Freewine
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 257
- 212
Yaani nchi hii ni ya ajabu sana, chama tawala na vyama vya upinzani vyote ni majanga matupu kwa MTU makini mwenye uwezo mzuri wa kufikiri huwezi kuwa mwanachama wa chama chochote kwa sababu ni taabu tu wanayofanya.
Viongozi wa chadema kwa muda mrefu waliaminisha wananchi wapiga kura wao kwamba Mr. Edward Lowassa ni fisadi MTU hatari kabisa kwenye nchi hii, lakini Edward lowassa huyohuyo aliweza kuwanunua viongozi wa cdm na sasa wanamsifia, hilo ni kosa litakalowagharimu cdm mpaka kufa kwake.
Ukirudi kwenye chama tawala ndipo penye shida zaidi, maamuzi ya kitaalamu yanapitiswa kisiasa. Viongozi wa chama tawala hawataki kuona kipo kitu kinawakosoa hata kama wanajua fika wanafanya makosa
*wamezuia Bunge live, huku TV zingine zimeruhusiwa kurusha vipindi muda huohuo wa bunge sasa kipi bora watu kuangalia bunge au kubaki wanacheki miziki kwenye TV nyingine.
* wamezuia mijadala kuhusu upatikanaji wa katiba mpya ili kama ni kweli Rais anaona anapambana na ufisadi na udharimu viingizwe kwenye katiba ili at a tukipata viongozi wengine wajue wanatakiwa kufuata mifumo sahihi tulioiweka kwenye katiba.
Lakini viongozi wa ccm wamekataa kuliona la katiba mpya. Na Huu ni upofu walionao viongozi wa ccm wakiamini watatawala milele.
Yapo mengi ya ajabu yanayofanywa na vyama hivi vya SIASA. Kiufupi Tanzania itaokolewa na MTU mmoja atakaeaminiwa na wanachi kwenda kuikomboa nchi na atakuwa hayupo kwenye mifumo mibovu za SIASA zetu hizi, wenye IQ ndogo wanaongoza wenye IQ kubwa.
Viongozi wa chadema kwa muda mrefu waliaminisha wananchi wapiga kura wao kwamba Mr. Edward Lowassa ni fisadi MTU hatari kabisa kwenye nchi hii, lakini Edward lowassa huyohuyo aliweza kuwanunua viongozi wa cdm na sasa wanamsifia, hilo ni kosa litakalowagharimu cdm mpaka kufa kwake.
Ukirudi kwenye chama tawala ndipo penye shida zaidi, maamuzi ya kitaalamu yanapitiswa kisiasa. Viongozi wa chama tawala hawataki kuona kipo kitu kinawakosoa hata kama wanajua fika wanafanya makosa
*wamezuia Bunge live, huku TV zingine zimeruhusiwa kurusha vipindi muda huohuo wa bunge sasa kipi bora watu kuangalia bunge au kubaki wanacheki miziki kwenye TV nyingine.
* wamezuia mijadala kuhusu upatikanaji wa katiba mpya ili kama ni kweli Rais anaona anapambana na ufisadi na udharimu viingizwe kwenye katiba ili at a tukipata viongozi wengine wajue wanatakiwa kufuata mifumo sahihi tulioiweka kwenye katiba.
Lakini viongozi wa ccm wamekataa kuliona la katiba mpya. Na Huu ni upofu walionao viongozi wa ccm wakiamini watatawala milele.
Yapo mengi ya ajabu yanayofanywa na vyama hivi vya SIASA. Kiufupi Tanzania itaokolewa na MTU mmoja atakaeaminiwa na wanachi kwenda kuikomboa nchi na atakuwa hayupo kwenye mifumo mibovu za SIASA zetu hizi, wenye IQ ndogo wanaongoza wenye IQ kubwa.