njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,675
Kwa knowledge niliyonayo kichwani nafikiria hata ni hack ma account ya watu,inachosha aisee,wandugu nichangieni vocha ya 2,000 airtel jana nimepiga kirungu cha 1500 kwenye inbox za wakuu niweke usiku nimekosa naona wakuu wanaogopa kutuma labda namba zao zitaonekana au sijui niwatumie kina Demiss ,najua hao warembo hawatanyimwa vocha
This is freaking BAD,things are terrible,ni mwendo wa freebasics tu na kubahatisha vivocha vya 500 hapa na pale.
This is freaking BAD,things are terrible,ni mwendo wa freebasics tu na kubahatisha vivocha vya 500 hapa na pale.