Tanzania kama nchi imeipa Nini Dunia?

Tanzania kama nchi imeipa Nini Dunia?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
6,528
Reaction score
18,272
Hili swali nimeuliza mahsusi kwa sababu.

Atleast nchi kama Japan wameipa dunia gari aina ya TOYOTA.

KOREA wameipa dunia products za Samsung

Na hata Russia wameipa dunia AK 47

N K

Sasa sisi kama Tanzania tumeipa nini Dunia kama Product unique ambayo inaitambulisha Tanzania? Naomba kufahamu
 
Tanzania ni main source ya upumbavu na closed minded people mfano utaona watu wa ovyo humu JF, wengi wa maneno ila upupu umejaa debe kichwani.

Alafu wenye hurka ya kuwa smart wanaishiwa kuchukuliwa poa sana.

Tanzania ni kiwanda cha ngono na utupu, watu wanajua mapenzi zaidi ya organization na perseverance , mfano mademu wenye makalio makubwa na skendo za kingono ndio wamepewa kipaumbele kumshinda mdada simple ila mbunifu.

Kama uongo muulize secretarybird ngara23 Vincenzo Jr
 
Mkuu swali lako lingependeza zaidi kama kwanza tungejiuliza,kwanini wakoloni walikuja Tanzania na kuifanya koloni lao? Waliona nini? Walifaidikaje?

Hawa investor kuanzia kwenye madini ya Almasi kule Mwadui mpaka madini ya Dhahabu na madini mengineyo,wao hawafaidiki kitu? Hizo product za huko nje sio kwamba baadhi ya raw materials zinatoka kwenye nchi nyingi za Africa? .


Nchi inaweza kuifaidisha Dunia direct au indirect.
 
Nchi za africa hazina soft power sana...

Mandhari ya serengeti yalitumika kutengeneza filamu ya Lion King iliyofanya vizuri sana na kufanya msemo wa "hakuna matata" kuwa maarufu duniani kote.

Tamaduni za wamaasai zimekuwa maarufu sana duniani na kuvutia wengi.

Wahadzabe nao wameanza kujulikana ila sio kwa njia nzuri kivile...
 
Mkuu swali lako lingependeza zaidi kama kwanza tungejiuliza,kwanini wakoloni walikuja Tanzania na kuifanya koloni lao? Waliona nini? Walifaidikaje?

Hawa investor kuanzia kwenye madini ya Almasi kule Mwadui mpaka madini ya Dhahabu na madini mengineyo,wao hawafaidiki kitu? Hizo product za huko nje sio kwamba baadhi ya raw materials zinatoka kwenye nchi nyingi za Africa? .


Nchi inaweza kuifaidisha Dunia direct na indirect.
Kwa kutumia akili zetu tumeipa Dunia nini ?
 
Back
Top Bottom