Tanzania kupokea mkopo wa dollar million 150

greater than

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
1,242
2,111
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.

Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.


Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE

source:the citizen
 
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.

Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.


Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE

source:the citizen
Unaweza labda kuniambia sababu Kubwa ya Mimi kunitaja hapa ni nini / ipi hasa?
 
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.

Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.


Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE

source:the citizen
Nchi mufilisi , hiyo mikopo inaishia kumrejesha matumbo ya wapumbavu wachache
 
Safi Sana, vizazi vijavyo vitalipa tu, mbona mwaka 2020, ndiyo tulimaliza kulipa mkopo wa barabara ya uhuru, toka toka clock tower mpaka Buguruni?, na barabara hiyo ilijengwa, 1970s.....
#Tuchukuwe mikopo bila hofu yoyote!
 
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.

Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.


Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE

source:the citizen
Ukisoma hizi takwimu hapa za imports huwezi shangaa,
20240518_085142.jpg

punguzeni kuzaana hovyo,ongezeni uzalishaji(long term process) na anzeni kuwaamini wakandarasi wenu wa ndani ikiwemo kuwawezesha Ili pesa nyingi mnazowalipa Wachina Kwa Dola msevu Kwa kuwalipa wazawa Kwa Shilingi vinginevyo shida itaendelea licha ya uchumi kuimarika ila hauendeani na Kasi ya ongezeko la watu na uzalishaji.
 
Ukisoma hizi takwimu hapa za imports huwezi shangaa,
View attachment 2993894
punguzeni kuzaana hovyo,ongezeni uzalishaji(long term process) na anzeni kuwaamini wakandarasi wenu wa ndani ikiwemo kuwawezesha Ili pesa nyingi mnazowalipa Wachina Kwa Dola msevu Kwa kuwalipa wazawa Kwa Shilingi vinginevyo shida itaendelea licha ya uchumi kuimarika ila hauendeani na Kasi ya ongezeko la watu na uzalishaji.
So Waziri Muigulu ndiyo kaona hiyo ndiyo solution...
 
Kwanini nini Tsh inashuka thamani na dola imeadimika? YAANI TUMESHINDWA KULIFANYIA KAZI HILI SWALI NA TUMEONA SULUHU NI KUKOPA?

LOW PRODUCTION ambayo mwisho wa siku inaleta low exportation, matokeo yake tumebaki kuwa Taifa la wachuuzi, wadangaji, na consumers.
Unahitaji watu serious na utawala wa mkono wa chuma kuwaweka watu kwenye mstari na kutoka kuwa wachuuzi na kuwa wazarishaji.

Wengi humu tunapiga zumari na kusifia ujinga ujinga na kusahau in long term huu ujinga unakwenda kutafuta vizazi na vizazi.

WAKOPESHAJI WANAJUA WANACHOKIFANYA ILIHALI WAKOPESHWAJI NI HOHEHAHE HAKUNA WAJUALO.

TUACHE HUU UCCM NA UCHADEMA, TUACHE HUU UKRISTO NA UISLAMU TUSIMAME PAMOJA KUKEMEA UJINGA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU NA VIZAZI KUMI MBELE.
 
Kwanini nini Tsh inashuka thamani na dola imeadimika? YAANI TUMESHINDWA KULIFANYIA KAZI HILI SWALI NA TUMEONA SULUHU NI KUKOPA?

LOW PRODUCTION ambayo mwisho wa siku inaleta low exportation, matokeo yake tumebaki kuwa Taifa la wachuuzi, wadangaji, na consumers.
Unahitaji watu serious na utawala wa mkono wa chuma kuwaweka watu kwenye mstari na kutoka kuwa wachuuzi na kuwa wazarishaji.

Wengi humu tunapiga zumari na kusifia ujinga ujinga na kusahau in long term huu ujinga unakwenda kutafuta vizazi na vizazi.

WAKOPESHAJI WANAJUA WANACHOKIFANYA ILIHALI WAKOPESHWAJI NI HOHEHAHE HAKUNA WAJUALO.

TUACHE HUU UCCM NA UCHADEMA, TUACHE HUU UKRISTO NA UISLAMU TUSIMAME PAMOJA KUKEMEA UJINGA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU NA VIZAZI KUMI MBELE.
Unadhani ni Suala la overnight? Waziri amewahi weka wazi kwamba Nchi inatekeleza miradi Mingi mikubwa ambayo Ilianza Kwa pamoja ,hili nalo ni chanzo.

The root is kule Kwa Mzee wa kukurupuka apate sifa,kaacha msala yeye kajifua lawama Kwa wengine 😁😁
 
Umewahi fuatwa kwako kudaiwa hela ya Mkopo?
Dah aisee, inasikitisha Sana.

Unafikiri kuna Mtanzania atafuatwa nyumbani kudaiwa mkopo wa Serikali? Bali utapandishiwa gharama za maisha wewe na vitukuu vyako kufidia madeni ya wakoloni ilihali mkopo wenyewe ulitumika kuendeshea uchaguzi, kununulia magari ya kifahari viongozi, kujenga Barabara zisizo na viwango, nyingine kuibiwa na kurudishwa hukohuko zilikokopwa, watu kuziiba kulewea na kuhonga malaya.
 
Back
Top Bottom