johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Nchi za Afrika ambazo Bajeti Zao zinategemea Misaada ya Wazungu zitapata shida sana kwani Mifumo mbalimbali ya Dunia inabadilika kufuatia Vita kuu mbili zinazoendelea
Ni Heri Viongozi Wetu walistuka mapema na kuimarisha mahusiano na Waarabu kwani huko Ndio kwenye tumaini la Misaada kulikobaki
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi
Ni Heri Viongozi Wetu walistuka mapema na kuimarisha mahusiano na Waarabu kwani huko Ndio kwenye tumaini la Misaada kulikobaki
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi