Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Ripoti ya UN inaonyesha idadi ya watu nchini Tanzania imefikia zaidi ya milioni 58.
Takwimu za NBS kwa mwaka 2012 zilikisia kuwa miaka mitano baadae Tanzania ingekuwa na watu takribani milioni 52 mwaka 2017.
Kinachoshtua ni kuwa ongezeko hili ni zaidi ya asilimia 12 kiwango ambacho ni kikubwa na kuacha maswali kama takwimu za NBS zinatakiwa kuendelea kutumiwa na watafiti au ‘wajisogeze’ na kujipatia takwimu wanazoona zitafaa.
Swali langu: NBS iliwapa ruksa UN kutangaza taarifa hizi? Au sheria ya Takwimu itawagusa nao?
Takwimu za NBS kwa mwaka 2012 zilikisia kuwa miaka mitano baadae Tanzania ingekuwa na watu takribani milioni 52 mwaka 2017.
Kinachoshtua ni kuwa ongezeko hili ni zaidi ya asilimia 12 kiwango ambacho ni kikubwa na kuacha maswali kama takwimu za NBS zinatakiwa kuendelea kutumiwa na watafiti au ‘wajisogeze’ na kujipatia takwimu wanazoona zitafaa.
Swali langu: NBS iliwapa ruksa UN kutangaza taarifa hizi? Au sheria ya Takwimu itawagusa nao?