Tanzania ni ya 3 kwa stress duniani

Tanzania ni ya 3 kwa stress duniani

Tatizo ni Dikteta Magufuli ndio ameleta shida badala ya furaha.
 
Breaking: Tanzania yanyakua nafasi ya tatu duniani kwa kuwa na watu wenye mfadhaiko, machungu, msongo wa mawazo na kupata tabu duniani.Inasadikiwa asilimia 57 ya watanzania ya watanzania ni wahanga wa janga hili.Hii ni kwa mujibu wa jarida la FORBES.💪

https://www.forbes.com/sites/niallm...d-nations-worldwide-infographic/#77840c716a0c
Tunaishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya Mzalendo namba moja Rais Mh. Dr. John Pombe Magufuli kwa kufanikisha ushindi huu ambao kwa kweli kila Mtanzania Mzalendo lazima ajivunie.
CCM asanteni kwa ushindi huu murua
Cc. Pole Pole
 
Kama kuna kaukweli furani hivi maana

VISIMBUSI viliwatia watu mfadhaiko

MAFAO YA WASTAFU watu walipata mfadhaiko

KOROSHO watu walipata mfadhaiko

USAJILI MPYA WA LAINI huu sasa ndio mfadhaiko unaoendelea na inaonekana utakaa mda mrefu
 
marekani ni ya saba,tumai search engines kujua vigezo walivyotumia
 
Hahhaaa hongera kwa serikal yetu imetuwezesha kushika hata nafasi hii
 
Breaking: Tanzania yanyakua nafasi ya tatu duniani kwa kuwa na watu wenye mfadhaiko, machungu, msongo wa mawazo na kupata tabu duniani.Inasadikiwa asilimia 57 ya watanzania ya watanzania ni wahanga wa janga hili.Hii ni kwa mujibu wa jarida la FORBES.💪

https://www.forbes.com/sites/niallm...d-nations-worldwide-infographic/#77840c716a0c

Isikupe tabu hatupishani sana na kwa mjomba Trump kama ilivyo andikwa hapa chini-wote tuna mastress karibu sawa (LoL).

"The Philippines and Tanzania followed as the second and third most stressed nations with 58% and 57% respectively. The United States is also firmly among the world's most stressed countries with 55% of the population responding that they had experienced a lot of stress the day before the research was conducted. It is tied for fourth place along with Albania, Iran and Sri Lanka." (Forbes iliyotajwa hapo juu)
 
Ili uwe na furaha unahitaji mambo haya
1. Chakula bora na si bora chakula na uhakika
2. Malazi bora na si bora malazi
3. Huduma bora za Afya na
4. Akiba ya kutosha ya fedha, na uoatikanaji elimu bora na yenye tija
5. Usalama wa Raia dhidi ya vitisho na vifo
6. Usafiri w uhakika.

Pale ubungo mataa trafiki wanapovuta ndgu na viongizi inanitia hasira sana. Huwezi kuwa na furaha. Mawazo stress hasira vinawajaa abiria.

Huwa namtamani sana askali anayezuia magari.

Nchi zenye watu wenyr furaha zina haya
1. Wananchi wana akiba benki kila mwezi serikali inawawekea, watoto na wanawake wazazi.
2. Demokrasia ya kweli, huku ukiweka kajihakiba benk hukakuti, unaambiwa charges.
3. Usafiri wa uhakika, huku kwetu hakukuwa na sabb ya usafiri kufanywa eti una DCM au coasta yako unaifanyia biashara. Unganeni uwe kampuni ufwate masharti ya usafirishaji. Kazi kujaza migari mibovu barabarani. Ulaya hakuna upumbavu wa MTU ana kagari lake akaingize barabarani.
4. Kila RAIA ana daktari, huku wanahitimu sijui wanaishia wapi
5. Viongozi sio wazandiki, wanafiki, fitnati. Washamba, wezi wa fikra sahihi. Kyle kiongozi anajitolea yeye na Mali sake kuwatumikia watu.
 
Back
Top Bottom