Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,204
- 37,555
Mkuu binary TPDF wanazo jet fighter 14 aina ya J - 7G nadhani tunajitahidi hasa ukitilia maanani uchumi wetu bado duni.
Hizi tanks ata zikiwa milion km hatuna strong airforce i mean fighter jets and attack copter ni useless unless labda km zitakua kwa ajiri ya waandamanaji na wapinzani..helcopter moja tu inatosha kuziangamiza hiz tanks zaid ya 1000 kwa siku moja..
Last edited by a moderator: