Mbaya zaidi,wakati Mkutano wa Sullivan ukiendelea serikali ilifunga shule za boarding za Mzumbe,kilalaka Illboru,Kantalamba,Tabora Boys na Tabora Girls kwa kushindwa kununua chakula kwa ajili ya Wanafunzi.
Utaona Jinsi tunavyotoa priority kwa ambo ambayo yanaathiri wananchi yetu,tatizo Muungwanqa anapenda Sifa sana bila kuangalia watoto wake wanakula nini.
Kama utakumbukja na mpaka leo mabango kibao yanampongeza RAis na picha yakle kwa ajili ya Sullivan.
Awamu ya nne,ya wapenda kusifiwa tu!!