lodirofaa
Member
- Jul 6, 2021
- 25
- 62
Najua unanishangaa kusema hivi
Kiukweli watanzania Ni watu wa ajabu hali inayopelekea kuwa Ni rahisi Sana kuwaongoza
Miezi kadhaa nyuma watu walikuwa wanalalamika kuhusu vifurushi kuishi bila kutumika na kupangiwa muda wa matumizi
CCM walichokifanya wakaongeza zaidi ya mlipokuwa mnapalalamikia baada ya hapo mkapaza sauti zaidi mkidai serikali iwasaidie
CCM kwa ujanja wakasema sawa kuanzia leo vifurushi virudi Kama zamani mkafurahi duh angalau mkasahau mfumo wa zamani nao mliukataa LAKINI mliporudishiwa mkasahau yoooote hivi baada wameacha kuwapangia muda wa matumizi? Hamkulalamika kuhusu muda wa matumizi?
Sahizi imekuja tozo mmepiga kelele mama kawaambia wanakifanyia kazi mmepowaaaaaaa Kama sio ninyi mliokua mnalalamika mpo bize na Manara kufukuzwa Simba na waziri alishawajibu asietaka ahamie Burundi.
Kwa haya machache tu imeonesha jinsi gani watanzania wengi Wana low capacity of thinking
Na Leo mama kasema Marekani wakimaliza uchaguzi wanafanya maendeleo hawafanyi mikutano. LAKINI chaajabu CCM wanafanya Kama Marekani Ni mfano wa kuigwa kwanini tusiige mfumo wao wa kumshitaki Rais, kufanya uchaguzi baada ya miaka minne?
NB: Mama alisema yeye na mtangulizi wake Ni kitu kimoja
Kiukweli watanzania Ni watu wa ajabu hali inayopelekea kuwa Ni rahisi Sana kuwaongoza
Miezi kadhaa nyuma watu walikuwa wanalalamika kuhusu vifurushi kuishi bila kutumika na kupangiwa muda wa matumizi
CCM walichokifanya wakaongeza zaidi ya mlipokuwa mnapalalamikia baada ya hapo mkapaza sauti zaidi mkidai serikali iwasaidie
CCM kwa ujanja wakasema sawa kuanzia leo vifurushi virudi Kama zamani mkafurahi duh angalau mkasahau mfumo wa zamani nao mliukataa LAKINI mliporudishiwa mkasahau yoooote hivi baada wameacha kuwapangia muda wa matumizi? Hamkulalamika kuhusu muda wa matumizi?
Sahizi imekuja tozo mmepiga kelele mama kawaambia wanakifanyia kazi mmepowaaaaaaa Kama sio ninyi mliokua mnalalamika mpo bize na Manara kufukuzwa Simba na waziri alishawajibu asietaka ahamie Burundi.
Kwa haya machache tu imeonesha jinsi gani watanzania wengi Wana low capacity of thinking
Na Leo mama kasema Marekani wakimaliza uchaguzi wanafanya maendeleo hawafanyi mikutano. LAKINI chaajabu CCM wanafanya Kama Marekani Ni mfano wa kuigwa kwanini tusiige mfumo wao wa kumshitaki Rais, kufanya uchaguzi baada ya miaka minne?
NB: Mama alisema yeye na mtangulizi wake Ni kitu kimoja