M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Walioutufikisha hapo ni JK ($480) na Mkapa ($330).Kwa mara ya kwanza Magufuli ndani ya muda mfupi kututoa mstari wa nchi maskini mpaka nchi yenye uchumi wa kati , it's wonderful!, endelea na majungu kama ni mtaji
Magufuli ($100) mpira ulimgonga kalio akiwa kwenye mstari wa goli na mpira ukatinga wavuni wenyewe!