hadi hapa... umemanisha hakina superior hapa EA.
zaidi inategemea mikakati na ujuzi wa makamanda husika.
sasa nawaza tena. wapi kuna training nzuri.. tena za anga maama karne hii. anga ndo muhimu zaidi.
Exactly mkuu. Kwa hapa East Africa wala tusitambiane sanaaa! Inategemea trainings za vijana wako hasa zimetokea wapi and ofcourse their ability to master the drills. Nadhani umeshasikia kila nchi zina makomandoo au special forces. Lakini nchi nyingine ni kali kwenye hiyo fani eg US,Russia,Israel,China,Tanzania(baadhi wata doubt)etc na nyingine ndio hivyohivyo wanaishia kuiba mikate na maji!