Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Wanyonge tutazijua rangi zote za kinyonga... tuombe iwe kheri maana msimu huu hata hapa kwetu hali ya mavuno ya mahindi si njema sana. Je tutaruhusiwa sote kuuza au serikali ndio itauza hayo mahindi? Hata Sudan kusini wanayahitaji sana...Tunauza Mahindi au Unga?
Maana wakulima walipigwa mkwara wasiuze mahindi ghafi nje.!
Ah!!
Mchana inzi usiku mbu...