Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 975
Kumbe umeolewa! Sorry sana aisee. Basi zikiwekwa hizo nyaraka nitakuPM tu inatosha. Sitaki matatizo!
Yamefika huku? Hatari sana.
Kumbe umeolewa! Sorry sana aisee. Basi zikiwekwa hizo nyaraka nitakuPM tu inatosha. Sitaki matatizo!
Tungekomaa watulipe pesa zetu za fine (bilioni za kimarekani 190,yaan kwa pesa yetu ni bilioni 190 tuzipange pange mpaka zifike mara elfu mbili na mia tatu na saba (2307) hii pesa ingetuwezesha kujenga twiga ya kwetu wenyewe,kuanzia mitambo hadi makontena ya kusafirishia makinikia kwenda kwenye smelter yetu wenyewe,hao barick wangebakia kuwa wapenzi watazamaji tuNi kuhusu zile trilion 495++
Ndo immaturity yenyewe anaonyesha hapaYamefika huku? Hatari sana.
Positive attitude towards any challenge in life usually produce good results.Unamshauri afanye biashara gani na ni fursa ipi unamshauri wakati biashara ndo hizo zinadorora fuatwafuatwa kibao na makodi kabakaba.Acha kumshauri vibaya ili aunguze mafao yake familia inyanyasike.
Binafsi Sina uelewa wa hili ila ninachoamini hao wazungu siyo maboga,they know why wakasign.Hivi hii biashara inakuaje? Unamiliki 16% ya hisa lakini faida mnagawana 50% kwa 50% na yule mwenye hisa 84%.
Mimi mbona sielewi hii biashara? Kama yupo aliyeelewa haya makubaliano naomba anifafanulie kuhusu huu mgawanyo wa faida
Kinachoangaliwa ni issue ya unemployment? au maendeleo ya nchi miaka 100 mbele kpitia hao watu wako unaojaribu kuwateteaMawazo ya mtu mweusi haya! Sishangai. Just ask yourself, mzungu angeuliza swali ulilouliza? Ndio maana marekani na kuwa taifa lenye watu zaidi ya mil 300, unemployment ni chini ya 4%, sababu watu hawaulizi maswali kama yako!!
Nadhani wakujibu hili ni wale wanaoshangilia hiyo 50% kwa 50%. Wameelewa nini? Ni faida ipi? kwa vipi?Ebu tulia kwanza naomba wajuvi wa masuala haya wanifafanulie sijaelewa kitu, kwamba sisi tuna 16% kwenye kampuni hiyo halafu faida ni 50% kwa 50%. Inakuwaje kwamba mtaji wetu au sijui niseme hisa kwenye kampuni ni 16% sasa sisi faida ya kugawana 50 kwa 50 inakuwaje?
Hivi unajielewa wewe ? Ulisoma shule ya wapi? Kuna maendeleo bila watu kuwa na kazi? Uchumi gani huo, maendeleo gani hayo unemployment iwe 80%?Kinachoangaliwa ni issue ya unemployment? au maendeleo ya nchi miaka 100 mbele kpitia hao watu wako unaojaribu kuwatetea
Mwanyika was sharing top secret files to Tundu Lissu. That was an act of treason!
Kiongoz gan katika nchi yako kawahi kutengeneza ajira au mnajitengenezea pressure kwa ajira chache zitolewazo na hao wawekezaji walokua wapo kwa kujari masirahi yao zaid ....nchi kama marekan ambazo ndo ma role madel wako wanatengenezaje ajira kama si kwa kukatisha uhai wa watu ktk nchi maskin kpitia izo pandemic deseases....tujarib kuheshim processes maake hata hayo magonjwa yatengenezwayo watu wamekaa kwa mda na kifo chako ndo matokeo chanya ktk kazi zaoHivi unajielewa wewe ? Ulisoma shule ya wapi? Kuna maendeleo bila watu kuwa na kazi? Uchumi gani huo, maendeleo gani hayo unemployment iwe 80%?
Mmmh, hizo conspiracy theories!!Kiongoz gan katika nchi yako kawahi kutengeneza ajira au mnajitengenezea pressure kwa ajira chache zitolewazo na hao wawekezaji walokua wapo kwa kujari masirahi yao zaid ....nchi kama marekan ambazo ndo ma role madel wako wanatengenezaje ajira kama si kwa kukatisha uhai wa watu ktk nchi maskin kpitia izo pandemic deseases....tujarib kuheshim processes maake hata hayo magonjwa yatengenezwayo watu wamekaa kwa mda na kifo chako ndo matokeo chanya ktk kazi zao