docha de brigher
New Member
- Jun 1, 2020
- 2
- 0
Hatari saana
Kwani uliwatuma wakope wakuletee? Subiria tozo mpya kwenye laini za simu na kila pale.Mbaya zaid pamoja na mikopo yote hiyo ila maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi pia kuongezeka kwa Kodi na tozo Kila sehemu sasa unabaki unaniuliza hizo pesa wanazifanyia nini kama sio kula viongozi na familia zao?