Tanzania ndani ya Hollywood

Tanzania ndani ya Hollywood

Kiongozi, wewe mwenyewe si unaona Wachangiaji wengi umewaacha kwenye Mataa.

Kwasababu ulikuwa hujafunguka
 
Sasaa,me sijaelewa,kutajwa kwa Tanzania huko holywood kunamsaidiaje mtanzania wa kawaida aliyeko pale masurura-musoma vijijini kuondokana na baa la njaa linalomkabili kutokana na ukame?
 
IQ ndio tatizo, mtu akiwa na IQ the lowest ever, unaweza andika mada kama hii..!! Cut ur neck please..!!
 
Sasaa,me sijaelewa,kutajwa kwa Tanzania huko holywood kunamsaidiaje mtanzania wa kawaida aliyeko pale masurura-musoma vijijini kuondokana na baa la njaa linalomkabili kutokana na ukame?
Ushaambiwa na mkulu hakuna njaa ww unayetangaza ni nan?
 
Commission zinalipwa kwa kupigwa pictures???

Sehemu pekee ninayojua serikali inalipwa kutokana na pictures ni kwenye national parks.

Aisee
Kwanza inatangaza taifa duniani leo hii unajua cuba je ulishawahi kufika?
Pili kutoa location tu kuna commission balozi ya nchi husika wanatoa kama kodi, unataka kusema kina diamond south wanaact bure?
Hv ww ni mtanzania kweli? be proud amigo!
 
Commission zinalipwa kwa kupigwa pictures???

Sehemu pekee ninayojua serikali inalipwa kutokana na pictures ni kwenye national parks.

Aisee
No one knows watachukua pande ipi, hv hawa wanaoenda south Africa wanashoot bure?
 
Back
Top Bottom