Nchi yetu kumbe inatambulika na kukubalika duniani. Nimefarijika kuona jina LA Nchi yetu linatajwa katika T.V SERIES kali kama ARROW na AGENTS OF THE S.H.I.E L.D. Bila shaka siku moja tutapata actors na actresses washiriki kwenye hizi series.
Mbona hata marehemu Kanumba kaitaja sana TZ au mumesahau ( jus 4 kidin)