Watanzania tupigishwe kura ya maoni kama tunahitaji misaada ya wazungu yenye masharti

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Tunaomba serikali iitishe kura ya maoni ya kitaifa watanzania tuamue kama tunahitaji misaada ya wazungu yenye masharti ya aina yoyote yawe masharti ya kisiasa,kuruhusu ushoga nk.

Iko haja watanzania tuamue aina ya misaada tunayotaka kupitia sanduku la kura na wao wajue kuwa nini tunataka.
 
Tumia akili wewe
Matonya anachagua nani amsaidie?
Anaye kufa na njaa ana chagua chakula gani asaidiwe?
Tanzania ni nchi ya tatu kwa kupokea misaada duniani na ndiyo inatuweka hai,leo unakuja kusema tupige kura ya misaada
Bajeti hii,baada ya wazungu kuweka ngumu kidogo tuu,hakuna mkoa uliopata fedha za maendeleo zaidi ya 20%
CCM ndiyo chanzo cha umatonya huu!
 
Sema unaomba sio tunaomba. Pili hulazimishwi kupokea misaada yenye mashariti. Tatu wanaotoa misaada nao wanawajibika kwa walipa kodi wao. All the best.
 
Tunaomba serikali iitishe kura ya maoni ya kitaifa watanzania tuamue kama tunahitaji misaada ya wazungu yenye masharti ya aina yoyote yawe masharti ya kisiasa,kuruhusu ushoga nk.

Iko haja watanzania tuamue aina ya misaada tunayotaka kupitia sanduku la kura na wao wajue kuwa nini tunataka.
ukiwa unaandika fikiria ni wananchi wangapi wameajiriwa kwenye NGO ,ni umeshakutana na magari ya DFP. je dawa za kifua kikuu,ukimwi zinatoka wapi
 
Wewe ndiye mwana CCM mjinga wa kwanza, ndo nini umeandika wakati bajeti ya serikali ni trillion 22 wakati makusanyo ni trillion1.1 kwa kwa mwezi, Hujui hata unaongea nini.
 
bajeti ya nchi ni tr22,...kwamwez nchi inakusanya tr1.5 maximum,...trillinon 1.5 times 1yr=18trillion,......
we unaubavu usichukue mikopo nje,....
ungesema serikali isimamie vizr mikataba ya madini,gas,utalii nk na ukusanyaji wa kodi kupitia kuinvest ktk viwanda nk
hapo ningekuelewa,..hivihivi mkuu nchi ipo pagumu ccm wanainyonya sana............
hivi
 
Back
Top Bottom