Tanzania parades new Chinese kit

Tanzania parades new Chinese kit

300px-Pakistani_Chengdu_J-7.JPG


Mkuu binary TPDF wanazo jet fighter 14 aina ya J - 7G nadhani tunajitahidi hasa ukitilia maanani uchumi wetu bado duni.

Hizi tanks ata zikiwa milion km hatuna strong airforce i mean fighter jets and attack copter ni useless unless labda km zitakua kwa ajiri ya waandamanaji na wapinzani..helcopter moja tu inatosha kuziangamiza hiz tanks zaid ya 1000 kwa siku moja..
 
Last edited by a moderator:
The Tanzania People's Defence Force (TPDF) has taken delivery of a range of new hardware from China, including Type 63A amphibious tanks, A100 multiple rocket launchers and Type 07PA self-propelled mortars.

According to IHS Janes Defence Weekly, the new equipment, which was quietly acquired from China over the past few years, was unveiled at the 50th Tanzanian independence anniversary celebrations which were held at the Uhuru Stadium in Dar es Salaam on April 25.........

Tanzania acquires new amphibious tanks, rockets and other weapons from China | defenceWeb


.....Huwa naamini katika medani za kivita ukiwa na long range missile za uhakika halafu ukawa na majasusi wazuri wa kusoma coordinates muhimu kwa upande wa adui hiyo vita lazima ushinde !!!

....Tukiwa na moyo wa dhati haya makitu tunaweza kung'owa hata matatu kila mwaka....



C-602YJ-62+long+range+Anti+Ship+Cruise+Missile+%2528ASCM%2529+People%2527s+Liberation+Army+Navy+%2528PLAN+or+PLA+Navy%2529+Export+Pakistan+Navy+Costal+Defence+%25282%2529.jpg
 
Hizi tanks ata zikiwa milion km hatuna strong airforce i mean fighter jets and attack copter ni useless unless labda km zitakua kwa ajiri ya waandamanaji na wapinzani..helcopter moja tu inatosha kuziangamiza hiz tanks zaid ya 1000 kwa siku moja..

Mkuu hoja yako wenzio walishafanyia kazi siku nyingi. Hizo Type63A Tanks zina Ant-Tank Guided Missile(ATGPM). Pamoja na mengıneyo, Zina uwezo wa kukimbia ndani ya maji mpaka 30km/h,zina night vision,zina vifaa maalum vya kuzuia isiyumbishwe majini ili i hit target hata ikipiga kombora ikiwa majini. Ki u jumla wewe unawaza ki lay man,lakini wenzio wanakuna kichwa kwenye R&D na wanatoka na kitu kinachoeleweka. Hizo amphibious ndio zinatamba kwa medani ya kısasa. You can fhnd them ın Russıa,Chına,US and other more advanced countrıes.
 
Nadhani sasa mtaelewa kwa nini serikali ina tatizo kubwa na deni.

Duh! Nashangaa kuna watu mnapenda vita ni balaa! Nadhani mmezoe kuangalia sinema za aina ya Rambo na Commando, mnadhani vita ndivyo inavyokuwa.

Kwa taarifa yenu katika vita yeyote wanaoumia sana ni raia, na hasa wanawake na watoto.
 
Mkuu hoja yako wenzio walishafanyia kazi siku nyingi. Hizo Type63A Tanks zina Ant-Tank Guided Missile(ATGPM). Pamoja na mengıneyo, Zina uwezo wa kukimbia ndani ya maji mpaka 30km/h,zina night vision,zina vifaa maalum vya kuzuia isiyumbishwe majini ili i hit target hata ikipiga kombora ikiwa majini. Ki u jumla wewe unawaza ki lay man,lakini wenzio wanakuna kichwa kwenye R&D na wanatoka na kitu kinachoeleweka. Hizo amphibious ndio zinatamba kwa medani ya kısasa. You can fhnd them ın Russıa,Chına,US and other more advanced countrıes.

Safi sana. I wish zinaweza ku cross ziwa letu Nyasa na ziwa letu Tanganyika kuwatuliza Jamaa zetu kama wataanza tena kuchinjana sababu ya ukabila.......LOL
 
Huwa hazi cross ziwa lote au bahari yote kwani ziwa au bahari vinaweza kuwa pana sana,bali huwa zinabebwa na meli na kushushwa umbali wa 7,10, au 20 kilomita toka ufukweni ndipo hupita majini na nchi kavu. Kwa mito huweza katisha tu kwani mito mingi haina upana huo.
Safi sana. I wish zinaweza ku cross ziwa letu Nyasa na ziwa letu Tanganyika kuwatuliza Jamaa zetu kama wataanza tena kuchinjana sababu ya ukabila.......LOL
 
hope zipo kwaajili ya kulinda mipaka yetu na si kwaajili ya vita.

Mungu ilinde Tanzania, manake Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure, na kama vile ulivyowalinda israeli mchana kwa nguzo, na usiku kwa nguzo ya taa, utisho wako ukapita mbele yao na adui zao wote wakaanguka ndivyo ninavyo iombea nchi yangu kwamba Mungu utuongoze mchana na usiku na utisho wako upite mbele yetu adui zetu wote wakadondoshwe mbele zetu.
 
hii ni chinese mortar system Type 07PA artillery system can be used as mortal or howitzer.

The bad thing is kule china kuna Type 07PA artillery systems za bei ya chini na za bei ya juu. Za bei ya chini hazina ufanisi hata kidogo. Sasa waulize walinunua za bei ya Chini ama za bei ya Juu?
 
Kama hivyo ndivyo, kwa nini tulishindwa ona twiga wakipandaishwa kwenye ndege pale KIA? Au hizi radar haziwi applicable kwenye maliasili zetu?
Sawa na kwako waweza jenga ukuta mkubwa na geti na milango na madirisha ya grill,lakini bado binti yako akatiwa mimba. Utauliza mbona vitu hivyo havikuzuia mkuu! Kila chombo cha ulinzi kina kazi yake. Cha muhimu ni kufuatilia na kubana chombo kilichozembea.
 
Umenifanya nicheke kwa nguvu; wameingia choo cha kike kwa tamaa ya fweza....na mlango wa kutokea hawauoni...te te te....

Wamepewa mgandamizo mkubwa na al shabab. USA kawapiga changa la macho. Wao si wanapenda pesa sana, sasa US aliwaambia atawamwagia mi dola wakakubali kwenda somalia. Sasa hivi wanajuta.............LOL
 
hope zipo kwaajili ya kulinda mipaka yetu na si kwaajili ya vita.

Mungu ilinde Tanzania, manake Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure, na kama vile ulivyowalinda israeli mchana kwa nguzo, na usiku kwa nguzo ya taa, utisho wako ukapita mbele yao na adui zao wote wakaanguka ndivyo ninavyo iombea nchi yangu kwamba Mungu utuongoze mchana na usiku na utisho wako upite mbele yetu adui zetu wote wakadondoshwe mbele zetu.

Sasa dada yangu, kuna majirani wengine wanazingua. Lazima tuwawashe. Ni wakorofi sana bila kuwapa kipigo wanakuwa wanaleta chokochoko.
 
Sasa dada yangu, kuna majirani wengine wanazingua. Lazima tuwawashe. Ni wakorofi sana bila kuwapa kipigo wanakuwa wanaleta chokochoko.

mmmmmh!!!!!!!!!!

vita ni mbaya sana kaka yangu mie huwa sitamani wala siombei vita ukitaka kuamini haya uliza watu wa burundi, rwanda ama congo
 
Kweli vita ni mbaya sana,si vizuri kuwa mchokozi na wengi wetu hatupendi mambo hayo. Lakini kwa mfano anatokea rais chizi jirani yetu,anavamia sehemu ya aldhi yetu na kuuwa wananchi wetu na kutangaza kwamba eneo hilo ni lake. Utafanyaje?
mmmmmh!!!!!!!!!!

vita ni mbaya sana kaka yangu mie huwa sitamani wala siombei vita ukitaka kuamini haya uliza watu wa burundi, rwanda ama congo
 
Hizi tanks ata zikiwa milion km hatuna strong airforce i mean fighter jets and attack copter ni useless unless labda km zitakua kwa ajiri ya waandamanaji na wapinzani..helcopter moja tu inatosha kuziangamiza hiz tanks zaid ya 1000 kwa siku moja..
We kweli ni mbumbumbu wa armed conflicta!
Na anti-aircraft batteries watakuwa likizo?
 
Back
Top Bottom