Tanzania kuipa Comoro Msaada wa Ndege


Kwa ujumla Tanzania hatuwezi kitu. Hata mpira umetushinda tutaweza nini!? Jana nilikuwa naangalia Cocafa cup South Africa tunafungwa mpaka na Lesotho, Swaziland na Madagascar. Hivi Tanzania tunaweza nini zaidi ya UFISADI!!
 
Kwa ujumla Tanzania hatuwezi kitu. Hata mpira umetushinda tutaweza nini!? Jana nilikuwa naangalia Cocafa cup South Africa tunafungwa mpaka na Lesotho, Swaziland na Madagascar. Hivi Tanzania tunaweza nini zaidi ya UFISADI!!

Mimi nafikiri ktk masaibu yote yanayoikumba nchi.hii kiongozi wake mkubwa ni rushwa iloyotamalaki sekta mbalimbali kama sio zote kamatukifanikiwa kupunguza.Rushwa walau kwa asilimia hamsini kama sio kuondoa kabisa tunaweza kushuhudia mabadiliko makubwa.
Lakini nani wa kumfunga paka kengere.
Hakika tujitafakari upya kama taifa.
 
Tz na wa tz kwa kupenda kujitutumua et nanyie mnatakakutoa msaada wa usafili wa anga mbavu znaniuma kwa kicheko kilichojaa kebei/ nyie wakomoro mnamacho lakini hamuon kweli tz inaweza kuwasaidia ktk hili? duuuuuuu

Hahaha,na hivi walimwambia huyo waziri ndege zipo siyo?Hii ndo bongo,raha tupu!
 
Kweli jamani tusiwe wachoyo wa ndege tuwape tu wacomoro ni jirani zetu. Yaani ndege wamejaa maporini halafu wengine Hadi wanaharibu mazao mashambani! Tena naishauri serikali yetu sikivu ianze na kunguru wa zanzibar!

Kuna vindege vinapatikana njia ya Dodoma mjini Kondoa sehemu panaitwa Kelema, vimekaangwa na binzari wanauza watoto. Viko kama chura hivi Ila vitamu balaaah, nadhani hawa waComoro ndo walikuja kuomba nyama ya ndege hiyo and not Piloted Aircraft.


Tanganyika my Motherland I am ashamed of you......
 
Tz na wa tz kwa kupenda kujitutumua et nanyie mnatakakutoa msaada wa usafili wa anga mbavu znaniuma kwa kicheko kilichojaa kebei/ nyie wakomoro mnamacho lakini hamuon kweli tz inaweza kuwasaidia ktk hili? duuuuuuu

ukisikia mgonjwa anachangia damu ndio hii.
lajini fastjet na precision wachangamkie dili hill.
 
Tanzania hii hii yenye ndege 1 wafanyakazi mia ngapi sijui au Tanzania imetumika kama kivumishi au Kitenzi?hahahah
 
Nendeni kenya tanzania ndege zote ccm wameuza.labda mngeomba ufisadi mngepata haraka sana
 
ndege? ndege zipi au ndege mzungu wa shinyanga wakapige jiji chokaa au tuwape ndege kungru wa zanzibar wakawazolee taka
 
Huenda Mpekuzi blog hajapekua vya kutosha na hivyo taarifa si sahii vinginevyo, nadhani hawa jamaa hawakutamka ndege kwa maana ya aeroplane labda wale wa mbuga za wanyama ???!!! Kama ni kweli basi wana shida maana sisi wenyewe tumekodi halafu wao hawajui kama tuko hoi bin taabani. Ukiwa mgonjwa halafu ukaenda kutafuta dawa kwa fundi viatu si tu kwamba hutapona ila wanaweza wakaanza kufikiria kukupeleka sehemu kama Milembe.
 
Tanzania wana ndege za kusaidia? Atcl wana mgogoro mkubwa Wa kiuendeshaji haohao watoe msaaada Wa ndege ngumu
 
Ni sawa na kumuomba mtu anayeishi chini ya dolla moja kwa umasikin hakununulie Range na hakujengee mansion
 
Wacomoro tunachoweza ni msaada wa majeshi tu haya mengine mnataka kutuona wachoyo bure.
 
Daah!!! Ndugu zetu wa Comoro masikini ya Mungu tulivyowasaidia msaada wa kijeshi wanadhani tutaweza kuwasaidia kila kitu ndege zipo wapo za kuwasaidia waziri kuwa mkweli.
 

Hebu jamani hata kama tunaipenda ccm kiasi hicho, basi angalau tuthubutu kuwapa nchi hawa wenzetu wa upinzani tuone wanafanya nini kizuri.....!

Tuwape Angalau miaka mitano (5).... Ili tuone Kipi kitabadilika..

Maana kila kukicha hapa Tanzania, hatuoni hata jambo jipya ambalo linatia moyo.
 
Daah!!! Ndugu zetu wa Comoro masikini ya Mungu tulivyowasaidia msaada wa kijeshi wanadhani tutaweza kuwasaidia kila kitu ndege zipo wapo za kuwasaidia waziri kuwa mkweli.

Ccm kama kawaida yenu kudanganya ndio sala yenu ya asubuh hadi wewe wasema hivi leo utakuwa umeshika Msaafu au Biblia si bure waogopa sema uongo.
 
Sikufikiria kuwa ombi hilo lilimaanisha wanaomba Tanzania iisaidie Comoro 'NDEGE' kwa maana ya plane, nilidhani ndege wa kufugwa.
 
hivi anaomba ndege gani? Mwewe, kunguru au bundi maana zile za kupanda watu zote tumeshazika labda bundi ngoja niwaarifu bibi zangu kule sumbawanga au kwa shangazi bagamoyo
zote hizo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…