Tanzania needs an Emergency Response and Volunteer Unit

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
5,565
836
Kutokana na janga la Gongo la Mboto lime nijia wazo kwamba tuna hitaji kitengo cha kutoa huduma ya kwanza. Hapa simaanishi polisi au vyombo vya usalama bali watu wanao weza kwenda kuokoa watu na kutoa misaada mbali mbali mfano wenzetu wanavyo fanya pale maafa kama ya migodi iki tokea.

Kwa vile nchi yetu kila siku tuna jidai ni "masikini" hii unit inaweza ikawa na idadi kubwa ya respondents wawe kama volunteers na wale waku ajiriwa wawe viongozi tu wa kitengo. Kwa hiyo kwa mfano mimi MF1 niki jiandikisha kama volunteer napewa training kama ni huduma ya kwanza n.k. Janga lita kapo tokewa naitwa mara moja. This way siwi mwajiriwa kwa hiyo siwi gharama yoyote kwa serikali.

Je mnaonaje wakuu?
 
Naunga mkono hoja!
Muhimbili wameanzisha Department ya emergency medicine natumaini inaperform vizuri hasa ukiangalia hili tukio la G.mboto.tatizo mikoani hakuna kitu kama hiki.serikali isiogope gharama ktk suala la uhai!
 
Naunga mkono hoja!
Muhimbili wameanzisha Department ya emergency medicine natumaini inaperform vizuri hasa ukiangalia hili tukio la G.mboto.tatizo mikoani hakuna kitu kama hiki.serikali isiogope gharama ktk suala la uhai!

Ni kweli mkuu serikali haitakiwi kabisa kugopa gharama kwenye swala la uhai ila volunteers nao wata saidia kuongoza man power. Tena kwa nchi za wenzetu kazi za kuvolunteer zina ng'arisha CV ya mtu. Tuna kuwa na idadi fulani ya waajiriwa ambao wata form base ya kitengo then tuna encourage watu kuwa volunteers kwa kuwapa incentives mbali mbali.
 
naunga mkono hoja, NGOs za huduma za kujitolea kama hizi ni zamuhimu sana nivema watanzania tukaanza kujijengea utamaduni wa kujitolea kusaidia kuokoa maisha.
Angalizo nnje ya mada: hili ni jambo muhimu sana , lakini utaona watu wanapita tu, no support, ila ongelea majungu hapa wasshadadiaji watakuwa lukuki.
Naomba watz tujifuze kutotegemea mtu ama watu fulani kutuondolea matatizo yetu. Itakuwaje cku wale tunao watrust zaidi wakatusaliti tutageukia wapi?
 
naunga mkono hoja, NGOs za huduma za kujitolea kama hizi ni zamuhimu sana nivema watanzania tukaanza kujijengea utamaduni wa kujitolea kusaidia kuokoa maisha.
Angalizo nnje ya mada: hili ni jambo muhimu sana , lakini utaona watu wanapita tu, no support, ila ongelea majungu hapa wasshadadiaji watakuwa lukuki.
Naomba watz tujifuze kutotegemea mtu ama watu fulani kutuondolea matatizo yetu. Itakuwaje cku wale tunao watrust zaidi wakatusaliti tutageukia wapi?

Ni kweli mkuu. Watu wana penda post zilizo kaa kiudaku udaku au kudiscuss watu. Lakini tuta fanyaje. Ndiyo jamii tuliyo nayo.
 
...kitengo kipo ofisi ya wazir mkuu, na mafunzo & semina kbao washapewa, tangu enz za Sumaye. Pia kuna red cross Tz, wanafanya kaz nzur sana hata now. Na scout ndo mida wanavolunteer.

Hakuna haja ya kuweka paralel strakcha kbao. Waziwezeshe zilzopo kitaaluma na kwa masurufu wataweza.

Otherwise, ni wazo la kizalendo sana. Beyond Makinda's thinkin. Even beyond political partyin!
 
...kitengo kipo ofisi ya wazir mkuu, na mafunzo & semina kbao washapewa, tangu enz za Sumaye. Pia kuna red cross Tz, wanafanya kaz nzur sana hata now. Na scout ndo mida wanavolunteer.

Hakuna haja ya kuweka paralel strakcha kbao. Waziwezeshe zilzopo kitaaluma na kwa masurufu wataweza.

Otherwise, ni wazo la kizalendo sana. Beyond Makinda's thinkin. Even beyond political partyin!

asante kwa kutujulisha. Hii ndo elimu tunayoitaka. Watu wengi humu (including me) nilikuwa sijui juu ya hicho kitengo. Umeniondoa ujinga.
Tungependa kujua funding zake na structure zake zikoje. Hizi ndo huwa sehemu zenye mianya ya ufisadi. Zipo zipo tu...utendaji sifuri lakini wana sehemu yao katika bajeti! I hope Chadema wata-raise hii ishu bungeni!
 
Back
Top Bottom