Huu ni Utafiti uliofanyika hivi Karibuni na kubaini Afrika Mashariki kwa sasa ni Tanzania ndo inaongoza kwa huduma bora za Internet na zenye gharama Nafuu. Pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Pongezi kwa Wizara ya Mawasiliano chini ya Waziri Nape Nnauye na Pongezi kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).