Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,281
- 7,475
nilikuwa kijijini juzi pasaka yani wale vijana rika langu ni wazee wanakula ugoro na gongo tu, wao pia wanafuraha sana niliona.Mbona sisi tupo huku kijijini na tunafuraha tuu, maghala yanachakula mpaka vinaharibika, ngo'mbe wanatoa maziwa mpaka yanakosa mnywaji, matunda yamejaa mtini mpaka yanaoza,, daah tutake nini tena jamani,