Isengelo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 480
- 757
Umemaliza yote waliyokutuma? Basi haya!Tanzania mnafeli wapi.?
Mbona wapo watu wenye sifa za kuwa marais, lakin misemo ya chini chini inaonesha watu kuwawazia hawa vijana
1.January Makamba
Sifichi sijawahi ona sifa yeyote ya kunishawishi kumfikiria Jamaa huyu ngazi ya urais
Nina sababu zangu nyingi tu
Mosi: Makamba hana uwezo wa kusimamia suala kwa uthubutu ni muoga sana
Pili: kuna suala la Fedha ambazo alikashfiwa kuchota hajazitolea ufafanuzi
Tatu: Makamba anategemea sana kubebwa na mfumo badala ya kusimama mwenyewe
2.Kituko zaid kuna wanaonfikiria Makonda Paulo katika ngazi hii, sina uhakika kama wanaelewa sifa za mtu kuwa rais, sitaongea mengi maana Kila mtu anajua madhara ya kuwa na kiongozi kama Makonda,
3.Eti Watu wanamsema Nyalandu???? Labda
Tuwe makini tunapochagua wa kutuwakilisha,