Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Thank you so much.
Everything confirmed. Education .... may be ok; but political leadership experience... almost NILL. She needed to become at least a DC and not even a deputy minister! May be mambo jambo came to work in this case... That's Bongo; kila kitu kinawezekana. Hata kenge anaweza kuwaongoza mamba!!
Unless we are ready to face up na kukubali kwamba education level in Tanzania is NIL hatutaendelea. Watu wanaendea vyuo vikuu na kupata hata Masters lakini hawana chochote cha maana wanachokijua na kukifanya.
We have neglected our higher learning institutions for too long na hivi sasa they are on the verge of collapse. Mtu akitoka na digrii UDSM kwa kweli anatoka na ujuzi mdogo sana, and it is not the students fault. Ujinga ni kwamba people cannot afford to go abroad to study and to seek more education elsewhere so we have to strengthen our public education system....
On the other hand we have to be fair toward Mzumbe. Huyu waziri ni plain ignorant hata angesoma Harvard (kama akina Chenge) bado ujinga wake usingepungua maana ile ni mater of intelligence that is nature not nurture!
Arguments zake Waziri ni weak, unprepared and populist using rhetoric from the past century which cannot and will not work.