Tanzania kujenga kiwanda cha kuunda magari ya Toyota

Bongo Kuna Wapumbavu sijapata Ona... So kama Ungekuwa umefuatilia nachopelekana na jamaa... Ni Kuwa issue kwetu Tanzania we don't need Toyota aje afungue kiwanda chake hapa na ajizolee mimi nachopigania Tuwe na kiwanda chetu na wao waje wasaidie kuendeleza au kufufua viwanda vyetu ndio naona maendeleo mambo ya Tech Transfer ndio nachotaka mimi...

Mtu hata kama ni Mjinga kiasi gani umeelezee hadi kesho kuwa Kununua tech sio sawa na kununua kiwanda nadhani tunamiss point hapa hatutoelewana... maana Kununua Kiwanda na kununua tech naweza sema hamna tofauti... sababu kununua tech ni just kucopy and kupaste na kununua kiwanda ni kukidismantle sehemu fulani huko na kuja kukifunga kwako kama kilivyo... Sasa tutabishania lugha kama wapumbavu... The Issue ni kuwa Tata alinunua full stop na hadi leo upande wa magari makubwa spea zinaingiliana... Na Historia ya hiyo kampuni ilifunga kila kitu walichopokea kutoka ujerumani...

Ni Sawa na Haya mabasi Qolos ni Mchina na Muisrael na Mhindi


Nimekwishajaribu kukuelezea kilichotokea kwa TATA siyo kigeni kinafanyika Dunia nzima, Kampuni kubwa za magari kama Daimler, Toyota n.k huingia ubia na kampuni za magari za nchi husika hasa nchi zinazoendelea na kuunda gari ambalo litakuwa ni bei rahisi na kuliuza, kwa mfano VW wanafanya sana Uchina, Audi inayotengenezwa na VW Uchina siyo Audi inayouzwa Ulaya, Japani au Marekani, hiyo ni Audi for Chinese market!

Hivyo narudia tena TATA hajawahi kununua Mercedes Benz (kampuni), kwa maana ukisema TATA amenunua Mercedes benz ina maana MB ilikuwa inamilikiwa na TATA sasa hili halijawahi kutokea!
 
Bro kama haujui nini maana ya uwekezaji wa technolojia ya viwanda bora ukae kimya,,, Hata ukisia AUDI wanatengeneza magari pale ujerumani usidhani ni serikali, wale ni wawekezaji, haijalishi ni wajerumani ama wageni,, ukisubili serikali ndo iwekeze yenyewe ndo ujue Tz ina viwanda utakua unachekesha katika hii Dunia ya kisasa
Mifano yako na maonyo yako hayaendani kinadharia.... ukisema sijui 100% hueleweki na huelewi nini kinazungumziwa... nadhani unapotosha mada ili uonekane unaelewa zaidi wakati ni mweupe kichwani nani aliyekuambia mimi nasubiri Serikali? ndio maana nasisitiza Watanzania wengi ni misukule yaani akiona haelewi kitu kuhusu mada husika anaibadilisha kabisa yaani hata kumsoma inatia uvivu ndio manaa wanafeli sana mitihani na ukiwakuta wanatoka kwenye mitihani wanajisifia nimeshusha vitu balaa...

Nadhani hata hujui tulichokuwa tunazungumzia umedakia na hutopevuka...
 
Akili yangu hainipi kuamini hii story leo waziri wa viwanda kaonana na CEO wa Toyota halafu wameshakubalia kujenga viwanda 2017 mmhh! Kwanza Toyota walete wataalamu wao kujua eneo na soko likoje na mambo mengi tu ya kuangalia. Sio mnatoa misifa tu
 
Nimekwishajaribu kukuelezea kilichotokea kwa TATA siyo kigeni kinafanyika Dunia nzima, Kampuni kubwa za magari kama Daimler, Toyota n.k huingia ubia na kampuni za magari za nchi husika hasa nchi zinazoendelea na kuunda gari ambalo litakuwa ni bei rahisi na kuliuza, kwa mfano VW wanafanya sana Uchina, Audi inayotengenezwa na VW Uchina siyo Audi inayouzwa Ulaya, Japani au Marekani, hiyo ni Audi for Chinese market!

Hivyo narudia tena TATA hajawahi kununua Mercedes Benz (kampuni), kwa maana ukisema TATA amenunua Mercedes benz ina maana MB ilikuwa inamilikiwa na TATA sasa hili halijawahi kutokea!
Ok its mean umeamua kutoelewa basi endelea hivyo hivyo ila ukweli ndio huo niliokueleza Jamaa Ndio Wanamiliki Benz ambayo kwa Sasa inaitwa Tata na Kila kitu katika Tata Original yake ni Benz.. Baki unavyojua wewe ila unapokuwa unabishana na mtu kuhusu Asili ya Magari ya Tata usiseme walinunua bali Benz walijipendekeza na wao Wakabeba sababu wao ndio walianza kutengeneza hayo magari...

Na Kuhusu Land Rover na Jaguar nalo hukubali pia?
 
Ok its mean umeamua kutoelewa basi endelea hivyo hivyo ila ukweli ndio huo niliokueleza Jamaa Ndio Wanamiliki Benz ambayo kwa Sasa inaitwa Tata na Kila kitu katika Tata Original yake ni Benz.. Baki unavyojua wewe ila unapokuwa unabishana na mtu kuhusu Asili ya Magari ya Tata usiseme walinunua bali Benz walijipendekeza na wao Wakabeba sababu wao ndio walianza kutengeneza hayo magari...

Na Kuhusu Land Rover na Jaguar nalo hukubali pia?
hivi kama kampuni binafsi inakuja kuwekeza Tanzania na kukupa ajira we inakuhusu nn? au upimbi unakusumbua? hivi unajua kuna kampuni ina-extend Land cruiser chases for tour vans hapa Tanzania na underlicenced na Toyota? sasa kama wamekubaliana? Au ujuaji mwingi pasipo na mbele wala nyuma! Pita hapa ujue kinachoendelea na si kupayuka tu!
 
Ok its mean umeamua kutoelewa basi endelea hivyo hivyo ila ukweli ndio huo niliokueleza Jamaa Ndio Wanamiliki Benz ambayo kwa Sasa inaitwa Tata na Kila kitu katika Tata Original yake ni Benz.. Baki unavyojua wewe ila unapokuwa unabishana na mtu kuhusu Asili ya Magari ya Tata usiseme walinunua bali Benz walijipendekeza na wao Wakabeba sababu wao ndio walianza kutengeneza hayo magari...

Na Kuhusu Land Rover na Jaguar nalo hukubali pia?


TATA hawakununua MB bali kulikuwa na ushirikiano baina ya TATA na MB, ni kama vile India kuna gari zinaitwa Suzuki Maruti, hizi ziliundwa kutokana na ushirikiano kati ya Suzuki ya Japani na Maruti ya India yaani Suzuki walijenga kiwanda India ili waweze kuuza Suzuki zao kwa bei nafuu ndivyo walivyofanya MB kwa TATA, sasa ushirikiano unapokuja kuisha hao TATA wataendeleza teknolojia waliyopewa, ndiyo maana unaona hata hapa Bongo kuna Suzuki Maruti lkn hazitoki Japani bali zinatoka India!

Na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba haya makampuni makubwa kama MB au Toyota kwa magari wanayaoyatengeneza kwao hawawezi kuuza nchi zinazoendelea kama Afrika au India kwa sababu ya bei kubwa inayotokana na gharama za uzalishaji huko kwao hivyo huingia makubaliano ya kibiashara na nchi husika halafu huunda version ya MB, VW au Toyota ambayo ni kwa ajili ya hiyo nchi tu, yaani kwa mfano hauwezi kuuza Suzuki Maruti Japani kwa maana haikidhi viwango vya kutumika Japani kutokana na teknolojia primitive iliyotumika ukinganisha na Suzuki made in Japan!
 
onyesha wapi walinunua Mercedes Benz! Technical cooperation si sawa na kununua!
Mercedes Benz India history
Mercedes-Benz has been operating in India for over 60 years. They started in India in 1954 in partnership with the Tatas for making commercial vehicles under the trade name Tata-Benz. In 1994 Mercedes Benz signed an agreement with the Tatas to produce luxury cars in India and in next year 1995, the first Mercedes Benz car made in India, the Mercedes Benz model E220 were sold in India. These first Indian made Mercedes Benz cars were assembled from completely knocked down (CKD) kits imported from Germany. In 2000 Mercedes bought out the shares of Tatas in their joint venture, and Mercedes Benz's operations in India became 100% Owned by Mercedes under their Indian Company Mercedes-Benz India Pvt.Ltd. Mercedes Benz now has two factories in India, one in Chakan, Pune for car production and another factory in Oragadam, Chennai for commercial vehicles.

Hizo Shares zote alizokuwa Nazo TATA wamezirejesha kwao.... Tata kwa kila kitu ni Benz tupu logo tu ndio limegeuzwa kuwa T
 
Raisi Magufuli hii sasa ni sifa, embu punguza kidogo, utaua watu kwa vihoro, pole pole waache kwanza wadigest habari za Bomba la mafuta na ajira 10, 000 ulizotuletea, nimesikia hata makubaliano ya SGR tayari, Duh hii ni kasi ya kimondo!

kuhusu bomba wale jamaa wa kujisifu wametangaza nao kujenga lipite kwao hata km halitapitisha mafuta wanahisi tz itakosea sehem wawarubuni jamaa wapitishe kwao ktk swala hili la uchumi hatuna chama,udini wala ukabila tunasema TANZANIA kwanza
 
Sometym I agree that most of Tanzania are arrogant but not all,,, nimefuatilia maoni yako yote umekaa kubisha kwa kujifanya unajua kumbe ushamba wa kukurupukia google ndo unakusumbua,Ila siku moja ujinga ulionao utakutoka,
Nakukaribisha kenya hata wiki moja basi utajua madhara ya ujinga ulionao
kENYA? muhahahahahaha majizi hadi Raisi wenu kawapa Live... Washamba waliokuzaa sasa unataka kuniambia Wakenya Hawatumii Google? We ni zaidi ya mpumbavu... mimi nimefahamu hili sababu ni mtu wa Mabasi najua ndani nje kuhusu Tata kuhusu Google ni kukuweka sawa bwege wewe au unataka nikayapige picha Mabasi nikuwekee usome maana hutaki Google... wewe ni zaidi ya jinga... Bill gates mwenyewe anatumia Google.... ficha Upumbavu
 
Napendekeza km tuna balozi South Sudani km hatuna Rais amteue balozi huko hata km ni mdogo na apewe majukumu ya kutafuta fursa ya masoko ya mazao na huduma toka nyumbani tz tusisubiri kuletewa tutafute fursa na hili liwe moja ya jukumu muhimu kwa mabalozi wetu
 
Ila Hawa wajapani siwaamini tangu walipomuahidi kikwete kujenga kiwanda cha Honda mpaka leo kimya.simuamini mtu mpaka nione magari yameandikwa "toyota made in Tanzania "
 
kuhusu bomba wale jamaa wa kujisifu wametangaza nao kujenga lipite kwao hata km halitapitisha mafuta wanahisi tz itakosea sehem wawarubuni jamaa wapitishe kwao ktk swala hili la uchumi hatuna chama,udini wala ukabila tunasema TANZANIA kwanza

Mmh!!my advice to you is to Finish your homework before posting,nobody under the sun can build a naked pipeline by imagination motives,hii ni mikopo brother!!
 
Waziri wa viwanda wa Tz amekutana na CEO wa Toyota nchini Japan,
Wameongea masuala ya uwekezaji wa viwanda mojawapo ni kujenga kiwanda cha kuunda magari ya Toyota under license, tayari wizara ya viwanda imetenga eneo hilo la uwekezaji wa kiwanda ambapo CEO wa Toyota Japan kasema wataanza ujenzi wa hicho kiwanda mwanzoni mwa mwaka 2017 baada ya kufanya upembuzi yakinifu ya eneo la ujenzi na kusema wataanza na kuunda magari ya CC under 2000 ambapo soko kuu la uuzaji magari ya nchi za east Africa and Central Africa 25 % yatatokea Tanzania,
Pia CEO wa Toyota Japan ameahidi kujenga sambamba kiwanda cha kutengeneza spea za magari ya aina zote ya Toyota hapo hapo kitakapojengwa hicho kiwanda.
Hii habari Kama si porojo basi it's another big news wale jirani zetu wanaweza omba suluhu pale Mogadishu ili watuvamie sisi maana we are becoming threat kwa economy yao. Wadau inabidi magufuli aingie pale North Korea afanye shopping ya carrot chache Za kupigia jalamba na viazi vya rasharasha JWTZ wawe wanapiga jalamba to keep out the bad boys.
 
Back
Top Bottom