hapo kwenye hiyo nafasi kazi kwako mbumbumbu
Yaani nyie ni watu wa kusubiria tu. Mlianza kusubiri yanga wacheze mechi za mikoani mkaumbuka na sasa mnasubiria mechi za yanga mzunguko wa pili wa ligiHuo ni msimamo mpaka sasa hivi, ligi bado kabisa. Nawasubiri round ya pili nicheke jinsi mtakavyokuja na plan ya kupaki basi la mwendokasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulianza iviiHuo ni msimamo mpaka sasa hivi, ligi bado kabisa. Nawasubiri round ya pili nicheke jinsi mtakavyokuja na plan ya kupaki basi la mwendokasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmechukua ubingwa? Kwa sasa bingwa ni Simba hiyo ya kuongoza ligi sio ubingwa. Bingwa anayetambulika na dunia yote ni Simba, can you please shut your mouth?Yaani nyie ni watu wa kusubiria tu. Mlianza kusubiri yanga wacheze mechi za mikoani mkaumbuka na sasa mnasubiria mechi za yanga mzunguko wa pili wa ligi
Bingwa ni Simba, that's my summary.Tulianza ivii
Yanga 2-1 Mtibwa maneno yakawa mengi sanaa
Yanga 4-3 Stand tukaja hapa ohoo muna bahatisha sie kmyaa
Yanga 1-0 Coastal tena apa wakatulia kdg sie kmyaa
Yanga 2-0 Singida tukaja hapa ohoo wote nyie wabovu ngoja mukutane nasie tutakavyo wafunga maana kikisi chetu kipana kila kila sifa sie kmyaa
Yanga 0-0 Simba tukasubili tufungwe lkn aikuwa raisi mwisho wa siku ohoo nyie wachawi yani mpira apo ushamshinda anakimbizia kwenye uchawi wao mutaona mbao watawakalisha walisaau uyo mbao hapa ajawai kupata ata sare
Yanga 2-0 Mbao Fc Et ohoo mbao nao cjui vp walitamani kusema mbao vibonde ila wakaona aibu maana aliwafanya kitu mbaya
Yanga 3-0 Alliance si munashinda hapa hapa dar nyie subiri mutoke
Yanga 1-0 Kmc nyie siwanaume wa dar mukienda mikoani amutoki walisaau kuwa dar nae ni mkoa
Yanga 1-0 Lipuli mwendo kasi aliendi mikoani ye dar tuu sie kmyaaaa tukiwaona wanatusumbua sanaa jibu letu sie kiwanja chochote sie tupo nyumbani
Yanga 1-1 Ndanda ahaaa yani umedro na ndanda kwako kweli yanga amna k2 yani bado kidogo mfungwe yani mukienda mikoani2 amutoki kwa mpira huu sie sawaa
Yanga 2-1 Mwadui mh! Mmebahatisha ngoja kagera watawaonesha nyie wanaume wa dar
Yanga 2-1 Kagera mh! Kimoyo moyo walikuwa wanasema hii sasa sifa adi mikoani munavuruga wakajikaza kdg ngoja Jkt tz watawafundisha adabu
Yanga 3-0 Jkt Tz mama weee alaf wakawa kmyaa
Yanga 3 - 1 Prisons wanatamani kusema yanga inanunua mechi ila wanashindwa waanzie wapi wakati mpka sasaiv kakolanya ayupo na timu kisa mkwanja
Yanga 2-1 Biashara wabovu walikutana
Yanga 3-2 Ruvu ST hii ndio iliwaumiza sanaaaa maana awakutegemea kabisaaa walitamani sare lkn kitambaa akikutosha
Yanga 1-0 Africa lyon mmeshinda lkn kwa mbinde kwanza mpira wenyew mbovuu auna ata radha wamesaau yanga wao wanataka point tatu2 ayo mengne ayamuusu ohoo sasa shuhuli yenu inasha mbeya ambukile atawanyazisha maraa ohoo mwambie kocha wenu mukiingia uwanjani awahesabu kabisa wachezaji asije badae anatusumbua watakapofungwa sie kmyaa
Yanga 2-1 Mbeya C hapa sasa kmyaa kilitawala unaweza kusema kuna msiba umu ndani nakuanza kuuliza et liver na arsenal wanacheza saa ngp
Kwa yangaaa inabidi timu zote ziungane wawe kitu kimoja kisha waje kucheza na yanga
*KUMBUKUMBU:
Ukiulizwa Mara ya mwisho yanga kupoteza mchezo kwenye ligi itakubidi useme "HAPO ZAMANI ZA KALE"
By YFW
Mm na wewe nani wakuteseka.?Umejitia gundu tu..Matokeo yake tumepiga Singida Utd & Yanga SC kwa pamoja
Endeleeni kuteseka
Sent using Jamii Forums mobile app