Tanzania kushiriki Jukwaa la Uongezaji thamani madini Uingereza

Tanzania kushiriki Jukwaa la Uongezaji thamani madini Uingereza

Wizara ya Madini

Govt Institution
Joined
Apr 12, 2025
Posts
47
Reaction score
19
Leo tarehe 19 Mei, 2025 Ujumbe wa Tanzania kutoka Wizara ya Madini, ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo, umewasili jijini London nchini Uingereza kwa ajili ya kushiriki Jukwaa la Uwekezaji kwa Sekta ya Madini lililobeba agenda ya Uongezaji Thamani Madini (Minerals Beneficiation And Value Addition).
IMG-20250520-WA0005.jpg


Jukwaa hilo ni fursa kubwa ya kuvutia wawekezaji wa kujenga viwanda nchini Tanzania na kuondokana na utegemezi wa kusafirisha madini ghafi jambo ambalo litasisimua ukuaji wa uchumi na kuongeza ajira kwa Watanzania.
IMG-20250520-WA0007.jpg


Ujumbe huo umepokelewa vizuri na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Mbelwa Kairuki, ambapo mazungumzo mafupi kuhusiana na vikao vinavyotarajia kuanza tarehe 20.05.2025 hadi 22.05.2025 yamefanyika.
IMG-20250520-WA0009.jpg
 
Leo tarehe 19 Mei, 2025 Ujumbe wa Tanzania kutoka Wizara ya Madini, ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo, umewasili jijini London nchini Uingereza kwa ajili ya kushiriki Jukwaa la Uwekezaji kwa Sekta ya Madini lililobeba agenda ya Uongezaji Thamani Madini (Minerals Beneficiation And Value Addition).View attachment 3339535

Jukwaa hilo ni fursa kubwa ya kuvutia wawekezaji wa kujenga viwanda nchini Tanzania na kuondokana na utegemezi wa kusafirisha madini ghafi jambo ambalo litasisimua ukuaji wa uchumi na kuongeza ajira kwa Watanzania. View attachment 3339537

Ujumbe huo umepokelewa vizuri na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Mbelwa Kairuki, ambapo mazungumzo mafupi kuhusiana na vikao vinavyotarajia kuanza tarehe 20.05.2025 hadi 22.05.2025 yamefanyika.View attachment 3339534
Muwe mnatushirikisha na sisi wachimbaji wa aina zote tujionee,sio nyie mtuwakilishe peke yenu!
 
Back
Top Bottom