Tanzania na tishio la migomo

Nilishaongea hapa kwamba mabadiliko ya kitaasisi (katiba, kukua kwa utawala wa sheria, utamaduni wa ufuatiliaji kwa watu wote etc) ni muhimu kuliko mabadiliko ya watawala. Kama anakuja rais mwingine akakuta katiba ya sasa ambayo inamfanya rais kuwa mungu mtu fulani, ukweli utabaki kuwa kama hatatumia vibaya nguvu hizo atakuwa anatufanyia hisani tu.

Dawa ya kuondokana na uwezekano wa kukutwa na urais wa Kikwete mwingine ni kuwa na taasisi zenye misingi madhubuti katika utawala wa sheria. Najua hili linaweza kuwa ni lengo la muda mrefu na kwa muda mfupi tunaweza kutaka kumuondoa Kikwete tu, lakini vile vile tuangalie Kikwete anaendesha mambo yake katika mfumo na utamaduni gani, tukiweza kuuondoa huu mfumo wa "top down" na utamaduni wa kuogopana tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana.


There you are man, MABADILIKO YA KATIBA THIS IS TRUE , BUT HOW??

unafikri tufanye nini ili yatokee mabadiliko ya katiba, kusema tu kuwe na mabadiliko ya katiba hakutoshi , something must be done, tukisema tusubiri barrot, ndiyo hiyohiyo inayowapa ushindi. So the question is HOW? TUMPUNGUZIE NGUVU RAIS!!!! HOW??? OK, KUPITIA BUNGE ? NANI ATAANZISHA HII MADA?? NO..KUPITIA SANDUKU LA KURA AU VYAMA VYA UPINZANI


PUNDIT UNAONA KWELI KUNA WAPINZANI HAPA TZ??? MBONA HAWAPIGI KELELE KUHUSU MABADILIKO YA KATIBA KAMA USEMAVYO??? NA TUNA MWAKA MMOJA TU KWENDA UCHAGUZI MKUU??

NAKUUNGA MKONO, BADO NAONA SIJAPATA NJIA YA KUFIKIA HAYO ULIYOYASEMA , NAONA HII YA SASA YAKIMYAKIMYA (MGOMO)INA NGUVU MNO NA IMPACT YAKE KUBWA SANA!!!

waberoya
 
Back
Top Bottom