Tanzania ilivyosaliti Cuba

cuba iltujengea shule kama nne hivi. moja wapo ni Ruvu secondary, pia madaktari wetu wengi walisomea cuba,Sio hili tu kumbuka vita vya kagera jinsi uhusika wa cuba ulivyokua labda kama wewe bado mdogo si rahisi kujua.

Mimi siyo.mdogo sana. Nakumbuka Cuba walijenga shule mbili tu ile ya Ruvu na nyingine huko Rufiji/ Ikwiriri. Vita vya Kagera Cuba hawakuwemo. Tz ilisaidiwa na Algeria. Madaktari walisomeshwa Cuba lakini siyo wengi sana kama watu wanavyokuza. Enzi zile scholarship nyingi zilikuwa za kwenda E. Germany, Romania, Bulgaria, Russia, UK, na Scandinavia
 
Mimi siyo.mdogo sana. Nakumbuka Cuba walijenga shule mbili tu ile ya Ruvu na nyingine huko Rufiji/ Ikwiriri. Vita vya Kagera Cuba hawakuwemo. Tz ilisaidiwa na Algeria. Madaktari walisomeshwa Cuba lakini siyo wengi sana kama watu wanavyokuza. Enzi zile scholarship nyingi zilikuwa za kwenda E. Germany, Romania, Bulgaria, Russia, UK, na Scandinavia
Basi ndg Fanya utafiti utajua jambo. Tulikua na makamanda wetu wengi wa vita waliopitia Cuba. Hata wengine walikua wanao rusha ndege za vita walisomea Cuba. Je una kumbuka kombora moja linaloitwa Stella? Kwa Mara ya kwanza tulilipata cuba
 
hauko serious ndugu watu wanafanya research kubwa za kisayansi ikiwamo ya HIV nakupata cure kwa watoto kuzaliwa na mama mwenye maambukizi mtoto anatoka salama

Hiki sio kitu kipya toka zamani sana watoto wenye mama walioathirika wanazaliwa salama. Cuba ilikua zamani sio miaka ya leo, leo Cuba ni choka mbaya sisi ndiyo inabidi tuwasaidie kurudisha fadhira. Internet tu ambayo karibu kila mtanzania hata yule wa kule Ombokoro anapata Havanna Cuba bado ni msamiati.
 
Hiki sio kitu kipya toka zamani sana watoto wenye mama walioathirika wanazaliwa salama. Cuba ilikua zamani sio miaka ya leo, leo Cuba ni choka mbaya sisi ndiyo inabidi tuwasaidie kurudisha fadhira. Internet tu ambayo karibu kila mtanzania hata yule wa kule Ombokoro anapata Havanna Cuba bado ni msamiati.

Dhh! Yaani eti sisi ndiyo tuwasaidie Cuba? Maajabu haya. Yaani wewe unaona internet ndiyo kitu kinubwa sana? Siyo kama hawana internet, wanayo ila ni ghali, na wanayo wifi sehemu
Nyingi za public ambayo pia ni ghali, na tatizo wanasema ni vikwazo vya amerika, kwa hiyo wanatumia internet ya satelite. Sasa tafuta uone cost ya hiyo internet kwa satelite.
 
Hiki sio kitu kipya toka zamani sana watoto wenye mama walioathirika wanazaliwa salama. Cuba ilikua zamani sio miaka ya leo, leo Cuba ni choka mbaya sisi ndiyo inabidi tuwasaidie kurudisha fadhira. Internet tu ambayo karibu kila mtanzania hata yule wa kule Ombokoro anapata Havanna Cuba bado ni msamiati.

Wakati Cuba hawana mafuta na wana vikwazo vya kiuchumi, lakini umeme ni kila pahali, taa za barabarani zinawaka kila siku na uneme wao ni wa mafuta na siyo wa maji wala nyuklia. Tafiti kwanza utajifunza mengi.
 
Miaka ya 60 na 70 Cuba iliisaidia nini Tanzania?
Ni ngumu kidogo kuona mchango wa CUBA kama hukubahatika kuishi nyakati fulani za nyuma

CUBA wana alama nchini. Ukipita daraja la Ruvu ile shule ya Ruvu ilijengwa nao
Ukienda Kilosa, ile sekondari walijenga Cuba.
Ukipita Ifikara unakwenda Mlimba ile shule ni ya Wacuba

Ukienda Ikwiriri na Utete kale kamji ka Kibiti ili shule imejengwa na JKT kama mfano wa kufuzu mafunzo waliyopata kutoka Ruvu, Kilosa na Ifakara

Kuna nyakati tulikwama Cuba walitusaidia sana eneo la sukari na dawa

Walijenga miundo mbinu ya taasisi moja nyeti

Walitusaidia katika utaalam hasa madaktari wakati tukiwa hatuna

Walisimama na nchi za Afrika katika kupinga ubaguzi

Hivyo walikuwa nasi kiroho na kimatendo na ni rafiki wa kweli

Katika nchi zenye ushawishi Tz ilikuwa nao kwa vikwazo. Mara ya mwisho JK akiwa UN alizungumzia sana hili na Cuba walitegemea sana ushawishi wetu

Hizo ni nyakati tulizokuwa na ushawishi katika uso wa duni licha ya umasikini

Msiba wa Castrol ulivyopokelewa hapa nchini, mhh kwa maoni yangu haukupewa uzito na pengine ushindi wa Trump ulipokewa vema zaidi
 
comorado Fidel bado hajajibiwa hili swali...They talk about the failure of socialism but where is the success of capitalism in Africa, Asia and Latin America?
 
Hivi mshawahi kujiuliza kwa nini serikali yetu haijali sana umuhimu wa Cuba?

Hana nazungumzia hakuna ushirikiano wa karibu zaidi kwenye sekta mbali mbali kama Ulinzi na Usalama, Biashara na Uchumi, Sanaa na Utamaduni

Wanafunzi wetu wachache sana wako kule na nimejaribu kutazama data kuona jinsi gani tunavyonufaika na mahusiano ya karibu na Cuba lakini hakuna kitu japo wa Vuna walitusaidia sana miaka ya 60 na 70 lakini mwishowe tukajikita kwenye ufisadi wao waliendelea kujenga nchi yao

Hii inanifanya ni conclude kuwa hatujali labda mheshimiwa Magufuli anaweza kubadili mambo

Kwenye bold hapo fafanua huko kutusaidia sana.
 
Hiki sio kitu kipya toka zamani sana watoto wenye mama walioathirika wanazaliwa salama. Cuba ilikua zamani sio miaka ya leo, leo Cuba ni choka mbaya sisi ndiyo inabidi tuwasaidie kurudisha fadhira. Internet tu ambayo karibu kila mtanzania hata yule wa kule Ombokoro anapata Havanna Cuba bado ni msamiati.
hayo yote nisababu ya usa sunction lakini kipimo cha maendeleo tunapima kwa mambo mengi ikiwemo idadi ya wanazuoni,huduma za kijamii kama afya kama cuba kati ya mama 100000 wanaojifungua kwa mwaka 16 ndo wanaweza kuzaa watoto wenye maambukizi vipi hapa kwetu idadi ya wamama wangapi wanajifungua salama na vifo vinavyotoka na ujauzito au wakati wakujifungua ikoje tu kicompare na cuba ya leo tunao wazidi internet access
 
Ni ngumu kidogo kuona mchango wa CUBA kama hukubahatika kuishi nyakati fulani za nyuma

CUBA wana alama nchini. Ukipita daraja la Ruvu ile shule ya Ruvu ilijengwa nao
Ukienda Kilosa, ile sekondari walijenga Cuba.
Ukipita Ifikara unakwenda Mlimba ile shule ni ya Wacuba

Ukienda Ikwiriri na Utete kale kamji ka Kibiti ili shule imejengwa na JKT kama mfano wa kufuzu mafunzo waliyopata kutoka Ruvu, Kilosa na Ifakara

Kuna nyakati tulikwama Cuba walitusaidia sana eneo la sukari na dawa

Walijenga miundo mbinu ya taasisi moja nyeti

Walitusaidia katika utaalam hasa madaktari wakati tukiwa hatuna

Walisimama na nchi za Afrika katika kupinga ubaguzi

Hivyo walikuwa nasi kiroho na kimatendo na ni rafiki wa kweli

Katika nchi zenye ushawishi Tz ilikuwa nao kwa vikwazo. Mara ya mwisho JK akiwa UN alizungumzia sana hili na Cuba walitegemea sana ushawishi wetu

Hizo ni nyakati tulizokuwa na ushawishi katika uso wa duni licha ya umasikini

Msiba wa Castrol ulivyopokelewa hapa nchini, mhh kwa maoni yangu haukupewa uzito na pengine ushindi wa Trump ulipokewa vema zaidi

Ni kweli kuna shule zilijengwa na Wacuba mojawapo ikiwa hiyo ya Ruvu na Kilosa. Zilijengwa wakati mimi nimeshamaliza masomo ya sekondari.

Madaktari kadhaa wa Cuba walifanya kazi Tanzania lakini sina uhakika kwenye misaada ya madawa.

Cuba waliisaidia sana Namibia na Namibia kwenye vita vyao na makaburu wakari wa Kissinger's shuttle diplomacy in Africa. Nyerere aliikingia sana kifua Cuba.

Lakini kiujumla, ile miaka ya 60 na 70 nchi ambazo zillisaidia sana Tanzania zilikuwa ni Sweden (hasa utawala wa Olof Palme), Canada (Utawala wa Pierre Trudeau), na West Germany (Utawala wa Willy Brandt ).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom