Tanzania (JWTZ) vs Kenya (KDF) military power comparison

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,885
12,325
Habari zenu wana JF wenzangu. ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wana JF wenzangu, leo asubuhi mimi na watanzania wenzangu tulikuwa tumealikwa katika birthday ya rafiki yetu mkenya, ambayo imefanyika nyumbani kwake huko Melvin hapa Johannesburg.

Kama ilivyo ada, sehemu yoyote inapowakutanisha watanzania na wakenya lazima pawepo ubishi wa aina fulani. Eidha inaweza kuwa ubishi wa siasa, uchumi, maendeleo nk. Ila kwa leo naona ubishi wetu ulijikita zaidi katika nguvu za kijeshi za nchi zetu kati ya Tanzania na Kenya.

Kwa upande wa Tanzania sisi tulijivunia historia nzuri ya jeshi letu, ambapo toka tulipopata uhuru mwaka 1961, jeshi letu halijawahi kushindwa oparation au vita yoyote hapa duniani. Tukianza na historia ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, jeshi letu lilitoa mchango mkubwa katika ukombozi huo kwa kuwatrain wapigania ukombozi mbali mbali kutoka katika nchi za Zimbabwe, Msumbiji, Afrika kusini, Namibia.

Lakini kama hiyo haitoshi jeshi letu lilishiriki moja kwa moja katika vita vya ukombozi kule Zimbabwe, Msumbiji nk, hadi kupelekea mamlaka za wakati huo kukaa chini na wapigania ukombozi hao na kuangalia namna ya kumaliza vita, na hatimae malengo ya wapigania ukombozi hao yakatimia kwa kukabidhiwa serikali zilizokuwa zinaongozwa na walowezi wa kizungu huko Zimbabwe na Msumbiji.

Hapo hatukuzungumzia vita ya Uganda, uzuiaji wa mapinduzi ya kisiwa cha Comoros, kuwatimua na kuwasambaratisha M23 kule Congo (japo kwa sasa inasemekana wameanza kurudi kwa kasi baada ya kugundua kuwa jeshi letu halipo tena katika maeneo yao)

Kwa upande wa ndugu wetu wa Kenya wao walizungumzia mafanikio ya jeshi lao katika oparation mbali mbali za kuleta amani katika nchi zenye mizozo, pia wanasema jeshi lao limefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwasambaratisha wapiganaji wa alshabab ambao walikuwa ni tishio katika ardhi za Kenya na Somalia.

Sasa basi baada ya mabishano marefu huku kila mtu akitetea jeshi lao. Nikaona bora nije hapa niwashirikishe na nyinyi wana JF wenzangu ili kila mtu achangie kwa kile anachokijua kuhusu majeshi yetu haya ya East Africa Countries.

Jukwaa hili lina mchanganyiko wa raia kutoka nchi mbali mbali za East Africa, kwahiyo ninatarajia kupata majibu sahihi kutoka kila pande ya kanda yetu ya Afrika mashariki. Hapo chini kushoto ni mwanajeshi wa Kenya, akiwa na mwanajeshi wa Tanzania kulia.

Asanteni na karibuni kuchangia kwa hekima.
Tanzania_People’s_Defence_Force.svg.png
images (14).jpeg
images (51).jpeg
images (52).jpeg
images (48).jpeg
images (53).jpeg
images (50).jpeg
images (55).jpeg
Tanzania_People’s_Defence_Force.svg.png
images (98).jpeg
images (34).jpeg
-oYndZ5G_400x400.jpg
images (77).jpeg
images (71).jpeg
images (76).jpeg
images (89).jpeg
images (91).jpeg
images (81).jpeg
images (92).jpeg
images (90).jpeg
images (95).jpeg
images (96).jpeg
 
Mi naona hii battle wahusishe vitu vitakavyoonesha millitary power.

Kwa mfano,
-defense budget for both countries.
-combat tanks
-personels
-propelled artillery
-aircrafts
-navy
-special missions n.k....

comparison ya hivi vitu ndio itaweka bayana ni jeshi lipi limekamilika kila idara.
 
Mi naona hii battle wahusishe vitu vitakavyoonesha millitary power.

Kwa mfano,
-defense budget for both countries.
-combat tanks
-personels
-propelled artillery
-aircrafts
-navy
-special missions n.k....

comparison ya hivi vitu ndio itaweka bayana ni jeshi lipi limekamilika kila idara.
Ok mkuu nimezingatia ushauri wako.
 
Habari zenu wana JF wenzangu. ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wana JF wenzangu, leo asubuhi mimi na watanzania wenzangu tulikuwa tumealikwa katika birthday ya rafiki yetu mkenya, ambayo imefanyika nyumbani kwake huko Melvin hapa Johannesburg.

Kama ilivyo ada, sehemu yoyote inapowakutanisha watanzania na wakenya lazima pawepo ubishi wa aina fulani. Eidha inaweza kuwa ubishi wa siasa, uchumi, maendeleo nk. Ila kwa leo naona ubishi wetu ulijikita zaidi katika nguvu za kijeshi za nchi zetu kati ya Tanzania na Kenya.

Kwa upande wa Tanzania sisi tulijivunia historia nzuri ya jeshi letu, ambapo toka tulipopata uhuru mwaka 1961, jeshi letu halijawahi kushindwa oparation au vita yoyote hapa duniani. Tukianza na historia ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, jeshi letu lilitoa mchango mkubwa katika ukombozi huo kwa kuwatrain wapigania ukombozi mbali mbali kutoka katika nchi za Zimbabwe, Msumbiji, Afrika kusini, Namibia.

Lakini kama hiyo haitoshi jeshi letu lilishiriki moja kwa moja katika vita vya ukombozi kule Zimbabwe, Msumbiji nk, hadi kupelekea mamlaka za wakati huo kukaa chini na wapigania ukombozi hao na kuangalia namna ya kumaliza vita, na hatimae malengo ya wapigania ukombozi hao yakatimia kwa kukabidhiwa serikali zilizokuwa zinaongozwa na walowezi wa kizungu huko Zimbabwe na Msumbiji.

Hapo hatukuzungumzia vita ya Uganda, uzuiaji wa mapinduzi ya kisiwa cha Comoros, kuwatimua na kuwasambaratisha M23 kule Congo (japo kwa sasa inasemekana wameanza kurudi kwa kasi baada ya kugundua kuwa jeshi letu halipo tena katika maeneo yao)

Kwa upande wa ndugu wetu wa Kenya wao walizungumzia mafanikio ya jeshi lao katika oparation mbali mbali za kuleta amani katika nchi zenye mizozo, pia wanasema jeshi lao limefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwasambaratisha wapiganaji wa alshabab ambao walikuwa ni tishio katika ardhi za Kenya na Somalia.

Sasa basi baada ya mabishano marefu huku kila mtu akitetea jeshi lao. Nikaona bora nije hapa niwashirikishe na nyinyi wana JF wenzangu ili kila mtu achangie kwa kile anachokijua kuhusu majeshi yetu haya ya East Africa Countries.

Jukwaa hili lina mchanganyiko wa raia kutoka nchi mbali mbali za East Africa, kwahiyo ninatarajia kupata majibu sahihi kutoka kila pande ya kanda yetu ya Afrika mashariki. Hapo chini kushoto ni mwanajeshi wa Kenya, akiwa na mwanajeshi wa Tanzania kulia.

Asanteni na karibuni kuchangia kwa hekima.View attachment 2301234View attachment 2301236View attachment 2301237View attachment 2301238View attachment 2301239View attachment 2301240View attachment 2301243View attachment 2301244View attachment 2301252View attachment 2301261View attachment 2301264View attachment 2301266View attachment 2301267View attachment 2301268View attachment 2301269View attachment 2301270View attachment 2301274View attachment 2301276View attachment 2301277View attachment 2301278View attachment 2301279View attachment 2301284
Jwtz ni kiboko
 
Back
Top Bottom