Tanzania ina nguvu kubwa ya jeshi kusini mwa Africa

You must be stupid. Hii siyo mambo ya UCHADEMA na UCCM. Ukisema Malawi watawapiga vibaya wa tz, wewe unajiweka wapi? hapa hili ni jukwaa la great thinkers

Katika maelezo yangu hakuna mention ya CCM au Chadema.
Nimesema hivi:-
"Wanajeshi wa Tanzania wamezoea kuonea raia tu, na wanatumiwa na watawala kukandamiza haki za wananchi badala ya kutetea maslahi ya Taifa.
Wanajeshi wa Tanzania wanatumika kulinda uporaji wa raslimali za Tanzania kuzipeleka kwa wageni nje, kulinda viongozi mafisadi, kupiga virungu na mabomu ya machozi wananchi wanaodai haki zao kwa amani, n.k.
Kwa mtaji huu, jeshi la Tanzania litashindwa vibaya sana na Malawi kwa sababu ya laana iliyojikusanyia kwa vitendo vyake hivyo vyote".


Bottom line hapa ni kwamba UKIWA DHALIMU, UTALAANIWA TU, WHETHER WEWE NI CCM AU CHADEMA, AU CHAMA CHOCHOTE KILE.

Pole sana mzee, lakini huo ndio ukweli

Haki itainua Taifa. Dhuluma itaangamiza Taifa.
 

:israel: Mkuu Heshima yako! Hapo kwenye redi nyekundu plz revise it, elimika tofauti kati ya Polisi na JWTZ. Nadhani wadau wengi ktk uzi huu unaposema Jeshi wanamaanisha TWTZ kwa dhana ya ulinzi wa mipaka, but hilo la kuzuia maandamano na kupiga virungu, Mhhh...tafakari...! :israel::israel:

Sawa kabisa.
  • Je unajua ni nani aliyelinda misafara ya twiga waliouzwa nje ya nchi?? Kwa taarifa yako, Sio polisi !!!
  • Je wajua ni nani anayewakandamiza raia kule mbugani Loliondo ambako mwana wa mfalme wa kiarabu amepewa miliki ya pori la kuwinda bure kabisa ?? Kwa taarifa yako, sio polisi !!!
  • Je wajua ni kamanda gani wa kijeshi aliyetoa matamko ya kuwataka watanzania waheshimu matikeo ya uchaguzi wa mwaka 2012 hata kabla ya uchaguzi kufanyika ??? kwa taarifa yako, hakuwa kamanda wa ki-polisi!!!
Upo hapo ????
 
Mwana wa ufalme usifike huko...Kweli maisha ni magumu sn kwa sasa hapa nyumbani (sababu naamini unaijua) ila vita sio vyakuombea mkuu.tuombe Mungu hili swala (mipaka TZ vs Malawi) limalizwe ki-diplomasia zaidi.
 
Wewe muongo zile ramani tulizokuwa tunachora shuleni mstari wa mpaka ulikuwa unapita katikati ya ziwa nyasa.
Micro E coli endelea kujiburudisha maana sina uhakika kama tulisoma enzi moja ukizingatia mitaala imakuwa ikibadilika kila kukicha...
 
Millitary spending ya Tz sio kubwa sana (around 0.2% YA GDP (ipo around 64.7 billion dollars)= about $129 million), ya mlw ni 1.3% ya GDP (about 14 billion dollars)= ni kama about $192 million hivi). But inabidi ujue hiyo expenditure ni ya vitu gani, which is more relevant question.
Mkuu hapo kwenye Red unamaanisha nini?
 
Kutoka CIA fact malawi wamewekeza 1.3 ya pato la taifa kwenye jeshi ili hali sisi tumeweka 0.3 ya pato letu hapa tutapigwa kichapo cha mbwa mwizi. Ikumbukwe malawi walijua wana mafuta mwaka 1964 ila pia inabidi tufahamu kuwa mwaka 2008 Brian wa Seal alikuwepo na pia ikumbukwe pia britain wamewapatia mafunzo hivi karibuni. Kuna shopping wamefanya ya ndege kutoka israel ila tutajua tu kwenye uwanja wa vita. Tutashinda
 
Dhaifu badala ya kuongelea issue za msingi kama hizi, anakimbilia kugawa mifugo Monduli kumfagilia EL, na kuja kumsafisha Chenge. Tukizubaa, zubaa utasikia ndg zake CDF Mwamunyange ndo wa kwanza midomo yao kumwagika...
 
Mkuu hapo kwenye Red unamaanisha nini?

Ninamaanisha GDP YA TZ NI AROUND 64.7 BILLION USD NA YA MALAWI NAI KAMA 14 BILLIONI USD. ILA TZ INATUMIA AROUND .2% YA GDP KWA JESHI WAKATI MLW WANATUNIA ABOUT 1.3% GDP KWA SHUGHULI ZA JESHI. SOURCE NI CIA FACTBOOK 2012
 
Mwana wa ufalme usifike huko...Kweli maisha ni magumu sn kwa sasa hapa nyumbani (sababu naamini unaijua) ila vita sio vyakuombea mkuu.tuombe Mungu hili swala (mipaka TZ vs Malawi) limalizwe ki-diplomasia zaidi.

Sure, nakubaliana na wewe Kevin
 
Kutoka CIA fact malawi wamewekeza 1.3 ya pato la taifa kwenye jeshi ili hali sisi tumeweka 0.3 ya pato letu hapa tutapigwa kichapo cha mbwa mwizi. Ikumbukwe malawi walijua wana mafuta mwaka 1964 ila pia inabidi tufahamu kuwa mwaka 2008 Brian wa Seal alikuwepo na pia ikumbukwe pia britain wamewapatia mafunzo hivi karibuni. Kuna shopping wamefanya ya ndege kutoka israel ila tutajua tu kwenye uwanja wa vita. Tutashinda
Vipi kuhusu pato halisi baina yetu?
 
Dhaifu badala ya kuongelea issue za msingi kama hizi, anakimbilia kugawa mifugo Monduli kumfagilia EL, na kuja kumsafisha Chenge. Tukizubaa, zubaa utasikia ndg zake CDF Mwamunyange ndo wa kwanza midomo yao kumwagika...
wewe ulitaka aende ikulu ya malawi akapigane ngumi na huyo mama?Iddi amin alisema wawekwe kwenye ulingo yeye na nyerere wazipige,leo yuko wapi? Haya mambo watu wanatumia akili na ndio maana wamepewa uongozi tofauti na nyie mnaotumia hisia za kisiasa kufikiri
 
Tuache diplomasia imalize hili sakata,vita si size yetu kamwe nawaambia,umasikini huu uta tripple na tutakufa wengi sana na madhara yake ni miaka 35ijayo tutakuwa tunauguilia hali mbaya sana ya uchumi,tuache na Mungu aepushie
 
Mimi nimesema kuongelea issue za maana, sasa weye unasema madudu gani haya ? Amiri jeshi mkuu ndiyo mtu pekee ambaye kama ni makini ( sijui kama unajua hali ya wasiwasi ilivyo kule sasa maana inaelekea kila upande umesogeza askari kuimarisha ulinzi) basi angeongelea hii issue juzi alipoongea na wahariri badala ya kauli za akina Six na huyo msanii mwingine Maembe !!

Hii ya kwenda kupigana ngumi na mama au mambo ya chagulaga ningetegemea isemwe na mtu kama lusinde au maguluchemba !!
wewe ulitaka aende ikulu ya malawi akapigane ngumi na huyo mama?Iddi amin alisema wawekwe kwenye ulingo yeye na nyerere wazipige,leo yuko wapi? Haya mambo watu wanatumia akili na ndio maana wamepewa uongozi tofauti na nyie mnaotumia hisia za kisiasa kufikiri
 
napata wasiwasi, maana vita siku hizi hazipiganwi kwa idadi ya watu. kwa hizo data inaonekana tuna uzito sawa na malawi,hebu sasa tujadili uwezo binafsi wa Amiri jeshi mkuu wa Tanzania (Jakaya m. kikwete) vs Amiri jeshi mkuu wa malawi (Bi Joyce Banda)
Kwa maoni yangu hawa wanaweza kuamua mshindi atakuwa nani!
 
Mbona unaleta Takwimu za mwaka 204 ambazo kwenye Tread zilizopita zilishamwagwa humu.... Lete Mpya...

Malawi wamenunua Rada inayoweza kuditect Kundi dogo la watu watembeao ardhini... Mfano Tanzania kama kawaida yao Huwa wanawatanguliza Mgambo na Safari hii sijui watawaweka hao hao oi...

Tanzania Wana rada aina ya Chenge za zamaniiii... Haiwezi hata kudetect kitu chochote kilicho umbali wa km 20 Bunge la Uingeleza Walisikitika waliposikia Nchi masikini kununua Rada ya Kizamani... na Tokea Imenunuliwa hadi leo hii ndio imezidi kuwa ya Zamani zaidi haifai...

Malawi Wana Ndege za Fighter Za Kisasa from Israel

Tanzania Wana Ndege za Kizamani Za Kichina... na Zipo Garage ya precision air Zinatengenezwa... Kwenye Sherehe za Kupasua Matofari za Uhuru Walikodisha Ndege za Maonyesho kutoka China..

Tanzania Ak47

Malawi Machine Gun

Tanzania Mtumbwi

Malawi Speedboat za Kisasa
 
Back
Top Bottom