YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,003
Watanzania walio wengi wanaishi maisha ya kawaida.Wanaweza kulala hata chini,wakala mboga bila chumvi na wakaishi nyumba zisizo na umeme na maisha wakaona sawa tu.
Watoa misaada wengine ni makafiri wa kutupwa.Watataka hadi Wananchi wainame wakubali kushugulikiwa kwenye makalio kishoga ndio misaada itoke.Utasikia asiyekubali ushoga hatumpi misaada.Na wanalitamka hilo kwa jeuri na kiburi kikubwa.Na sisi ni wakati wa kutamka kwa kiburi kikubwa kuwa misaada yenye masharti hatutaki.
Serikali itamke wazi kuwa misaada yoyote yenye masharti yoyote hatutaki na nakala wapewe mabalozi wote wanaowakilisha nchi zao hasa wa ulaya na marekani ili wawapelekee akina Donald Trump na wengineo
Watoa misaada wengine ni makafiri wa kutupwa.Watataka hadi Wananchi wainame wakubali kushugulikiwa kwenye makalio kishoga ndio misaada itoke.Utasikia asiyekubali ushoga hatumpi misaada.Na wanalitamka hilo kwa jeuri na kiburi kikubwa.Na sisi ni wakati wa kutamka kwa kiburi kikubwa kuwa misaada yenye masharti hatutaki.
Serikali itamke wazi kuwa misaada yoyote yenye masharti yoyote hatutaki na nakala wapewe mabalozi wote wanaowakilisha nchi zao hasa wa ulaya na marekani ili wawapelekee akina Donald Trump na wengineo