Tutakuwa hatujafanya busara iwapo tutamsahau mzee Kipara. Huyu mzee ameitoa mbali sana hii sanaa ya uigizaji, tangu enzi za Radio TAnzania Dar Es salaam enzi hizo na akina mzee Jongo (R.I.P). Mwenye data zake zaidi naomba anisaidie kuzimwaga hapa.
Mkuu uliyeanzisha hii thread heshima kwako. Ila wasiwasi wangu wadau wengine wasije wakaigeuza kuwa another the utamu. MODs watch out
Asante kwa picha nzuri, huyo mdada wa juu kabisa Mainda na jina lake halisi ni MWANAIDI SUKA, alikuwa anaishi mikocheni chama na mama yake na kwenye elimu samahani aliishia ya msingi pale mikocheni na baada ya miaka kadhaa alichumbiwa na marehemu MAX, Mungu amlaze mahali pema. Baada ya hapo nikaona alikuwa bega kwa bega na kaka yetu Ray sasa sijui baada ya hapo. Sorry kama nimeingilia pv za mtu!
Huyo Uwoya hivi ni Mtanzania mwenzetu au ndio usanii uko damuni kiasi cha kuanza kukausha damu,ubaki usanii,sidhani kama nikija kuonana naye uso kwa uso sitashtuka sana kumoyo sbb picha za ndani pia nazo zimeonekana,Dada yang wewe ni mtanzania usisaliti mila na desturi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.