Mkuu,narudia palepale. Kwa nchi za Africa,wala hatuhitaji long range ballistic missile kwa sasa. Nchi za Africa zote wala hazina maadui wanaotoka masafa marefu! Ni good coordination,suveillance,well trainned bnd discplined army,medium na short range equipments tu ndio zinafaa. Wala usihangaike na show offs.
Kwa technology ya vitu tunavyouziwa 3r world countries wala tusijivune sana, mbona hawaaigizi B52 aircraft?
Kila kitu kina matumizi yake mkuu. Kuna maeneo ya kutumia long range missile na kuna maeneo ya kutumia medium range au short range. Usione North Korea au Russia wanashindana na US kwa long range ballistic missiles,ukadhani pia Tanzania na Malawi nao wanahitaji kushindana kwa vifaa hivyo jua matumizi yake kwanza! Usi cramme. wana