Tanzania Nayo Kuruhusu Ndoa Za Mashoga?

Junius

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
3,181
139
WAANDAMANA KUDAI 'HAKI' ZAO.

Mashoga hao waliokuwa wamevalia nguo za kike huku wakiwa wamejiremba kushinda hata wanawake wenyewe, walionekana wakikatiza mtaani wakiwa wameshikana mikono na kuimba nyimbo ambazo ziligusia sababu za wao kuamua kuchukua uamuzi huo.

Walieleza kuwa, wameamua kufanya hiyo kutokana na kupuuzwa kwa madai yao hivyo kujaribu kutumia njia hiyo ya kuandamana ambayo wanadhani itawafanya wahusika waone wako 'siriasi' na kile wanachokitaka.

Miongoni mwa mambo waliyokuwa wakiyalalamikia wanaume hao ambao si riziki ni pamoja na kunyanyapaliwa na kuonekana kama wasio na haki ya kuishi nchini humo.

Aidha, mashoga hao waliitaka serikali kuharakisha kutunga na kupitisha sheria itakayotambua uwepo wao katika jamii na kuwaruhusu kuolewa kama inavyofanyika kwa wanawake bila mizengwe yoyote.

Katika maandamano hayo yaliyovuta macho ya wengi kiasi cha baadhi ya shughuli za kijamii kusimama kwa muda, wanaume hao walionekana wakitembea kwa mikogo ya kike na kutinga vivazi vya kimitego huku vikiacha wazi vigimbi vyao pamoja na 'magadeni lavu' yao.

1256367079_mashoga_wa_ndauka.jpg


Baadhi ya watu waliotoa maoni yao juu ya maandamano hayo walisema kuwa, dunia inakoelekea ni kubaya kwani kama wanaume wanafikia hatua ya kutaka kutambulika kama wanawake ni hatari.

"Jamani hivi tunakwenda wapi? Wanaume kweli na ma.... yao wanafikia hatua ya kujigeuza kuwa wanawake na kuandamana ili watambulike? Nadhani watakuwa wamelaaniwa na inawezekana huu ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa dunia," alisema mtoa maoni aliyejitambulisha kwa jina moja la Suzzy.


SOURCE: RISASI
 
Ulaya...Afriaka kusini...Kenya....
Watoto wakiimba "...nyoka huyo anapita Buguruni..." wengine wanaitika "...naapite...", mpaka nyoka huyo kavuka mitaa yote na amefika mitaa ya nyumbani...watu wataanza kutafuta fimbo ya kumpiga wakati atakuwa ameshatafuna mtu.
 
Hii picha mbona ilishaletwa hapa kama maandamano ya mashoga yaliyofanyika Ghana?

Waandihi wa habari hata hawajui kanuni za uandishi? Hawajui reporting ya "What, where, when, why and how?

Hao watu waliowaona na kutoa comments hawana majina? Hizo shughuli zilizosimamishwa ni shughuli gani?

Hii habari iamejaa uzushi tu, hiyo link ya Risasi iko wapi?
 
Ukweli ni kwamba sasa dunia inakoenda siko hata kidogo ingawa wanahaki ya Kuandamana lakini haya mambo ni kinyume na mapenzi ya mwenyezi Mungu, kwani hakuuba Adam na Adam ila aliumba Adam na Eva, hata hivyo watu wakulaumiwa ni wapenzi wao wanao shirikiana na hawa watu kwani ndo wanafanya mambo haya yakuwe katika jamii yetu ninayo mengi ya kusema juu ya maada hii kwa is very touchnig ila kwa leo na malizia kwakusema walaainiwe daima na tusiwape nafasi kama wa Marekani ina tia kinyaaaaaa
 
Ingawa sina hakika na habari hiyo, maana hatujaelezwa hayo maandamano yalifanyika lini na wapi 'specifically'.... Ila tunaweza kutafakari hali hii maana imekuwa ikitokea sehemu mballmbali duniani.. Kwa kweli dunia imeelekea kubaya. Kama mwanaume anataka aoelewe!!!! Hili jambo la ajabu sana. Kwa ushauri wangu watu wote inabidi wamrudie Mungu. Na pia naiomba serikali ipige vita hali hii....
 
Dunia inakokwenda sio kuzuri hata kidogo, Hawa Mashoga wataanza kuandamana ku Lobby hata kufikia kwenye Umoja wa mataifa, na wakishafanikia kutambulika na kusikilizwa huko juu basi na sisi huku bongo tumekwisha tutakua hatuna Ujanja.

Mkitunga sheria yeyote ya kuzuia ushoga Mtaanza kuimbiwa nyimbo za kutojali haki za binadamu n.k. Tukinyimwa msaada kidogo tu basi tena Bongo itakua haina la kufanya ila kukubaliana na hali halisi.

Nakumbuka miaka ya nyuma Zimbabwe walipitisha sheria ya kuwabana Mashoga baada tu ya kuipitisha Mzee Mugabe alikua anaenda UK, Kufika tu Mashoga walikua wamejiandaa wakaamua kumuibukia Mzee mzima Live,wakamzomea kama mtu aliefumaniwa, Mbona alikoma!

Kwa hiyo haya mambo sijui itakuaje hapa. Time will tell
 
Mashoga hao waliokuwa wamevalia nguo za kike huku wakiwa wamejiremba kushinda hata wanawake wenyewe.

Unaweza ukadai haki zako, lakini mpaka ujifananishe na mwanamke?
Hizi ndio tofauti za mashoga wa kiafrika na wa west.

Nani atakuchukulia serious kama umejiremba? siwatakuona kwamba wewe ni mwigizaji wa ze komedy tu!
 
Msidharau jamani kumbukeni hawa "watoto wa watu" wanaungwa mkono na mataifa yenye nguvu ya kuamua njaa zetu tule nini,wakati gani na kiasi gani. Oneni wenzetu Uganda wanavyohaha na miswada mikobani,walidhani Waganda wasingelifikia "kugeuzwa uwani" wakaliacha tatizo mpaka likamea, sasa wanapata mashinikizo kutoka kwa wakubwa huko, eti wasiwakandamize "watoto si riziki" hao kwa kuwa wanahaki za kijamii kama raia wengine. Mti na macho...!
 
Back
Top Bottom