Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,589
- 1,679
Habari hii ni ya mwanzo katika the East African. Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Tanzania, Bernard Membe, iwapo kampuni ya BAE itatekeleza mpango wake wa kulipa fedha za fidia (zilizotokana na rushwa katika mauzo ya Radar) kwa mashirika ya hisani ya Uingereza yanayotoa huduma za binadamu Tanzania, badala ya kuzipeleka kwenye mfuko wa serikali, basi Waziri huyo atayapiga marufuku mashirika yote ya hisani ya Uingereza nchini. Membe alinguruma:
If the UK goes ahead or sticks to its original plan to reimburse money stolen from our government, through their own charitable organisations in the country, then we shall ban all such organisations that originate from Britain,
Miongoni mwa mashirika ambayo yatakayofukuzwa kama hatua hiyo ikipitishwa ni:
Save the Children, Oxfam, Action Aid na Care Tanzania, ambayo yanatoa huduma za binadamu kwa mamilioni ya Watanzania.
Jee, kitendo cha Membe kitakuwa na mantiki? Hii siyo kama kumtishia mwanamke asiyekupa ngono kwa kutia moto nyumba yako!
If the UK goes ahead or sticks to its original plan to reimburse money stolen from our government, through their own charitable organisations in the country, then we shall ban all such organisations that originate from Britain,
Miongoni mwa mashirika ambayo yatakayofukuzwa kama hatua hiyo ikipitishwa ni:
Save the Children, Oxfam, Action Aid na Care Tanzania, ambayo yanatoa huduma za binadamu kwa mamilioni ya Watanzania.
Jee, kitendo cha Membe kitakuwa na mantiki? Hii siyo kama kumtishia mwanamke asiyekupa ngono kwa kutia moto nyumba yako!