Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Je wajua TANZANIA HAINA KIONGOZI?
Angalia kiongozi lazima achukue hatua na wafuasi wajue nini kiongozi wao anataka na awaongoze katika kufikia malengo aliyo mema kwa ustawi wa taifa.je nani amefanya hayo.
Tupeana mawazo,kuna sifa nyingi za kiongozi ambazo naona wanaojiita viongozi wa taifa hili hawana.
Angalia kiongozi lazima achukue hatua na wafuasi wajue nini kiongozi wao anataka na awaongoze katika kufikia malengo aliyo mema kwa ustawi wa taifa.je nani amefanya hayo.
Tupeana mawazo,kuna sifa nyingi za kiongozi ambazo naona wanaojiita viongozi wa taifa hili hawana.