Tanzania na Ombwe la Opinion Leaders, Tutafika?

1. uchaguzi wa bavicha watu wamebebwa na viongozi wa kambi fulani tumeona wengine wamepigwa rula
2 mwenyekiti is too local halafu wasisi wanambeba je hawafaidiki (mtu na mkwewe)
3. mzee ARFI mwasisi anaingilia kutuchagulia viongzi
4.dk kujikopesha kienyeji fedha za chama wakati wananchama shinani wanashindia mihogo provided anapata posho y kibunge huu ni ufisadi
5 mwenyekiti anajichotea hela za ruzuku bila hesabu hii haijakaa sawa
6. mapato na matumizi ni kiini macho
7. uteuzi wa maafisa na wakurugenzi ni ukoo na ungugunization
8.uteuzi wa viti maalum rfer joyce mukya
 
Mmh, siamini hili.
Siku mkielewa malengo ya waanzilishi wa chama wala hakutakuwa na mkanganyiko, until then, kwa sasa ni mauza uza tu.
 
Kila kitu kina mwisho wake. Nilikuwa najiandaa 2015 kupiga kura kuichagua CHADEMA ili tuipumzishe CCM lakn sasa nimekosa muelekeo.
S I N T O P I G A K U R A 2015.
 
Kama UKO FAIR & SQUARE -- Angalia CHAMA CHA MAPINDUZI... UONGOZI wao wa JUU UKOJE???? SIO wa KINAFSI?
Ni Maamuzi ya MTU MMOJA TU --- HUYO MWENYEKITI -- Ni kwanini yeye kaamua Vyeo Vya KAMATI KUU hataki MAWAZIRI wavishike??? Ilikubalika Kidemokrasia Ndani ya MKUTANO MKUU wa CCM?

Ni Wapi ILISHINIKIZA ya kuwa MWENYEKITI wa CHAMA CHA MAPINDUZI ndie mwenye SAUTI YA MWISHO kwenye kuchagua WAJUMBE watakaopata kura NEC au MKUTANO MKUU???

HIYO NI DEMOKRASIA???

Na ni kwanini Basi Mwenyekiti wa CHAMA ndie lazima AGOMBEE URAIS? HIYO SIO MIZENGWE ya KIKOMINISTI?

mkuu unashindwa kuelewa mm sio ccm na siipendi ccm nasitoipenda ccm ivo jibu hoja isikmbilie kwa maccm chadema wanaangushwa na viongozi wao kumbuka prof alimwambia nn dk kuhusu kujitoa, mwenyekiti kidato kiko chini hapa ni tatizo akili ndogo zinaongoza akili kubwa kisha hazishauriki
 
Nilizani mwishowe utatoa matusi, maana wafuasi wa CDM wanaposhindwa kukabiliana na ukweli huishia kuporomosha matusi.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk

hivi kuna ukweli gani kwenye hilo andiko la huyo kapuku assadsyria ?
 
cdm haihitaji huruma ya mburula kama wewe , achana na cdm wewe , kama viongozi wako wanahangaika kuiua usiku na mchana , kiasi cha kulipua mabomu ya DARFUL kwenye mikutano ! Wewe mjumbe wa shina ndiyo utuhurumie ! Si iache ife ili mhalalishe biashara ya unga !
 
Mimi hili la waandishi kuitwa na kukodoa mimacho tu na ku record chochote wanachoambiwa linaniudhigi sana... basi tu...yani mtu unaona kabisa kuna maswali; lakini waandishi wao ---------- kama audience tu ya press conferences...kwa kweli waandishi wetu siwaelewi kwa nini hawajiamini....

Ila la opinion leaders bado tuko nyuma si kutokuwa na wanedeshaji vipindi waliobobea tu ila hata hao wasomi wetu unauta wanaongea ili wapewe vyeo (nionavyo mimi). wengi wanaongea kwa kujipendekeza nyeupe wanaita nyeusi....

Nchi za wenzetu unakuta prof akiitwa na chombo cha habari ni sifa kubwa si kwake ni kwa chuo kizima na akienda huko anatema cheche...ukipita mwaka alichoongea kinageuka sera....(nimeshashuhudia sana hii)

Na hao host wanaalika msomi tokana na machapisho yake...si kwa kuwa ana network...wanajua kuna so and so ni mzuri kwenye hii sector ngoja tumualike...kwa maana nyingine wana habari wanasoma na kufuatilia mambo...ili kujua nani mkali na anastahili kualikwa kwenye TV au Radio.

Sasa msomi ukishakuwa politician hata serikali inakuwa haina interest na unachoongea (wanasema tu mpinzani huyo) maana hamna anayeamini kuwa uko objective...





Opinion leaders wapo.

Tunakosa vitu viwili..kwanza tulichokosa ni platform iliyo huru na focused (mfano tbc inarepresent status quo), itv ni consevative na sio wabunifu wana bias, clouds media wanafiki, star tv bado wapo enzi za ujima/enzi za herode kuna saa najiuliza ivi star tv hawaoni kua wapo nyuma ya wakati?.. Jambo la pili tanzania hatuna wanahabari extraordinary km larry king ama aina ya akina richard quest. Waandishi wa habari hawaheshimiki,are just ordinary people, hawjiamini na inatia wasiwasi uwezo wao.

Mfano. Hata raisi aite wahariri pale ikulu hamna mwandishi anaethubutu kumuuliza maswali magumu, utasikia wanauliza mh raisi umejipangaje, vipi maoni yako. Ooh mh raisi tumesikia sikia inaboa sana! Hata ukienda kwenye hizi media wanakupangia uongee nini, mfano kipindi cha mgongano wa hoja itv ukisema viongozi wa tanzania ni wabinafsi,au wadhaifu utaona deo reyunga anakunyanganya mic..ukienda kwa makwaia hajui kuhoji..mfano tulienda kwenye kipindi chake katika kuongea nkawa nimesema.

Jeshi la police nalo ni sehemu ya tatizo la ubakaji wa democrasia nchini,Nkaendelea kusema Said Mwema ameshindwa.....(Hata sijamalizia kusema nlichokua nimenuia akanikatisha). Akadakia weewe umesema Said Mwema ameshindwa si ndio? Hebu tuende kwa ndugu yangu hapa, (akamuuliza nlieenda nae kwenye kipindi "mwenzako kasema saidi mwema hafai na ameshindwa wewe unasemaje"..ukitizama aina ya interview ya makwaia ni ya kichonganishi.

Yapo mengi natizama kipima joto hamna kitu, sehem yenye uhuru ni hapa JF tuu..nadhan mliona interview ya mh Zitto
 
jf ingesaidia hilo

ila imeharibiwa na siasa za majitaka

maadamu founders wanapata pesa na matangazo basi kazi imekwisha

ila kila siku ubora wa JF unazidi kuharibika huku ikipoteza watu nguri na muhimu

jamii pia iko hivyo.......haiko tayari kushi kwa opinions..............iko kulazimisha wanachoamini
 
hivi mbowe huwa anasoma thread kama hizi?? au anwqza ataweka cd gani kwenye disco leo bilicanashivi chadema kwa mitazamo yenu na akili zenu na kinachojadiliwa hapa...Mbowe mnamweka wapi??
 
At least kuna baadhi ya speeches nimezisoma online za Prof Issa Shivji kwenye masuala ya ardhi, nikasema huyu ni msomi mzalendo...

Sijuhi kama na yeye ni mwansiasa au la ila yuko objective na well informed

Na ndivyo inavyopaswa msomi awe; reformist na si politician
 
Mimi hili la waandishi kuitwa na kukodoa mimacho tu na ku record chochote wanachoambiwa linaniudhigi sana... basi tu...yani mtu unaona kabisa kuna maswali; lakini waandishi wao ---------- kama audience tu ya press conferences...kwa kweli waandishi wetu siwaelewi kwa nini hawajiamini....
Ila la opinion leaders bado tuko nyuma si kutokuwa na wanedeshaji vipindi waliobobea tu ila hata hao wasomi wetu unauta wanaongea ili wapewe vyeo (nionavyo mimi). wengi wanaongea kwa kujipendekeza nyeupe wanaita nyeusi....

Nchi za wenzetu unakuta prof akiitwa na chombo cha habari ni sifa kubwa si kwake ni kwa chuo kizima na akienda huko anatema cheche...ukipita mwaka alichoongea kinageuka sera....(nimeshashuhudia sana hii)

Na hao host wanaalika msomi tokana na machapisho yake...si kwa kuwa ana network...wanajua kuna so and so ni mzuri kwenye hii sector ngoja tumualike...kwa maana nyingine wana habari wanasoma na kufuatilia mambo...ili kujua nani mkali na anastahili kualikwa kwenye TV au Radio.

Sasa msomi ukishakuwa politician hata serikali inakuwa haina interest na unachoongea (wanasema tu mpinzani huyo) maana hamna anayeamini kuwa uko objective...
nyumba kubwa, katika eneo lenye matatizo nchini ni hii fani ya habari. Siwezi kuongeza zaidi ya ulichokieleza kuhusiana na waandishi.

Ili mtu awe mwandishi mwenye weledi wa kuhoji, kuuliza na kuzungumzia mada ni lazima awe msomaji wa habari, mtafiti katika maandishi na mwenye kiu ya kujua mambo.


Waandishi wengi hawawezi kuuliza au kuhoji mambo kwa kukosa weledi wa mada husika.
Kwa mfano, waandishi wataitwa kwenye press conference ya kiongozi kutoka Srilanka.
Zaidi ya kujua Srilanka katika Atlas hawajui kingine kuhusu nchi hiyo.

Mwandishi huyo hawezi kuzungumzia Tamil Tiger au kudadidis interest ya Srilanka na Tanzania.

Mwandishi hajui historia na jiografia ya India, Pakistan na Bangladesh atawezaje kuzungumzia mzozo wa Kashmir.Siyo kwamba wanafanya makusudi ni kwamba hawana exposure na wala hawataki kufahamu hilo.

Fareed Zacharia wa CNN aliitwa White house kufafanua siasa za Pakistan, Afghanistan na eneo la middle east kutokana na weledi wake ambao akiuelezea utaridhika kuwa anajua anachosema.

Tatizo la pili ni woga. Katika waandishi wenye weledi wengi wanasubiri fadhila au ni waoga wa kusema kile wanachokiona na kudi hilo ndilo la talk show unazozisema.

Tatu, waandishi wengi wanaandika habari sensational kuliko zinazogusa jamii. Juzi mwandishi alipoonyesha shule ya Machalala Bagamoyo ilikuwa habari rahisi lakini imegusa sana sehemu ya jamii yetu kuliko aliyeandika kuhusu habari za katiba bila kufanya analysis(nukuu katiba)

Na kwasababu fani ipo taabani ni ngumu kupata Opinion leaders wa kuzungumzia mada mbali mbali. Kwa wenzetu opinion leader wanatumia habari za utafiti utoka vyombo vya habari ili kutoa mchanganuo wa kina zaidi kwa wasomaji na wasikilizaji.

Opinion leader anaweza kuwa na political affiliations, kinachomtofautisha na political pundits ni ule uwezo wa kulizungumzia jambo objectively.

@Wowowo ombwe unalolizungumzia si tatizo mmoja naweza kusema ni 'cascade of reaction'
 
nyumba kubwa, katika eneo lenye matatizo nchini ni hii fani ya habari. Siwezi kuongeza zaidi ya ulichokieleza kuhusiana na waandishi. Ninachoweza kusema ni kuwa ili mtu awe mwandishi mwenye weledi wa kuhoji, kuuliza na kuzungumzia mada ni lazima awe msomaji wa habari, mtafiti katika maandishi na mwenye kiu ya kujua mambo.

Waandishi wengi hawawezi kuuliza au kuhoji mambo kwa kutokuwa na weledi wa mada husika. Kwa mfano, waandishi wataitwa kwenye press conference ya kiongozi kutoka Srilanka. Zaidi ya kujua Srilanka katika Atlas hawajui kingine zaidi.
Mwandishi huyo hawezi kuzungumzia lolote kuhusu Tamil Tiger au kudadidis interest ya Srilanaka na Tanzania.

Mwandishi hajui historia na jiografia ya India, Pakistan na Bangladesh atawezaje kuzungumzia mzozo wa Kashmir.
Siyo kwamba wanafanya makusudi ni kwamba hawana exposure na wala hawataki kufahamu hilo.

Fareed Zacharia wa CNN aliitwa White house kufafanua siasa za Pakistan, Afghanistan na eno la middle east kutokana na weledi wake ambao akiuelezea utaridhika kuwa anajua anachosema.

Tatizo la pili ni woga. Katika waandishi wenye weledi wengi wanasubiri fadhila au ni waoga wa kusema kile wanachokiona.

Na kwasababu fani ipo taabani ni ngumu kupata Opinion leaders wa kuzungumzia mada mbali mbali. Kwa wenzetu opinion leader wanatumia habari za utafiti utoka vyombo vya habari ili kutoa mchanganuo wa kina zaidi kwa wasomaji na wasikilizaji.

Opinion leader anaweza kuwa na political affiliations, kinachomtofautisha na political pundits ni ule uwezo wa kulizungumzia jambo objectively.

WOWOWO ombwe unalolizungumzia si tatizo mmoja naweza kusema ni 'cascade of reaction'

Opinion leaders pia wengi hawafanyi tafiti na pia waandishi wengi.Inakera na kuna ombwe kubwa sana.Kuna kituo kimoja kilinialika nikategemea kuwa nitaulizwa maswali deep sana lakini kilichotokea nilikua disappointed kwa kiasi fulani
 
Last edited by a moderator:
tatizo lingine hatuna waandishi waligobea kwenye kuuliza maswali baada ya kufanya utafiti wao.
 
Mleta mada una akili sana na muono wa mbali kwa taifa letu na hatma yake. Tatizo ni Tanzania ina wanahabari wasiojitambua, na wengi wao ni wala rushwa na makanjanja. Kiufupi ni watu feki na mabweghe
 
Wengi wa waliotajwa wako shallow sana...unajua sio dhambi kukataa ku comment kitu usichokijua...to know your limits is not a sign of weakness..
Opinion leaders pia wengi hawafanyi tafiti na pia waandishi wengi.Inakera na kuna ombwe kubwa sana.Kuna kituo kimoja kilinialika nikategemea kuwa nitaulizwa maswali deep sana lakini kilichotokea nilikua disappointed kwa kiasi fulani
 
CHAMA cha demokrasia na maendeleo bila shaka ni chama imara ila kinatatizo moja tu la uongozi. UONGOZI ULIOPO umeshindwa kabisa kusoma alama za nyakati, unapokuwa na viongozi ambao kwao kila wanaetofautiana ni threat hapo uongozi kimsingi unakuwa dhaifu na kuanza kufukuza wale wanaowaona either ni threat au wanawapa changamoto.

Mfano mzuri MH SHIBUDA akihojiwa hot mix mwezi uliopita alikiri wazi kwamba nilizani CHADEMA nitakuwa na uhuru wa mawazo lakini nimekuta yaleyale nilioyakimbia ccm nikitoa mawazo tofauti naitwa msaliti au pandikizi la ccm, zamani ccm waliniita kibaraka wa upinzani au ww si mwenzetu sasa nashangaa hata upinzani nao wanafanya upuuzi uleule wa ccm wa kutotaka changamoto. embu ndugu fatilia mh clinton alipata hofu kubwa baada ya kusikia obama nae anataka kugombea na alifanya kila aina ya ubaya ili obama asichaguliwe lakini mwishowe alikiri kuwa kiongzi sio tu kutamani bali uonekane kweli kwa vitendo,mfano mwingine ni kule sudani kusini ambapo viongozi dhaifu huwakimbia wapinzani wao kwa kuwafukuza na baadae kuleta vurugu kubwa kwenye jamii.

chama makini kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu viongozi wake wangejikita katika kuimarisha chama kwa mikutano makonganmano lakini si kujikita katika kuwamaliza waleta changamoto.

NOTE
KUKIMBIA CHANGAMOTO NI DALILI YA UDHAIFU ,, KICHWA KIKIUMA UNAKUNYWA DAWA SI KUKIKATA KWANI UKIKIKATA HATA MWENYEWE UTAKUFA.


To be frank umepoteza hoja na kunifanya nikae kimya kabisa.This look very low ukilinganisha na hoja yenyewe.Anyways ndiyo hali tuliyonayo so endelea kupeta na kuenjoy maisha ya siasa zako na wanasiasa tulionao.
 
Back
Top Bottom