Panaponishinda kuelewa nipale nisikiapo Mwekezaji kanyang'anya Ardhi, tena mgeni kutoka nje ya Nchi. Yaani mmelala kijijini kwenu Asusubuhi mnaamka mnakuta Wachina, Wahindi au Wazungu ati wamevamia Maelfu ya hekta za Ardhi wanafanya shuhuli zao, yani ndio tuamini hivyo? Au kuna namna zinazotumika kuwapagaisha Wananchi/Wanavijiji, na wao huwa wako wapi mpaka yote hayo yanatokea?