Tanzania: Ni wapi tuendako?

BULLDOZZER

Senior Member
Jan 18, 2011
103
0
Ndugu zangu habari zenu.
Naomba kuwauliza wana JF; Hivi watanzania tunajua tuendako? Au kunahitajika mjadala wa kitaifa kujadili Mustakabali wa nchi yetu?
 
Wapo wanaojua na wapo wasiojua mustakabali wa nchi yao.
Mjadala wa kitaifa ni muhimu,wanaojua waweke wasiojua sawa,na wasiojua waonyeshe kutokujua kwao:plane:
 
Nina majian ya wala rushwa nawapa muda wajirekebishe
Nimekasirishwa sana na wizi wa EPA namfukuza gavana mara moja
Nina majina ya wauza unga watanikoma
Hivi karibuni tutapeleka kesi kubwa za wizi mahakani
tumewashtaki hadi mawaziri.....kma Mramba
Mchagueni mramba ni panga kongwe lenye makali
Uchumi wetu unapaa
KUJIUZULU kwa Lowasa ilikuwa ni ajali tu ya kisiasa.
Hata mimi sijui kwa nn tanzania ni maskini!.....
Kama unamjua aliyesema maneno haya na yupo wapi baada ya hapo ...utajua jibu la swali lako (KWA KUTAFAKARI KIDOGO TU}
 
mi najua..nikitoka ofisini naelekea nyumbani ambapo ctapotea sababu njia nazijua...wewe je??hoja yako haina mashiko jaribu kuumiza kichwa na uandike kitu convincing
 
Ndugu zangu habari zenu.
Naomba kuwauliza wana JF; Hivi watanzania tunajua tuendako? Au kunahitajika mjadala wa kitaifa kujadili Mustakabali wa nchi yetu?
Wengi hatujui tunakokwenda kwa sababu tunapelekwa! Wengi zaidi hatuhitaji kujua tunakwenda wapi kwa sababu tunaamini kwamba wapo wanaojua tunahitaji kwenda wapi badala yetu!!! Wengine hatutafuti sababu kwanini tuko hapa na tumekwama pale kwa sababu tunaamini wapo walio na majibu katika hilo!!! Tena tunakwenda mbali zaidi ya hapo, tunahitaji tufanyiwe kila kitu bila ya sisi wenyewe kuhangaika wala kujishughulisha na matatizo yanayotukabili!!! Wala hakuna hata mmoja anaeona matatizo akatafuta namna ya kuyatatua bado tunasubiri waje kututatulia wale wanaojua matatizo yetu!!!

Haitoshi!
  • Wapo wanaofanya bidii kutoboa jahazi na hali tumo ndani na kimya tumekaa!!
  • Wapo wanaojitahidi kusema jahazi linatobolewa lakini hakuna hata mmoja anaewasikiliza!!
  • Wapo wanaofurahia kila jambo bila kujali ni jema ama ovu!!!
  • Wapo wasiojua wala hawahitaji kujua chochote zaidi ya mkate wao wa kila siku wanaousumbukia!!
Hii ndio Tanzania... Nchi yetu wala si ya mwingine... lakini tunakimbia wajibu na majukumu yetu. Tunawaachia wengine watuhangaikie... wala hatujishughulishi kujua ni MBWA MWITU KWENYE NGOZI YA KONDOO au ni KOBOKO kwenye tenga la KAMBALE!! Ila ndio Tanzania yetu tutaenda wapi?! Maana mfanyakazi anaesifiwa ni yule mwenye kutajirika muda mfupi baada ya ajira - ANA AKILI SANA. Na anaesifiwa ujinga ni yule anaetegemea mshahara wake wa mwezi - ANA NINI MJINGA YULE HAMMUONI KILA SIKU YUKO VILEVILE!!! hiyo ndio Tanzania.....

Ipo siku yale ya Malkia wa Ufaransa yatabisha hodi nchi hii... kwa maana wapo waliojisahaulisha taabu na mashaka ya wananchi wao... ndio maana sasa wapo baadhi wanatumika bila kujua kwamba wanatumika visivyo!
 
Nina majian ya wala rushwa nawapa muda wajirekebishe
Nimekasirishwa sana na wizi wa EPA namfukuza gavana mara moja
Nina majina ya wauza unga watanikoma
Hivi karibuni tutapeleka kesi kubwa za wizi mahakani
tumewashtaki hadi mawaziri.....kma Mramba
Mchagueni mramba ni panga kongwe lenye makali
Uchumi wetu unapaa
KUJIUZULU kwa Lowasa ilikuwa ni ajali tu ya kisiasa.
Hata mimi sijui kwa nn tanzania ni maskini!.....
Kama unamjua aliyesema maneno haya na yupo wapi baada ya hapo ...utajua jibu la swali lako (KWA KUTAFAKARI KIDOGO TU}

zako + za mbayuwayu + za kuambiwa

changanya pamoja

ndo utajua kama tunaelekea popote au tupotupo tu.
 
mi najua..nikitoka ofisini naelekea nyumbani ambapo ctapotea sababu njia nazijua...wewe je??hoja yako haina mashiko jaribu kuumiza kichwa na uandike kitu convincing

lazima utakuwa mkristo wewe.

(mnaamini ukipata kibarua cha kukupatia hela ya kitimoto na bia na gari used ya kijapan ndo basi)

nchi ata iongozwe na shetani hayakuhusu
 
Wapo wachahce tunajua anguko linalotujia na ndo maana tunajaribu kutengeneza uelewa wa wenzetu na wapo wasiojua ndo maana kwanakazania ukale!
 
Wapo wanaojua na wapo wasiojua mustakabali wa nchi yao.
Mjadala wa kitaifa ni muhimu,wanaojua waweke wasiojua sawa,na wasiojua waonyeshe kutokujua kwao:plane:

Michelle pamoja na kwamba si mahala pake lakini avarta yako inanitoa udende. Total confused
 
Wengi hatujui tunakokwenda kwa sababu tunapelekwa! Wengi zaidi hatuhitaji kujua tunakwenda wapi kwa sababu tunaamini kwamba wapo wanaojua tunahitaji kwenda wapi badala yetu!!! Wengine hatutafuti sababu kwanini tuko hapa na tumekwama pale kwa sababu tunaamini wapo walio na majibu katika hilo!!! Tena tunakwenda mbali zaidi ya hapo, tunahitaji tufanyiwe kila kitu bila ya sisi wenyewe kuhangaika wala kujishughulisha na matatizo yanayotukabili!!! Wala hakuna hata mmoja anaeona matatizo akatafuta namna ya kuyatatua bado tunasubiri waje kututatulia wale wanaojua matatizo yetu!!!

Haitoshi!
  • Wapo wanaofanya bidii kutoboa jahazi na hali tumo ndani na kimya tumekaa!!
  • Wapo wanaojitahidi kusema jahazi linatobolewa lakini hakuna hata mmoja anaewasikiliza!!
  • Wapo wanaofurahia kila jambo bila kujali ni jema ama ovu!!!
  • Wapo wasiojua wala hawahitaji kujua chochote zaidi ya mkate wao wa kila siku wanaousumbukia!!
Hii ndio Tanzania... Nchi yetu wala si ya mwingine... lakini tunakimbia wajibu na majukumu yetu. Tunawaachia wengine watuhangaikie... wala hatujishughulishi kujua ni MBWA MWITU KWENYE NGOZI YA KONDOO au ni KOBOKO kwenye tenga la KAMBALE!! Ila ndio Tanzania yetu tutaenda wapi?! Maana mfanyakazi anaesifiwa ni yule mwenye kutajirika muda mfupi baada ya ajira - ANA AKILI SANA. Na anaesifiwa ujinga ni yule anaetegemea mshahara wake wa mwezi - ANA NINI MJINGA YULE HAMMUONI KILA SIKU YUKO VILEVILE!!! hiyo ndio Tanzania.....

Ipo siku yale ya Malkia wa Ufaransa yatabisha hodi nchi hii... kwa maana wapo waliojisahaulisha taabu na mashaka ya wananchi wao... ndio maana sasa wapo baadhi wanatumika bila kujua kwamba wanatumika visivyo!

Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu na HEKIMA yako idumu. Umenena vyema.
 
Wengi hatujui tunakokwenda kwa sababu tunapelekwa! Wengi zaidi hatuhitaji kujua tunakwenda wapi kwa sababu tunaamini kwamba wapo wanaojua tunahitaji kwenda wapi badala yetu!!! Wengine hatutafuti sababu kwanini tuko hapa na tumekwama pale kwa sababu tunaamini wapo walio na majibu katika hilo!!! Tena tunakwenda mbali zaidi ya hapo, tunahitaji tufanyiwe kila kitu bila ya sisi wenyewe kuhangaika wala kujishughulisha na matatizo yanayotukabili!!! Wala hakuna hata mmoja anaeona matatizo akatafuta namna ya kuyatatua bado tunasubiri waje kututatulia wale wanaojua matatizo yetu!!!

Haitoshi!
  • Wapo wanaofanya bidii kutoboa jahazi na hali tumo ndani na kimya tumekaa!!
  • Wapo wanaojitahidi kusema jahazi linatobolewa lakini hakuna hata mmoja anaewasikiliza!!
  • Wapo wanaofurahia kila jambo bila kujali ni jema ama ovu!!!
  • Wapo wasiojua wala hawahitaji kujua chochote zaidi ya mkate wao wa kila siku wanaousumbukia!!
Hii ndio Tanzania... Nchi yetu wala si ya mwingine... lakini tunakimbia wajibu na majukumu yetu. Tunawaachia wengine watuhangaikie... wala hatujishughulishi kujua ni MBWA MWITU KWENYE NGOZI YA KONDOO au ni KOBOKO kwenye tenga la KAMBALE!! Ila ndio Tanzania yetu tutaenda wapi?! Maana mfanyakazi anaesifiwa ni yule mwenye kutajirika muda mfupi baada ya ajira - ANA AKILI SANA. Na anaesifiwa ujinga ni yule anaetegemea mshahara wake wa mwezi - ANA NINI MJINGA YULE HAMMUONI KILA SIKU YUKO VILEVILE!!! hiyo ndio Tanzania.....

Ipo siku yale ya Malkia wa Ufaransa yatabisha hodi nchi hii... kwa maana wapo waliojisahaulisha taabu na mashaka ya wananchi wao... ndio maana sasa wapo baadhi wanatumika bila kujua kwamba wanatumika visivyo!

Kaka mbona unaandika kama mimi! isije ikawa baba yetu mmoja!

umenifurahisha!
 
Ulileta usanii mwanzoni.Watanzania tunajua tuendapo ila viongozi wetu hawajui
 
Nawapongeza wote waliochangia Thread hii. Tuwasaidie wenzetu kufika tunakotaka kwenda kwa amani.
 
Back
Top Bottom