Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
Kama sikosei Tanzania tumepeleka wanamichezo 7 tu kwenye michezo inayoendelea ya olimpiki 2016 wakati Marekani mpaka sasa ana medali 86 kwa iyo hata wanamichezo wetu wote wangeshinda medali stll bado tu...
Nchi yetu leo ilitakiwa iwe inapambana na Kenya Au Ethiopia kwa Upande wa medali hasa upande wa Riadha,ukiangalia ss na Kenya hatuna tofauti kubwa kijiografia anzia hali ya hewa mpaka sura nchi(milima,mabonde,nyanda za jùu) lakini sijui kwann wenzetu wametuacha tena sana
Michezo ni ajira kama Ajira zingne leo pale Nigeria Nwako Kanu anahospitali kubwa ya magonjwa ya Moyo likewise Drogba naye anasera ya kujenga zahanati kila kijj pale kwao Ivory Coast na Maduka makubwa/ Shoprite pale Abuja/Lagos zinamilikiwa na Wanamichezo.
Kwetu hapa siku baada ya Siku michezo inazd kurud nyuma walikuwepa kina Filbert Bayi,Nyambura,Ikangaa...nk inamaana tumeshindwa kuzalisha akina Filbert Bayi wengine??
karibu Tujadili kwann Michezo inazidi kurudi Nyuma nchini Mwetu wakati nchi Jirani zikizidi kufanya vizuri...
Nchi yetu leo ilitakiwa iwe inapambana na Kenya Au Ethiopia kwa Upande wa medali hasa upande wa Riadha,ukiangalia ss na Kenya hatuna tofauti kubwa kijiografia anzia hali ya hewa mpaka sura nchi(milima,mabonde,nyanda za jùu) lakini sijui kwann wenzetu wametuacha tena sana
Michezo ni ajira kama Ajira zingne leo pale Nigeria Nwako Kanu anahospitali kubwa ya magonjwa ya Moyo likewise Drogba naye anasera ya kujenga zahanati kila kijj pale kwao Ivory Coast na Maduka makubwa/ Shoprite pale Abuja/Lagos zinamilikiwa na Wanamichezo.
Kwetu hapa siku baada ya Siku michezo inazd kurud nyuma walikuwepa kina Filbert Bayi,Nyambura,Ikangaa...nk inamaana tumeshindwa kuzalisha akina Filbert Bayi wengine??
karibu Tujadili kwann Michezo inazidi kurudi Nyuma nchini Mwetu wakati nchi Jirani zikizidi kufanya vizuri...