Tanzania ni ya 3 kwa stress duniani

Tanzania ni ya 3 kwa stress duniani

Mbona sisi tupo huku kijijini na tunafuraha tuu, maghala yanachakula mpaka vinaharibika, ngo'mbe wanatoa maziwa mpaka yanakosa mnywaji, matunda yamejaa mtini mpaka yanaoza,, daah tutake nini tena jamani,
Mkuu nimeipenda hii, bonge la vice versa
 
Kwa knowledge niliyonayo kichwani nafikiria hata ni hack ma account ya watu,inachosha aisee,wandugu nichangieni vocha ya 2,000 airtel jana nimepiga kirungu cha 1500 kwenye inbox za wakuu niweke usiku nimekosa naona wakuu wanaogopa kutuma labda namba zao zitaonekana au sijui niwatumie kina Demiss ,najua hao warembo hawatanyimwa vocha
This is freaking BAD,things are terrible,ni mwendo wa freebasics tu na kubahatisha vivocha vya 500 hapa na pale.
View attachment 1082196

Cjui ni vigezo gani vinatumika
Nashindwa elewa zinakosekana vp burundi.somalia na south sudan
 
Kicjwa cha habari kilitakiwa kiwe ..
TANZANIA na USA moja ya nchi 10 zinazo ongoza kwa msongo wa mawazo.
Kwa knowledge niliyonayo kichwani nafikiria hata ni hack ma account ya watu,inachosha aisee,wandugu nichangieni vocha ya 2,000 airtel jana nimepiga kirungu cha 1500 kwenye inbox za wakuu niweke usiku nimekosa naona wakuu wanaogopa kutuma labda namba zao zitaonekana au sijui niwatumie kina Demiss ,najua hao warembo hawatanyimwa vocha
This is freaking BAD,things are terrible,ni mwendo wa freebasics tu na kubahatisha vivocha vya 500 hapa na pale.
View attachment 1082196
 
Had I Leo korosho mkuranga wanalipwa wenye kilo 600,800,400 wenye kuanzia tani moja kuendelea bado na huu mwezi May tunaingia zitakosaje ongezeka stress?
 
Had I Leo korosho mkuranga wanalipwa wenye kilo 600,800,400 wenye kuanzia tani moja kuendelea bado na huu mwezi May tunaingia zitakosaje ongezeka stress?
Hata wewe mate una stress. Saa hii uko macho. Au ndio shemeji keshamaliza kufanya ma utundu yake?
 
Kwa knowledge niliyonayo kichwani nafikiria hata ni hack ma account ya watu,inachosha aisee,wandugu nichangieni vocha ya 2,000 airtel jana nimepiga kirungu cha 1500 kwenye inbox za wakuu niweke usiku nimekosa naona wakuu wanaogopa kutuma labda namba zao zitaonekana au sijui niwatumie kina Demiss ,najua hao warembo hawatanyimwa vocha
This is freaking BAD,things are terrible,ni mwendo wa freebasics tu na kubahatisha vivocha vya 500 hapa na pale.
View attachment 1082196
Wabongo ni wa ajabu sana
na bado wataendelea kuwa waajabu

ninahakika
Wakija hawa weupe na kusema
Wabongo wote wana vichaa..!!!
Tutawaunga Mkono na kuwaona wa kweli

Tuwaacheni hawa waovu wasiopenda maslahi ya mtu mweusi
Ninahakika,taarifa zao dhidi ya Bara la Afrika,asilimia kubwa ni uongo
Tupambane na kufanya kazi kwa bidii
Tuache kujibwetesha ovyo

Kwann unalalama hali ngumu,ilihali ni mtu wa kukaa vijiweni tu?
Tupambane mpaka pumzi yetu ya mwisho,tusikubali kushindwa na hali
Mwanaadam ni mwana wa mazingira
Imma mazingira uyashinde au yakushinde
na usikubali kushindwa na mazingira
 
How can you be happy socially when you are stressed politically and economically?
One does not guarantee the other. Interaction, communal life and brotherhood is not a problem. Problem arise when we consider the earning of the income of the individuals and of course polital rights including freedom of speech and participation on political matters. That is where the big problem is currently
 
Cjui ni vigezo gani vinatumika
Nashindwa elewa zinakosekana vp burundi.somalia na south sudan
Somalia, south Sudan na Burundi ni nchi ambazo hazija tulia automatically tayari wao wana msongo wa mawazo hakuitajiki research
Research hi inafanywa kwa nchi ambazo hazina machafuko ambazo zilitakiwa wananchi wake waishi kwa furaha kwa 100%
 
Back
Top Bottom