Tanzania na Michezo Ya Olimpiki 2016

Tanzania na Michezo Ya Olimpiki 2016

Mchezo wa kucheza sengeli utaingizwa kwy mashindano yajayo msijali mtapa medali nyingi tu!
 
Ushaambiwa FYAAATUENII WATOTO... ndio wataenda Olympic baadae..!! Ww unalalamika huku, kwnn hujawa wa watu wanaokwenda Olympic...!? Ni rahisi kutoa mifano.. ila ww kuwa mfano ni ngumu sana eeh..!!

Fyatueni watoto... fyatua tu..!! Haaa
 
Kuna hadi michezo ya kutembea, kurusha tufe, kurusha mkuki nk. hivi hii nayo inahitaji vipaji maalum?
 
Pesa za umiseta zipelekwe kwenye ujenzi wa madawati.

Mkuu;
Hakuna ujenzi wa madawati bali utengenezaji madawati. Lakini, hao hao watakao yakalia madawati hayo, wafundishwe michezo.
Ni Tz tu nimeona uchawi wa mpira. Ati. Center half anavaa hirizi ili akiliachilia shuti kipa wa upinzani adondoke. Ngoma ni wakati timu zote zatoka dar. Mchawi wao, mmoja tu.
Badala ya kujifunza namna ya kuufyatua mpira tunapewa ruksa kuwafyatua watoto. Wale nini, wasome vipi au wavae nini hakuna wa kuuliza. Hakika hii ni Tz ya viwanda mpaka vya watoto lakini hakuna nepi.
 
Mkuu;
Hakuna ujenzi wa madawati bali utengenezaji madawati. Lakini, hao hao watakao yakalia madawati hayo, wafundishwe michezo.
Ni Tz tu nimeona uchawi wa mpira. Ati. Center half anavaa hirizi ili akiliachilia shuti kipa wa upinzani adondoke. Ngoma ni wakati timu zote zatoka dar. Mchawi wao, mmoja tu.
Badala ya kujifunza namna ya kuufyatua mpira tunapewa ruksa kuwafyatua watoto. Wale nini, wasome vipi au wavae nini hakuna wa kuuliza. Hakika hii ni Tz ya viwanda mpaka vya watoto lakini hakuna nepi.
Sawa afisa wa TUKI
 
Wee jamaa wewe !!! wabongo wapo bize na na soka na baada ya kuona hii kitu ambayo si asili yetu na tunaingangania wameelekeza macho yao huko kwa MUGABE kuchota wanandinga ili kiu yao iondoke na sasa ni walaa hawajui hata kilichokuwa kinaendelea huko rio maana wanakomaa na HISA@ KUKODISHA HISA@ KUKODISHA HISA@ KUKODISHA unaleta habari za riadha!? nani atakuelewa? si wapo akina fabiani joseph wanaoendaga kila mwaka? kwa nini uandae maadhalizi ya ligi ya taifa ya riadha kuanzia vijijini kutafuta vipaji vipya !!! si kupoteza muda tuu na fedha?? kwa nini fedha hizo tusitoe hata milioni 200 kumnunua mzimbabwe ambaye tangu tumemleta ameonyesha cheche zake za kufunga magoli ya kiustadi??????
 
Back
Top Bottom